Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6805 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI AINA SCANIA NA COSTA TOYOTA YASABABISHA AJALI NA WATU WANNE KUFARIKI...

 WATU wanne wamekufa na wengine 14 wamejeruhiwa na kulazwa katika hospitali ya Wilaya ya Mpanda baada ya basi la Kampuni ya AN kugongana uso kwa uso na gari lingine. Kamanda wa polisi wa Mkoa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WANANCHI WA SENGEREMA KUMZIKA DKT. SHIJA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA YADHAMINI KONGAMANO LA MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA...

Washiriki wa kongamano lamafunzo ya mfumo mpya wa shirika la kimataifa la usafiri wa anga (ICAO)kutoka nchi za Nigeria,Mali,Ivort coast,Senager,Rwanda,Cape Verde,Gabon na Tanzania wakiwa katika picha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE TABORA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa kilele cha mbio za mwenge 2014 ziilizofanyika katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora (picha na Freddy Maro)Kiongozi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWAPA URAIA WAKIMBIZI WA BURUNDI 162,156 MJINI TABORA

Rais Jakaya Kikwete akimpa cheti cha uraia wa Tanzania, Loveness Ruhaga (kulia) aliyekuwa Mkimbizi kutoka nchini Burundi katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Tabora...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA LAELIMISHA KUHUSU NGUVU YA KODI KWA...

Mgeni rasmi,Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leornad Thadeo  akifungua bonanza la NGUVU YA KODI lililofanyika katika Viwanja vya chuo cha ustawi wa jamii katika siku ya kumbukumbu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAFISA MIPANGO WASHIRIKISHE MAKUNDI MAALUM UPANGAJI BAJETI – DED IKUNGI

Mkuu wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko wilaya ya Ikungi, Mwl. Olivary Kamilly, akitoa taarifa yake kwenye kilele cha mahafali ya 63 yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule hiyo kongwe iliyoanzishwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAKABIDHI KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA MAKUBURI-DAR

Mganga Mkuu wa Zahanati ya Makuburi, Manispaa ya Kinondoni, Dkt. Stella Kivugo (kulia), akijaribu kufungua bomba la maji, baada ya Mwenyekiti wa Mtaa wa Makaburi, Bw. James Ngoitanie (wa nne kushoto),...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHC yashiriki Bonanza la Wafanyakazi Shimmuta UDSM

Kikosi cha timu ya soka ya Shirika la Nyumba la Taifa kikiwa kimejiandaa tayari kwa mpambano na timu pinzani za IFM na Muhimbili ambapo katika mechi zote mbili kilitoka (0-0). Michuano hiyo ya bonanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki Atembelea Eneo La Mbagala...

  Lori hilo lilivyoteketea kwa moto uliosababishwa na mshumaa. Moja ya maduka ya vifaa vya pikipiki lililoteketea  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akiangalia tenki la lori hilo.  Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAKARABATI DUKA JINGINE KISIWANI ZANZIBAR

Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi, Abdallah Mwinyi akizungumza  jambowakati wa uzinduzi wa duka la huduma kwa wateja la Airtel kisiwaniZanzibar .Akifuatiwa na Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF YATOA MSAADA WA MASHUKA HOSPITALI YA VIJIBWENI

Mkurugenzi wa Huduma za Matibabu Dk. Frank Lekey akikabidhi mashuka kwa Muuguzi wa Hospitali ya Vijibweni Maimuna Mwaya. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umekabidhi jumla ya mashuka 150 katika Hospitali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONGOZA VIKAO VYA CCM DODOMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya Rais kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIGO YAZINDUA HUDUMA MPYA YA ‘WELCOME PACK’ MKOANI IRINGA

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh.Dkt. Christine Ishengoma akisalimiana na Mkurugenzi mkuu wa Tigo kanda ya kusini Bw. Jackson Kiswaga wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kifurushi kipya cha tigo cha welcome pack...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJIJI 1,800 KUPATA MAWASILIANO YA SIMU, INTERNET MWAKANI (2015)

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January Makamba  (Kulia) akizungumza katika mkutano wa wadau wa teknolojia ya Tehama (Capacity Africa 2014) ambapo amesema serikali itaondoa tatizo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YAZINDUA RASMI USAMBAZAJI WA MATOKEO YA SENSA YA...

Washiriki wa Semina ya Usambazaji wa Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012 wakiwa katika picha ya pamoja. Baadhi ya washiriki wa Semina ya Usambazaji wa Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MAREHEMU AMIN ELIAS MBAGA WAAGWA DAR

Mwili wa marehemu Amin Elias Mbaga aliyekuwa mfanyakazi wa Kampuni ya TTCL ukiwasili Kanisa la KKKT Sinza, jijini Dar es Salaam tayari kwa ibada ya kumuombea marehemu.Mwili wa marehemu Amin Elias Mbaga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU CCM MJINI DODOMA JIONI HII

 Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu  ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM kwenye ukumbi wa NEC,CCM Makao Makuu Dodoma. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUMBE WA TANZANIA WAKUTANA NA MWAKILISHI WA BENKI YA DUNIA TANZANIA, UGANDA,...

Baadhi ya viongozi wa Wizara ya fedha wakifuatilia kwa makini mkutano uliokuwa ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile, ambapo ujumbe kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTEMVU AZINDUA OFISI ZA UWT-CCM KATA YA VITUKA, TEMEKE

 Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (kulia), akisaliliana na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mara alipo wasili katika Ofisi ya Kata ya   Vituka Dar es Salaam  Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas...

View Article
Browsing all 6805 articles
Browse latest View live