Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6799 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA, KALENGA, IRINGA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiangalia fuvu la aliyekuwa Chifu wa Wahehe, Mkwawa alipotembelea Makumbusho ya shujaa huyo aliyepambana na wajerumani na kujiua kwa bunduki baada ya kuona yupo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL WAZINDUA SHINDANO LA WANAMUZIKI CHIPUKIZI

Mkurugenzi wa kitengo cha Masoko wa Airtel Levi Nyakundi akiongea wakati wa uzinduzi wa mashindano ya kusaka vipaji kupitia simu ya mkononi yajulikanayo kama " Airtel TRACE Music Star" kwa lengo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA WATEJA

Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki yaCRDB anayeshughulika na Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Bandyadhiyay (kulia) akizungumza na  wateja waliofika katika tawi la Holland House jijini Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LISU ASHAMBULIA JUKWAA KWA SAA MBILI DIAMOND

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira akikata utepe wakati wa uzinduzi wa album ya nyimbo za injili ya ‘Uko Hapa’ yenye nyimbo 18 ya mwimbaji,  John Lisu wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AZUNGUMZA NA WANA ISIMANI

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika, Oktoba 7, 2014, katika Kijiji cha  Magozi, Kata ya  Ilolo Mpya, akiwa katika ziara ya kukagua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIINGIZE DINI KATIKA SIASA, RAIS AWAAMBIA MABALOZI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na viongozi wa dini alipowasili katika hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam kufungua Mkutano  wa viongozi wa dini kubwa za Kikiristo na Kiislam nchini kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO MSIBA WA PROFESSA KIVASI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini katika kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Professa Rogath...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBA INAYOPENDEKEZWA YAOMBEWA DUWA NJEMA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Rehema Nchimbi akihutubia wakati wa dua ya kuiombea Katiba mpya InayopendekezwaViongozi wa Dini toka wadhehebu ya Kiislamu, Kikristo, Wasabato, Wahamadiya, Jamaat...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA...

Mkuu wa Idara ya ukaguzi wa Mahesabu FNB Baraka Thomas (kushoto)  akikata utepe  kwa ajili ya kumkabidhi MwalimuMkuu wa Shule ya Msingi  Msasani  B,  Bw.Victor  Kamuli madarasa baada ya kufanyiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VODACOM YAZINDUA HUDUMA MPYA YA SIMU DOKTA

Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Kulia ni Dk. Sulende Kubhoja.Bingwa wa magonjwa ya mwili wa binadamu, Dk....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDEE NA WENZAKE WAPATA DHAMANA

Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee.Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na wenzake 8 leo wamepata dhamana katika Mahakama ya Kisutu, Dar. Kesi yao kutajwa tena...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CBA YATANUA KWENYE M-PAWA

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara ya Afrika (CBA), Julius Mcharo akizungumza wakati kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja, ambapo alitumia fursa hiyo kuwashukuru wateja wao kwa kuichagua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AENDELEA NA ZIARA JIMBO LA KILOLO

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wakazi wa Kilolo Mnadani waliojitokeza kumlaki katika ziara yake wilayani Kilolo Kinana yuko mkoani Iringa kwa ziara ya siku sita ya kikazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shirika la Nyumba la Taifa lakabidhi Mashine za kufyatulia Matofali Shinyanga

 Meneja wa NHC Shinyanga, Ramadhani Macha akimkabidhi mgeni rasmi Dk Anselem Tarimo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Ally  Rufunga  mashine za  kufuatulia matofali ya kufungamana ili azikabidhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE APOKEA RASIMU YA MWISHO YA KATIBA INAYOPENDE​KEZWA...

 Mwenyekiti wa Bunge maalum la katiba Mhe.Samuel Sitta akikabidhi rasimu ya katiba inayopendekezwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC WAMKARIBISHA BALOZI OMBENI SEFUE KWA...

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwasili kwenye Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Washington, DC nchini Marekani alikokaribishwa chakula cha jioni wakiwemo viongozi mbalimbali wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA KUTIKISA NCHINI OMAN, SKYLIGHT BAND WAREJEA NCHINI KUTOA BURUDANI YA...

 Baada ya Safari ndefu ya nchini Oman ambako Bendi Inayotikisa nchini kwa sasa Skylight Band walitoa Burudani ya Nguvu huko ughaibuni na kuacha historia isiyofutika kirahisi, Sasa Bendi yako imerejea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LORRAINE ATUA NCHINI APONGEZA WATANZANIA

Lorraine Clement akipungia watu waliofika kumlaki , alipokuwa akiwasili uwanja wa ndege JNI, alipokuwa akitokea nchini, Thailand, kushiriki mashindano ya Miss Grand International 2014, ambapo Lorraine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Safari ya mwisho ya Marehemu Batholomeo Brashi asubuhi ya leo

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemiah Kyando Mchechu akizungumza leo asubuhi wakati wa ibada ya mazishi ya mfanyakazi wa NHC, Batholomeo Brashi aliyefariki mchana wa jana katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU WA VIJANA WASHIRIKI MDAHALO WIKI YA VIJANA TABORA

Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Steven Kissui akizungumza katika mdahalo wa vijana leo mkoani Tabora ambapo mdahalo huo umefanyika...

View Article
Browsing all 6799 articles
Browse latest View live