Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 6856

WASTAAFU WA NSSF MKOA WA TEMEKE WAAGWA RASMI

$
0
0
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu wa shirika hilo kutoka ofisi ya mkoa wa Temeke.
Meneja Kiongozi mpya wa Ofisi ya NSSF Mkoa wa Temeke, Chedrick Komba akizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu wa NSSF.

 Aboubakary Mshangama (kushoto) na Miraji Lipumba wakipeleka zawadi za wastaafu.
 Meneja Kiongozi mpya wa Ofisi ya NSSF Mkoa wa Temeke, Chedrick Komba akimkabidhi zawadi mstaafu wa NSSF, Mohamed Kilumike.
 Mstaafu wa NSSF, Brahan Newa kutoka Kitengo cha Takwimu akipokea zawadi yake kutoka kwa Meneja Kiongozi mpya wa Ofisi ya NSSF Mkoa wa Temeke, Chedrick Komba.



Viewing all articles
Browse latest Browse all 6856

Trending Articles