Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Anjelina Madete(katikati) akifungua mkutano wa Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya zebaki uliofanyika jana kwenye hoteli ya peacock jijini Dares Salaam.Kulia ni Mkurugenzi wa Mazingira kutoka ofisi hiyo, Joseph Kihaule na kushotoni Mwakilishi wa Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Mafunzo na Utafiti(UNITAR), Carlos Maren. Mkurugenzi wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Joseph Kihaule (kushoto)akisisitiza jambo wakati akiongoza mkutano wa Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya Zebeki uliofanyika jana kwenye hoteli ya peacock jijini Dares Salaam, kulia ni Mwakilishi wa Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Mafunzo na Utafiti(UNITAR), Carlos Maren.Issaria Mangalili akitoa mada juu ya mikataba mbalimbali inayohusu kemikali mkutano wa Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya Zebeki uliofanyika jana kwenye hoteli ya peacock jijini Dares Salaam. Mhandisi Peter Nyangombe (wa pili kushoto) akitoa mada juu ya Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya Zebeki uliofanyika jana kwenye hoteli ya peacock jijini Dares Salaam. wadau wa mkutano wa Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya Zebeki uliofanyika jana wakijadiliana jambo kwenye hoteli ya peacock jijini Dares Salaam. Picha ya pamoja kati ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Anjelina Madete(wa pili kushoto) mara baada ya kufungua mkutano wa Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya Zebeki uliofanyika jana kwenye hoteli ya peacock jijini Dares Salaam.Kulia ni Mkurugenzi wa Mazingira kutoka ofisi hiyo, Joseph Kihaule na (wa pili kulia) ni Mwakilishi wa Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Mafunzo na Utafiti(UNITAR), Carlos Maren. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa mazingira kutoka ofisi hiyo, Rogathe Kisanga.Picha na Magreth Kinabo – Maelezo
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Anjelina Madete(katikati) akifungua mkutano wa Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya zebaki uliofanyika jana kwenye hoteli ya peacock jijini Dares Salaam.Kulia ni Mkurugenzi wa Mazingira kutoka ofisi hiyo, Joseph Kihaule na kushotoni Mwakilishi wa Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Mafunzo na Utafiti(UNITAR), Carlos Maren.
Mkurugenzi wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Joseph Kihaule (kushoto)akisisitiza jambo wakati akiongoza mkutano wa Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya Zebeki uliofanyika jana kwenye hoteli ya peacock jijini Dares Salaam, kulia ni Mwakilishi wa Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Mafunzo na Utafiti(UNITAR), Carlos Maren.
Issaria Mangalili akitoa mada juu ya mikataba mbalimbali inayohusu kemikali mkutano wa Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya Zebeki uliofanyika jana kwenye hoteli ya peacock jijini Dares Salaam.
Mhandisi Peter Nyangombe (wa pili kushoto) akitoa mada juu ya Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya Zebeki uliofanyika jana kwenye hoteli ya peacock jijini Dares Salaam.
wadau wa mkutano wa Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya Zebeki uliofanyika jana wakijadiliana jambo kwenye hoteli ya peacock jijini Dares Salaam.
Picha ya pamoja kati ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Anjelina Madete(wa pili kushoto) mara baada ya kufungua mkutano wa Mkataba wa Minamata kuhusu madini ya Zebeki uliofanyika jana kwenye hoteli ya peacock jijini Dares Salaam.Kulia ni Mkurugenzi wa Mazingira kutoka ofisi hiyo, Joseph Kihaule na (wa pili kulia) ni Mwakilishi wa Taasisi ya Umoja wa Mataifa ya Mafunzo na Utafiti(UNITAR), Carlos Maren. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa mazingira kutoka ofisi hiyo, Rogathe Kisanga.
Picha na Magreth Kinabo – Maelezo