MFUKO WA GEPF WAFANYA MKUTANO NA WADAU ARUSHA WAJADILI MASWALA MBALIMBALI YA...
MKUU wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda akiwa anafungua mkutano ulioandaliwa na mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kwa wadau wake jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali ya mfuko wa mafao...
View ArticleBODI YA MANUNUZI NA UGAVI (PSPTB) YATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WA CHUO CHA...
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa PSPTB, Winfrida Igogo akitoa mada katika mafunzo ya wanafunzi wanaosoma masomo ya manunuzi na ugavi katika Chuo cha TIA Mbeya.Wanafunzi ambao wanasoma masomo ya...
View ArticleRAIS KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA UASKOFU JIMBO KATOLIKI SHINYANGA
ais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu wakati wa ibada ya kumweka wakfu iliyofanyika katika kanisa kuu la Parokia ya Mama mwenye...
View ArticleZITTO AHUTUBIA WAKAZI WA IRINGA MJINI
Kiongozi wa Chama cha ACT –Wazalendo Zitto Kabwe akiwahutubia wakazi wa mji wa Iringa na Vitongoji vyake jana, ambapo ameibua ufisadi wa Sh.54 Trillioni kwenye ujenzi wa bandari ya Mwambani Mkoani...
View ArticleMEYA WA MANISPAA YA KINONDONI YUSUPH MWENDA AZOA TUZO YA MEYA BORA TANZANIA
Rais Jakaya Kikwete akikabidhi tuzo ya Meya Bora Tanzania kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda baada ya kushinda tuzo hiyo kitaifa iliyoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT)...
View Article18 WAPOTEZA MAISHA, 11 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI LA NGANGA NA FUSO...
Na Father Kidevu Blog, Morogoro.WATU 18 wamepoteza maisha papo hapo kwa kuteketea na moto huku wengine 11 wakijeruhiwa vibaya kwa moto kufuatia magari mawili kugongana ambayo ni Basi Scania mali ya...
View ArticleYANGA YAENDELEZA MAJANGA KWA WAPINZANI, SAFARI HII NI MBEYA CITY
Kiungo Mchezeshaji wa timu ya Yanga, Haroun Niyonzima akiangalia kwa kupeleka mpira wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara unaoendelea kwenye Uwanja wa Taifa hivi sasa.Yanga imeshinda mchezo huo...
View ArticleZITTO ATIKISA NJOMBE NA MAKAMBAKO
Viongozi wa Chama cha ACT –Wazalendo wakiangalia mazao ya wakulima waKijiji cha Mkongotema wilayani Songea vijijini jimbo la Peramiho janaaliposimamishwa kijijini hapo ili afungue tawi la chama hicho...
View ArticleTRA YATOA MAFUNZO YA UKUSANYAJI KODI KWA WAAJIRIWA WAPYA
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Richard Kayombo akiwakaribisha wageni katika hafla ya ufunguzi wa Mafunzo ya ukusanyaji kodi kwa waajiriwa wapya Leo...
View ArticleMWENYEKITI WA KIJIJI ASABABISHIA FAMILIA SABA KUKOSA MAHALA PA KUISHI BAADA...
Baadhi ya mashamba ya migomba yaliyofyekwa na kijiji kwa madai kuwa shamba hilo lipo ndani ya eneo la kijiji,Baadhi ya wahanga waliovunjiwa nyumba zao wakiwa katika mabaki ya nyumba hizo ,katika...
View ArticleSHULE YA SEKONDARI YA KUTUKUTU MOROGORO WAFAIDIKA NA MRADI WA "AIRTEL SHULE...
Wanafunzi wa shule ya sekondari Handeni iliyopo wilayani Handeni wakisoma vitabu vilivyotolewa na Kampuni ya Airtel shuleni hapo kwa ajili ya masomo ya sayansi vyenye thamani ya sh.milioni mbili.Meneja...
View ArticleWIZARA YA AFYA YARIDHISHWA NA VIWANGO TBL
Mshauri wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Phocus Lasway akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Kebwe Stephen Kebwe (kulia) wakati wa ziara ya Kiwanda cha Dar es Salaam...
View ArticleKAMPUNI YA TIGO YADHAMINI KONGAMANO LA WANACHUO WA IAA ARUSHA
Meneja wa Tigo Kanda ya Kaskazini Deogratius Ndejembi akiongea na wanachuo wa chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) wakati wa kongamano la kuwaelimisha na kuwasaidia wanavyuo jinsi ya kupata ajira wamalizapo...
View ArticleMAOFISA WA SMZ WAHUDHURIA MAFUNZO KUHUSU MAFUTA NA GESI NCHINI CHINA
Maafisa Waandamizi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja nchini China wanakohudhuria mafunzo ya muda mfupi kuhusiana na mafuta na gesi asilia, katikati ni mmoja wa wenyeji wa...
View ArticleUZINDUZI WA MFUKO WA UCHAGUZI WA MKOA WA MJINI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar (katikati) Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif ALi Iddi (kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa...
View ArticleRAIS KIKWETE AZINDUA KOZI MAALUMU YA MAADILI NA UONGOZI, AMSIMIKA MZEE MSEKWA...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akielekea kwenye uwanja wa shughuli tayari kuzindua Kozi Maalum ya Maadili na Uongozi katika Chuo cha Kumbukumbu ya Nyerere Kigamoni jijini Dar es salaam jana. Pamoja naye ni...
View ArticleZITTO KABWE MOROGORO
Viongozi wa Chama cha ACT -Wazalendo wakicheza wimbo wa chama hicho, kwenye eneo la Uwanja wa ndege mjini humo jana kabla kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe hajaanza kuhutubia katika mji wa Morogoro...
View ArticleWAMA WAKISHIRIKIANA NA ENGENDER HEALTH WAANDAA SEMINA YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI
Meneja Uragibishi na Mawasiliano wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Ndugu Philomena Marijani (aliyesimama)akitoa maelezo mafupi kuhusu semina ya siku 5 kwa wanafunzi wa Shule za Sekondari...
View ArticleBODI YA CHAKULA NA DAWA ZANZIBAR KWA UFADHILI WA WHO YAFANYA SEMINA YA SIKU...
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Zanzibar Dkt. Andymicheel Grimany akifungua semina ya ushajishaji juu ya usalama wa chakula iliyoandaliwa na Bodi ya chakula na Dawa iliyofanyika Hoteli ya...
View ArticleTAMISEMI YATOA UFAFANUZI UHABA WA VYAKULA MASHULENI
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam kuhusu baadhi ya Shule za Sekondari za Bweni...
View Article