VILIO NA MAJONZI SINGIDA WAKATI MO AKIWAAGA WANANCHI WAKE!
Mbunge wa Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji akiwapungia wapiga kura wake kama ishara ya kuwaaga rasmi baada ya kutangaza kutogombea tena ubunge wa jimboni humo wakati wa mkutano mkubwa wa kuwasilisha...
View ArticleATHARI ZA MADINI YA ZEBAKI KATIKA MWILI WA BINADAMU
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Anjelina Madete(katikati) akifungua mkutano wa Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya zebaki uliofanyika jana kwenye hoteli ya peacock jijini Dares...
View ArticleIGP MANGU AZINDUA NA KUKAGUA MIRADI YA POLISI TABORA, TANGA NA SINGIDA
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akizungumza na wajumbe wa Kamati ya ulinzi na usalama mkoani Tabora wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi katika mkoa huo.Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa...
View ArticleMEMBE ASISITIZA UMUHIMU WA VIWANDA
Makamu wa Rais wa zamani wa Benki ya Dunia, Prof. Justin Yifu Lin akitoa mada yake juu ya uwanzishaji wa viwanda nchini Tanzania katika muadhara ulioandaliwa na Wizara ya Mambo ya NjeNaibu Katibu Mkuu...
View ArticleKONGAMANO KUBWA LA UWEKEZAJI NISHATI NA MIUNDOMBINU LAFANA
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akitoa mada kwenye Kongamano la Uwekezaji Miundombinu na Nishati lililofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip leo asubuhi. Kongamano...
View ArticleRAIS JAKAYA KIKWETE AZINDUA UKUMBI MPYA WAMIKUTANO WA CCM, MJINI DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM wa Dodoma Convention Centre, uliopo mjini Dodoma, jana Julai 9,...
View ArticleRAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AZINDUA UKUMBI WA MIKUTANO WA KISASA DODOMA
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na viongozi mbali mbali wa mkoa wa Dodoma mara baada ya kuwasili kwenye sherehe za uzinduzi wa...
View ArticleWANAHABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU WIKI YA USALAMA BARABARANI YA UMOJA WA MATAIFA
Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari wakati akifungua semina hiyo Dar es Salaam jana asubuhi. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha...
View ArticleWANANCHI WOTE WENYE SIFA JIJINI DAR KUANDIKISHWA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA...
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaa , Raymond Mushi akifungua mafunzoya wasimamizi wa uandikishaji wa Wananchi katika Daftari la Kudumu lawapiga kura kupitia mfumo wa BVR litakalofanyika Julai 16 hadi...
View ArticleWAZIRI WA KAZI ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume, akitoa maelezo kwa Waziri wa Kazi na Ajira,Gaudensia Kabaka, alipotembeleabanda la NSSF wakati wa...
View ArticleBIMA YA RESOLUTION YAFUTURISHA WAUMINI WA DINI YA KIISLAM KATIKA MWEZI...
Picha ya baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kufutari katika ukumbi wa hoteli Serena, futari iliyoandaliwa na Bima ya Resolution. Baadhi wa waumini wa dini ya...
View ArticleDSTV TANZANIA YAFUTURISHA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA AL- MADINA
Mkuu wa kituo cha Kulelea Watoto yatima cha Al-Madina, Bi. Kulthum Juma akizungumzia kuhusu kituo hicho pamoja na kutoa shukrani kwa kampuni ya Multichoice Tanzania kwa kuendelea kukisaidia kituo cha...
View ArticleRAIS KIKWETE ALIPOHUTUBIA BUNGE NA KUAGANA NA WABUNGE MJINI DODOMA ALHAMISI...
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman na ujumbe wake pamoja na maafisa wa bunge wakiingia Bungeni tayari kwa hotuba ya mwisho ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma Alhamisi Julai 9,...
View ArticleBANK OF AFRICA YAFUTURISHA WATEJA WAKE
Mkurugenzi Mkuu wa Bank Of Africa Tanzania (BOA), Ammish Owusu Amoah akizungumza katika hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake na kufanyika katika hoteli ya Serena...
View ArticleMATUKIO YA MKUTANO MKUU WA CCM-MJINI DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya MrishoKikwete (katikati) akifuatana na Spika wa Bunge la Jamhuri yaMuungano Anna Makinda (wa pili ) wakitoka nje ua ukumbi wa Bungebaada ya...
View ArticleRAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC) kinachoendelea hivi sasa kwenye Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM, Mjini...
View Article