KABWE AZIDUA CHAMA CHA ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARECY(ACT)
Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for change and Transparecy (ACT) AnaaElisha Akiwashukuru wanachama wote walioshiriki walio kiunga Mkono chama hicho nawaliotoka vyama vingine wakiwemo viongozi na...
View ArticleUN KUENDELEA KUISAIDIA TANZANIA KUTATAU CHANGAMOTO ZA MAENDELEO
Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dk. Servacius Likwelile (katikati) akiwasili katika ukumbi wa mikutano kwenye hoteli ya Hyatt Regency akiwa ameambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru...
View ArticleMHE. WILLIAM LUKUVI AKIZUNGUMZA NA WADAU KUHUSU MPANGO WA UENDELEZAJI WA MJI...
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Willium Lukuvi akisisitiza jambo wakati wa mkutano na wadau kuhusu mpango wa uendelezaji wa mji mpya wa Kigamboni, Dar es Salaam. Kulia kwake ni Mkuu...
View ArticleWaziri Lukuvi akagua miradi ya NHC Kawe City, Eco Residences na nyumba za...
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akizungumza na mmoja wa wadau wananchi walionunua nyumba za Shirika hilo Mindu Upanga, Dar es Salaam, Alex Mgongolwa nyumbani kwake, Mindu...
View ArticleKITUO CHA JIMOLOJIA KUWEZESHA UONGEZAJI THAMANI MADINI NCHINI
Mkandarasi wa kampuni ya Kiure Engineering iliyofanya Ukarabati Mkubwa katika kituo cha Jimolojia Tanzania (TGC) cha Jijini Arusha, Oswald Modu ( wa tatu kulia) akimkabithi funguo za vyumba mbalimbali...
View ArticleBALOZI MDOGO MPYA INDIA, NA BALOZI MPYA WA OMAN WAKUTANA NA DK.ALI MOHAMED...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi Mdogo mpya wa India anaefanyia kazi zake Zanzibar Satendar Kumar alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo...
View ArticleWAZIRI LAZARO NYALANDU AHAMASISHA ELIMU KWA WATANZANIA
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu, akiwahutubia wanafunzi wenzake waliosoma katika shule ya Ilboru ya Arusha katika chakula cha usiku kilichoandaliwa rasmi kuchangia ukarabati wa majengo...
View ArticleKONGAMANO LA WANACHAMA WA VIKOBA LAFANYIKA ARUSHA
Sehemu ya umati wa wanachama wa VIKOBA mkoa wa Arusha wakifuatilia kwa makini Kongamano la Vikoba lililofanyika katika ukumbi wa Olasiti garden na kudhaminiwa Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya...
View ArticleMISAADA WA MASHUKA HOSPITALI YA MT,MERU
Mwenyekiti wa kikundi cha Upendo Family Group ,Faustine Mwanadago (kushoto)akimkabidhi msaada wa mashuka na maji muuguzi mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Arusha,Mt Meru,Sifael Masawe jana kikundi hicho...
View ArticleDAKTARI WA SHIRIKA LA WAMISIONARI AWAPIMA AFYA VIJANA WAATHIRIKA WA MADAWA YA...
Daktari wa Shirika la Wamisionari (Medical Missionaries lifestyle center for East Afrika) Kefa Omari akimpima afya ya mwili mzima kijana Francis Oni ambaye ni Mwathirika wa madawa ya kulevya anaeishi...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUU WA SITA WA BARAZA LA VYUO VIKUU VYA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Baraza la Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki, waratibu wa mkutano Mkuu wa Sita wa...
View ArticleWATEJA WA SELCOM KUJINYAKULIA TSH 100,000 KILA SIKU
Meneja ukuzaji biashara na Masoko wa Selcom Tanzania, Juma Mgori kushoto akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya uzinduzi wa promosheni ya ‘Shinda na Selcom’ inayomwezesha mtumiaji wa...
View ArticleSAKATA LA ASKOFU GWAJIMA MAASKOFU KUTINGA KWA IGP DAR ES SALAAM LEO KUMUOMBEA...
Maaskofu na wachungaji wa makanisa ya kipentekosti wakiingia ukumbini katika Hoteli ya Tamari iliyopo Mwenge tayari kwa kutoa tamko lao.Katibu wa Maaskofu wa makanisa ya Kipentekosti Dk. Damas Mukassa...
View ArticleTUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA YAFANYA KIKAO CHAKE CHA BARAZA LA...
Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi ambaye ni Katibu wa Tume Bi. Agnes Mgeyekwa akitoa hotuba fupi katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi TUMESHERIA.Mwenyekiti wa Tume Mh. Jaji Aloysius Mujulizi...
View ArticleKINANA AMALIZA ZIARA YAKE ROMBO, AVUNA WANACHADEMA TARAKEA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika kazi ya kutandaza nyaya za umeme vijijini pamoja na wafanyakazi wa TANESCO wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro katika kijiji cha Kirongo...
View ArticleWaziri Lukuvi amaliza ziara ya siku mbili kushuhudia utendaji wa NHC
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Vangimembe Lukuvi akikagua mradi wa nyumba za gharama nafuu za makazi za Kibada, Kigamboni alipokuwa akikagua mradi huo mchana wa leo. Nyumba za...
View ArticleMISAADA WA MASHUKA HOSPITALI YA MT,MERU
Mwenyekiti wa kikundi cha Upendo Family Group ,Faustine Mwanadago (kushoto)akimkabidhi msaada wa mashuka na maji muuguzi mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Arusha,Mt Meru,Sifael Masawe jana kikundi hicho...
View ArticleUSHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO...
Mwenyekiti wa Kamati ya Watalaam wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa AU na EAC Dkt. Hamisi Mwinyimvua ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha akiwasilisha...
View ArticleSERIKALI ITAWASHUGHULIKIA WAFANYABIASHARA WANAOKWEPA KULIPA KODI – SAADA MKUYA
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya (katikati) akiwasili katika Bandari ya Nchi Kavu ya TRH katika ziara ya wizara hiyo jana jijini Dar es Salaam ambapo kontena mbili zilikamtwa ambapo moja ilikutwa na...
View ArticleWAMILIKI WA KUMBI ZA STAREHE WATAKIWA KUFUATA TARATIBU NA SHERIA KWA MUJIBU...
Na. Johary Kachwamba – MAELEZO, DODOMA…………………………………………….Serikali imewataka wamiliki wa kumbi za starehe , mabaa na nyumba binafsi kufuata taratibu na sheria zilizowekwa kwa mujibu wa vibali na leseni...
View Article