$ 0 0 Afisa Mkuu Mtendaji wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Dinesh Arora (kulia) akizungumza na uongozi wa benki hiyo (haupo pichani) wakati wa kikao cha kimkakati cha ndani kilichofanyika katika Hoteli ya Hyatt hivi karibuni jijini Dar es Salaam.Afisa Mkuu Mtendaji wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Dinesh Arora (kulia) akizungumza machache na mmoja wa wafanyakazi wa benki hiyo wakati wa kikao cha kimkakati cha ndani kilichofanyika katika Hoteli ya Hyatt hivi karibuni jijini Dar es Salaam.Afisa Mkuu Mtendaji wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Dinesh Arora (kushoto) akizungumza machache na Mkuu wa Hazina wa benki hiyo Bw. George Shumbusho (kulia) wakati wa kikao cha kimkakati cha ndani kilichofanyika katika Hoteli ya Hyatt hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkuu wa Matawi Bi. Agness Kaganda.Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Frederick Kanga (kushoto) akizungumza na uongozi wa juu wa benki hiyo wakati wa kikao cha kimkakati cha ndani kilichofanyika katika Hoteli ya Hyatt hivi karibuni jijini Dar es Salaam.Afisa Mkuu Mtendaji wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Dinesh Arora (katikati) akizungumza na uongozi wa benki hiyo (haupo pichani) wakati wa kikao cha kimkakati cha ndani kilichofanyika katika Hoteli ya Hyatt hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Mkuu wa Fedha Bw. Issa Hamis na Mkuu wa Matawi Bi. Agness Kaganda (kulia).