Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWATEMBELEA WATOTO WALIOFANYIWA UPASUAJI WA MOYO MUHIMBILI

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mtoto Habiba Khalfan Lipande(6) ambaye amefanyiwa tiba ya kuziba tundu lililokuwa katika moyo wake kwa kutumia teknolojia mpya bila upasuaji wa kifua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO BUNGENI MJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum Mary Mwanjelwa, Bungeni mjini Dodoma Mei 14, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu akichangia bungeni mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu Benjamin Mkapa atembelea banda la maonyesho la NHC kwenye...

Rais mstaafu wa awamu ya tatu Mhe. Benjamin Mkapa akifungua Mkutano wa mwaka wa Bodi ya Usajili wa Wakandarasi  jijini Dar es salaam.Rais wa awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa akishuhudia matofali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

URITHI WA UTAMADUNI WAELEZWA KUWA KIVUTIO MUHIMU CHA UTALII NCHINI

Mkurugenzi Uendeshaji na Utumishi wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo Joseph Kilangi akitoa hutuba yake ya ufunguzi katika Semina ya majadiliano ya “Rasimu ya Sera ya Urithi wa Utamaduni”...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU TAMISEMI, SAGINI ASISITIZA UIMARISHAJI WA ELIMU

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues akisalimiana na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na. Serikali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE JAMES MBATIA APENDEKEZA SHULE BINAFSI ZIPEWE RUZUKU TOKA SERIKALINI

Mgeni rasmi katika mahafali hayo ,mbunge wakuteuliwa na rais ,Mh James Mbatia akizungumza na wanafunzi wa shulehiyo pamoja na wageni waalikwa .Baadhi ya wageni waliofika shuleni hapo kwaajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KUTOKA JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ)

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIAKURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANOSimu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi,Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,Telex : 41051 DAR ES SALAAM,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) CHATANGAZA UTARATIBU WA UTEUZI WA...

TChama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza utaratibu wa uteuzi wa wagombea wake watakaokiwakilisha chamahicho katika Uchaguzi Mkuu, Oktoba mwaka huu.Aidha, kupitia mkutano na waandishi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PANIC AS AMI HOSPITAL EVICTED OVER NON-PAYMENT OF TSH3BN RENTAL BILLS

 Patients and relatives who went to seek medical attention at African Medical Investment Ltd (AMI Hospital, also known as Trauma Center) in Dar es Salaam were yesterday in shock to see court brokers...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKAGUA UJENZI WA MIKUTANO WA KIMATAIFA WA DODOMA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Dodoma unaojengwa na Chama Cha Mapinduzi CCMMuonekano wa ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Dodoma(picha na Freddy...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati Kuu ya CCM kukutana Mei, 23 Dodoma

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akifafanua jambo mbele ya waandishi wa Habari leo (hawapo pichani) ,jijini Dar es Salaam, kuhusiana na kubadilika kwa tarehe ya mkutano wao kufuatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa achangisha zaidi ya shilingi Milioni 200 za ujenzi wa msikiti wa...

Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha,Edward Lowasa akiwapungia mikono wafuasi wake waliofika katika uwanja wa msikiti mkuu katika hafla ya harambee ya ujenzi wa msikiti wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Nyusi kufanya ziara ya siku tatu nchini kuanzia...

Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Nyusi Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi anatarajiwa kuwasili nchini kesho tarehe 17 Mei, 2015 kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu nchini kwa mwaliko wa Rais wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA YAPITISHA SHERIA NDOGO YA MPANGO WA TIBA...

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Jackson Msome (kulia), akihutubia Baraza la Madiwani lilokuwa likijadili na kupitisha Sheria Ndogo ya kuanzishwa kwa mpango wa Tiba kwa Kadi (TIKA) unaosimamiwa na Mfuko wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO BUNGENI DODOMA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudencia Kabaka kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Mei 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Mizengo Pinda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASTAAFU WA NSSF MKOA WA TEMEKE WAAGWA RASMI

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu wa shirika hilo kutoka ofisi ya mkoa wa Temeke.Meneja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENARD MEMBE MGENI RASMI TAMASHA LA QASWIDA

Na Mwandishi  Wetu……………………………..WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye Tamasha la Qaswida lililoandaliwa na Ulamaa Promotions Centre...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge wa jimbo la Kigamboni Dkt Faustine Ndugulile kuwa mgeni rasmi kwenye...

 Mwalimu mstaafu wa Sekondari na Mjumbe mwelimishaji wa Chama cha Mapinduzi  (CCM) na Mwenyekiti wa Wzazi Tua Moyo Ali Ahmad kwa jina maarufu mpemba wa Asili, akisoma shairi wakati wa Mkutano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA MWENDA AANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS LA KUONDOA MAJI KATIKA MAENEO...

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akikagua athari za mafuriko katika eneo la Mbweni, Dar es Salaam alipofanya ziara katika maeneo mbalimbali yaliyoathiriwa na mvua zilizokuwa zikinyesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA ASHIRIKI HITIMA YA BABA MZAZI WA MAMA TUNU PINDA

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akifarijiwa na Mke wa makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mama Asha  Seif Iddi katika Sala ya Arobaini ya kifo cha Baba mzazi wa mke wa Waziri Mkuu, Marehemu...

View Article
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live