Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA TAIFA LA BIASHARA ZANZIBAR (ZSTC) LIMETOA VIFAA KWA WAKULIMA WA...

Mkurugenzi Mipango na Utawala wa Shirika la ZSTC Ussi Muhamed Juma (aliyesisimama) akizungumza na wanavikundi vya kuatika miche ya mikarafuu kabla ya kukabidhi vifaa vya kuatikia miche hiyo vyenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALI KIBA AAHIDI KUWACHEKETUA MASHABIKI WAKE DAR LIVE

Msanii wa kizazi kipya anayetamba na wimbo wa Chekecha Cheketua, Ali Saleh ‘Kiba’ (katikati) akielezea alivyojipanga kutoa burudani ya nguvu katika shoo yake ya Mwana Dar Live itakayofanyika Sikukuu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI...

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam janaasubuhi, wakati akizindua mpango wa kuwainua vijana wenye vipaji vya sanaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AHUTUBIA UMOJA W MATAIFA KATIKA MKUTANO WA KUPATA MAENDELEO...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano  unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo endelevu kwa kukuza ajira na kazi zenye utu  (Achieving sustainable development through...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE AHITIMISHA ZIARA YAKE YA MIKOA...

Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana ukiwasili Moshi Mjini kutokea Wilaya ya Rombo kwa Ziara ya siku kumi  ndani ya mkoa wa Kilimanjaro. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA WAKATI ASKOFU GWAJIMA ALIPOPEWA DHAMANA JANA MCHANA

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akiwa kwenye baiskeli ya wagonjwa Hospitali ya TMJ Dar es Salam jana mchana akielekea  Kituo cha Polisi cha Oyterbay kupewa dhamana.Hapa Askofu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AHUTUBIA UMOJA W MATAIFA KATIKA MKUTANO WA KUPATA MAENDELEO...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano  unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo endelevu kwa kukuza ajira na kazi zenye utu  (Achieving sustainable development through...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHINDI WA MWISHO WA”MTOKO WA MBUGANI” WA KAMPENI YA TUTOKE NA SERENGETI...

Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Gabriel Robert Moriale (Kulia) akiwa na kaka yake Bw.Joshua Robert Moriale (Kushoto) walipowasili mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA KINANA MOSHI MJINI

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia vijana wa boda boda , Stendi Kuu kata ya Mawenzi ambapo aliwaambia kuwa boda boda ni sehemu ya kupata kipato hivyo inabidi wafanye shughuli yao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANACHUO WA ADEM WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO BODI YA MIKOPO

 Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano Bw. Cosmas Mwaisobwa (kushoto) akisisitiza jambo wakati akiwasilisha mada kwa wanachuo wa ADEM.Sehemu ya wanachuo wa ADEM wakimsikiliza Mkurugenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LESENI ZA WACHIMBAJI MADINI 3,449 ZATOLEWA

Na Greyson Mwase……………………………………..Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava amesema kuwa jumla ya leseni 3,449 zilitolewa katika mwaka wa fedha 2014/15 kwa wachimbaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUTOSUECO TANZANIA (VOLVO) APPOINTS ALEN NKYA AS HEAD OF CE

AutoSueco is a subsidiary of Nors Group, the leading supplier of Trucks, Construction Equipment, Power Generators and Industrial Engines. Established since 1949 with HQ in Porto, Portugal; it has...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA UPANDAJI MITI MABWEPANDE KATIKA...

 Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuf Mwenda akipanda mti katika maadhimisho hayo. Mratibu wa mazingira kutoka Taasisi ya EBPA, Charles Lugenga (kushoto), akitoa maelezo mbele ya mkuu wa mkoa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Reginald Mengi amefunga ndoa na Jacqueline Ntuyabaliwe picha zipo hapa

Mtandao wa Bongo5.com umepata nafasi ya kupokea pichaz Exclusive kutoka kwenye harusi hii ambayo imefungwa kwenye ardhi ya nchi ya Mauritius kwenye mwisho wa mwezi March 2015.Hii ndoa pia ilishuhudiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HITMA YA MAREHEMU MZEE KARUME.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akiweka shada la mauwa katika kaburi la Marehemu Rais wa kwanza wa Zanzibar Mzee Abeid Amani Karume,baada ya kisomo cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESIDENT KIKWETE MEETS UN SECRETARY GENERAL BAN KI-MOON IN NEW YORK

President Jakaya Kikwete is received by the UN Secretary General Mr Ban Ki-moon at the UN Headquarters in New YorkPresident Jakaya Kikwete in talks with  the UN Secretary General Mr Ban Ki-moon at the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WATAKIWA KUSAIDIA WATU WASIOJIWEZA KWENYE JAMII

 Waziri Membe akitoa msaada kwenye kituo hicho Waziri Membe pamoja na Mkewe Mama Dorcas Membe katika picha ya Pamoja na Masista wanaolea watoto yatima katika kituo hicho.  Waziri Membe akizungumaza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK SHEIN AJUMUIKA NA WANANCHI KATIKA KISOMO CHA HITMA KUMSOMEA MZEE KARUME...

Mama Fatma Karume akiwasili katika viwanja vya AfisdiKuu ya CCM Kisiwandui kwa ajili ya kuhudhguria Hitma na dua ya kumuombeaMarehemu Mzee Abeid Amani Karume, iliofanyika jana Mjini Zanzibar.Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGI WANUFAIKA NA SEMINA YA KILIMO NA UFUGAJI WA KISASA ILIYO ENDESHWA NA...

 Mjasiriamali na Muandaaji wa wa Semina ya Kilimo na Ufugaji wa Kisasa Bi. Mary David Kinong’o akitoa Maelezo juu ya Kilimo na Ufugaji wa kisasa ambapo aliwasisitiza Vijana na watu wote kujiunga na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHEZAJI WA ZAMANI WA BARCELONA WAWASILI UWANJA WA KIA

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona Patrick Kluivert akiwaongoza wachezaji wenzake akiwepo Simao Sabrosa muda mfupi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA)...

View Article
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live