KINANA AUNGURUMA MUFINDI AWATAKA VIONGOZI WAACHANE NA TABIA YA KUJIPENDELEA...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara, Uwanja wa Mashujaa mjini Mafinga, wakati wa ziara yake katika Jimbo la Mufindi Kaskazini, Iringa, ikiwa ni mwendelezo wa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI CHA HISANI...
Makamua wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa ajili ya kuchangia Mfuko wa Kampeni ya Jitolee kwa ajili ya...
View ArticleSENDOFF PARTY YA MISSIE POPULAR
ANAITWA MARIAM IDDI NDABAGENGA ALMAARUFU KAMA MISSIE POPULAR ANATARAJIA KUFUNGA PINGU ZA MAISHA HEBU ONA PICHA YA SENDOFF PARTY ILIYOFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM AKIWA AMEVISHWA NA EVE’S COLLECTION,...
View ArticleMAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-ZANZIBAR ADONDOKA, AKIMBIZWA AMANA
Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Zanzibar, Haji Ambar Khamis.MAKAMU Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Zanzibar, Haji Ambar Khamis, leo amedondoka kutokana na matatizo ya moyo na kukimbizwa katika Hospitali...
View ArticlePSPF YATOA MSAADA WA KOMPYUTA 12 KWA VYUO VIWILI BAGAMOYO
Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani kushoto Akimkabidhi Msaada wa Kompyuta Mkuu wa Chuo Kikuu teule cha Marian Father Luke Mbefo ambapo Kompyuta hizo zitatumika katika Kuhifadhi Nyaraka...
View ArticleRAIS KIKWETE AFUNGUA JENGO LA PPF MWANZA
Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya PPF Bwana Ramadhani Kija(watatu kushoto), na Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bwana William Erio(kulia) wakimkaribisha Rais Dkt.Jakaya...
View ArticleRAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA KITEGA UCHUMI LA PPF MWANZA
Jengo la Kitega uchumi la mfuko wa pensheni wa PPF lililozinduliwa rasmi na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mjini Mwanza jana jioni.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi jengo la...
View ArticleMCHECHU AONGOZA HAFLA YA KUCHANGIA VITABU 2500 KWA SHULE ZA SEKONDARI NA ZA...
Mgeni Rasmi, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akihutubia wakati wa hafla ya kutafuta uwezo wa Kununua Vitabu 2,500 vyenye thamani ya shilingi milioni 218, kwa...
View ArticleKAMPUNI YA VIP YAFAFANUA SAKATA LA IPTL
Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea James Rugemalira akizungumza na waandishi wa habari pamoja na jopo la wanasheria kutoka Marekani (hawapo pichani kuhusu jambo hilo Dar es Salaam jana. Imeandaliwa...
View ArticleTAIFA STARS YAILAZA NJAA BENIN, YAITANDIKA 4-1
Watu wengi walikuwa wakiibeza sana Stars kuelekea katika mchezo wa jana dhidi ya Benin, lakini ndiyo hivyo Wahenga walisema, “mdharau mwiba, mguu huota tende” na ndicho kilichowakuta Wa Benin katika...
View ArticleWIKI YA VIJANA YAENDELE KUWA CHACHU YA UZALENDO
Waziriwa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akiangalia Jarida katika banda la Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Dunia (UNFPA – Tanzania) alipotembelea...
View ArticleBIBI NA BWANA HARUSI WANUSURIKA KIFO BAADA YA MTUMBWI WALIOPANDA KUZAMA ZIWA...
Ndugu jamaa na wapambe wa bwana na bibi harusi walionusurika kifo baada ya ajali ya mtumbwi kutokea katika kijiji cha kalalangabo wakiwa wanaendelea na matibabu katika hospita ya Mkoa wa KigomaBibi...
View ArticleRAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA...
Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Dkt William Shija alipoongoza shughuli za kuaga jana Jumapili Oktoba 12, 2014 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es...
View ArticleKILA KATA INAPASWA IWE NA KITUO CHA AFYA – WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua wodi ya ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014. Kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum, Margareth Sitta,...
View ArticleRAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA MEJA JENERALI MSTAAFU MUHIDDIN MFAUME KIMARIO...
Marehemu Tanzania manispaa ya 2014.Marehemu Tanzania ya 2014.,Jakaya Kikwete akiwasili kwenye mazishi ya Jenerali mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania Kimario katika makaburi ya manispaa ya...
View ArticleKINANA AHITIMISHA ZIARA KWA KISHINDO IRINGA
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihuubia huku mkono wake ukiwa umefungwa POP, katika mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mwembetogwa, mjini Iringa jana wa kuhitimisha ziara ya siku...
View ArticleBODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU YATOA MAJINA YA WALIOPATA MIKOPO KWA MWAKA...
BOFYA HAPA KUTIZAMA MKOPO WAKO
View ArticleBALOZI WA FINLAND NCHINI BI. SINIKKA ANTILA AMTEMBELEA WAZIRI WA NISHATI NA...
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akimkaribisha Balozi wa Finland Nchini Bi. Sinikka Antila (kushoto) kabla ya kuanza kikao kilichojadili utekelezaji wa mradi mkubwa wa...
View ArticleMaadhimisho ya siku ya Kimataifa ya mtoto wa kike yaliyo ratibiwa na WiLDAF...
Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mtoto wa kike yaliyo ratibiwa na Women in Law and Development in Africa - WiLDAF yafana jijini Dar es salaam. Octoba 11 ya kila mwaka ni siku iliyopitishwa na Baraza...
View ArticleVITABU VYA AIRTEL VYAIBUA ARI YA WANAFUNZI GUNGU SEKONDARI KIGOMA
Meneja huduma za jamii wa Airtel Hawa Bayumi na Afisa Elimuvifaa na Takwimu wa Manispaa ya Kigoma Ujiji Bwana Yalagwila Gwimomakabidhiano ya vitabuMeneja huduma za jamii wa Airtel Hawa Bayumi na Afisa...
View Article