Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6797 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AWASILI TANGA MJINI

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivuka na kivuko cha MV.Pangani kuelekea Wilaya ya Tanga mjini ambapo anatazamiwa kukagua miradi mbali mbali na kushiriki ujenzi wa maendeleo,wengine...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YADHAMINI NA KUSHIRIKI KONGAMANO LA CHAMA CHA MAAFISA RASILIMALI WATU

Meneja Mafao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), James Oigoakitoa mada wakati wa kongamano la HRSTA Panorama lililowashirikisha Wakurugenzi, Mameneja naMaafisa Rasilimali Watu kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PONGEZI KWA MSANII NASSIB ABDUL AKA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO YA MSANII BORA...

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kama msimamizi na mratibu wa sekta ya Sanaa nchini linapenda kutoa pongezi za dhati kwa Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nassib Abdul maarufu kama Diamond kwa kushinda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA EXIM KATIKA KIKAO CHA UBORESHAJI UTENDAJI KILICHOFANYIKA KATIKA...

Afisa Mkuu Mtendaji wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Dinesh Arora (kulia) akizungumza na uongozi wa benki hiyo (haupo pichani) wakati wa kikao cha kimkakati cha ndani kilichofanyika katika Hoteli ya Hyatt...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA UNFPA, TUSHIKAME PAMOJA FOUNDATION NA PROJECKT INSPIRE...

Daktari kijana Brian Mushi wa Projeckt Inspire akionyesha upendo kwa mmoja wa wazee wanaoishi kwenye kituo hicho kilichopo Msimbazi Centre mara baada ya kumpima Presha wakati wa maadhimisho ya siku ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AHUTUBIA KIKAO CHA KAZI KWA VIONGOZI WA MIKOA,WILAYA NA...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubuia Kikao cha KAzi kwa Viongozi wa Mikoa, Wilaya na Halmashauri katika ukumbi wa Chimwaga Chuo Kikuu cha Dodoma jana Oktoba 2, 2014PICHA NA IKULU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO BUNGE MAALUM LA KATIBA JANA MJINI DODOMA

Wajumbe wa Bunge Maalum la katiba wakishangilia jana mjini Dodoma mara baada ya matokeo ya upigaji kura kuonyesha kuwa Theluthi mbili ya Zanzibar imepatikana.Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA MAAFISA MIPANGO WAFUNGULIWA BALOZI DKT. MATERN LUMBANGA

Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango akisoma hotuba wakati wa mkutano wa mwaka wa wachumi na maafisa mipango unaofanyika jijini Dar es Salaam.Katibu Mtendaji wa Ofisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA FIESTA LAITEKA SINGIDA

 Baadhi ya mwashabiki wa tamasha la Fiesta 2014 wakishangilia kwa hisia,wakati shoo ikiendelea jukwaani ndani uwanja wa Namfua mjini Singida. Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka kampuni ya No Fake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKAGUA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA NA UCHUNGUZI WA MAGONJWA YA...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Profesa Shaaban Mlacha na Makamu Mkuu wa Chuo hicho Profesa Idris Kikula (tai nyekundu) alipofanya ziara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ASHIRIKI SALA YA EID EL HAJJ UPANGA DAR ES SALAAM

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu muda mfupi baada ya kuswali sala ya Iddi El Hajj katika msikiti wa Maamur Upanga jijini Dar es Salaam jana asubuhi....

View Article

SOMA KWA MAKINI RASIMU YA MWISHO YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA PAMOJA NA MATOKEO...

Email ThisBlogThis!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHC katika maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Makazi Duniani

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa Mawasiliano wa Shirika la Nyumba la Taifa, Yahya Charahani. Katika ujumbe wake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AWASILI MKOANI IRINGA KWA ZIARA...

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivishwa skafu mara baada ya kuwasili mkoani Iringa kuanza ziara ya siku sita ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AHUTUBIA SHERHE ZA SIKU YA WALIMU MJINI BUKOBA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata  maelezo kuhusu mtambo wa kutotoa vifaranga kutoka kwa Mwalimu Deudediti Rwekaza  (kushoto) katika onyesho ya siku ya walimu Duniani iliyofanyika kitaifa kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJUE IRENE LA VEDA, MSHIRIKI WA BBA KUTOKA TANZANIA

Irene Neema Vedastous ‘La Veda’, Mshiriki wa Big Brother Hotshots kutoka Tanzania.IRENE NEEMA VEDASTOUS ni msichana mrembo wa Kitanzania, mwenye umri wa miaka 23 anayeiwakilisha Tanzania katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AWAJULIA HALI WAKUU WA MIKOA YA KILIMANJARO, SIMIYU NA MJUMBE WA BUNGE...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe Leonidas Gama aliyelazwa kwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam jana Rais Jakaya Mrisho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MENEJIMENTI YA BENKI YA NBC IKULU DAR ES SALAAM

Rais Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Menejimenti ya Barclays Africa, Bi. Mizinga Melu  (wa tatu kushoto) alipokwenda kumuaga Ikulu, Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF FURSA SEMINA YAFANYIKA DODOMA

Msimu  wa Semina za Fursa zinazoendelea katika mikoa mbalimbali, licha ya kuwa ni Siku ya Sikukuu ya Idd El Hajj, Fursa Semina ilishamiri mjini Dodoma na kuvutia umati mkubwa wa watu.Umati huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA STAILI

Wakwanza kushoto Mkurugenzi mkuu wa Airtel Tanzania SunilColaso akifuatiwa na Mkurugenzi wa huduma kwa wateja Bi Adriana Lymbana Mkurugenzi Mkuu wa Bisahara wa Airtel Bw Mustafa Kapasi wakikata...

View Article
Browsing all 6797 articles
Browse latest View live