Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AMJULIA HALI BRIGEDIA JENERALI HASHIM MBITA HOSPITALI YA LUGALO

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita aliyelazwa akipata matibabu katika hospitali ya jeshi Lugalo jijini Dar es Salaaam jana.Brigedia Jenerali Hashim...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu Jaji Augustino Ramadhani wakati jaji huyo alipomtembelea na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA WAZIRI MKUU PINDA KATIKA JIMBO LAKE LA UCHAGUZI

 Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akiwapungia wananchi wa Halmashauri ya Nsimbo wilayani Mlele baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Halmashauri hiyo kuhutubia mkutano wa hadhara akiwa katika ziara ya jimbo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA COMORO NCHINI AKUTANA NA RAIS DK.SHEIN

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Comoro Nchini Tanzania Dk.Ahamada El Badaoui  Mohamed alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATAKIWA KUKOMESHA UBABE KWENYE UKEKETAJI

Mratibu wa kituo cha TFGM na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Mtakatifu Catherine Laboure ya Kijiji cha Masanga kilichopo wilayani Tarime mkoani Mara, Thomas Maruga akiwatembeza maeneo mbalimbali ya shule hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE. DKT. BILAL AWATEMBELEA NA KUWAFARIJI WAZEE WAASISI WA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwafariji mke na mtoto wa marehemu Mzee Makame Shekha aliyekua muasisi wa TANU na ASP, alipofika nyumbani kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMANI SERIKALI TUPIENI MACHO BARABARA YA KIVULE DARAJA LA SIRALI LINABOMOKA

 Hili lilisha peleka mzigio sasa linarudi.  Lori kubwa mizigo likipita katia daraja la Sirali, Kata ya Kivule Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam jana huku daraja hilo likiwa bovu na endapo lisipo fanyiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIGULU NCHEMBA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA KUTEMBELEA YATIMA NA...

 Naibu Waziri wa Fedha,Mwigulu Mchemba leo ameadhimisha miaka 40 tangu kuzaliwa kwake. Katika maadhimisho hayo Naibu waziri huyo ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi ameitumia siku hiyo ya leo kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AAGIZA KUFUNGWA MFUMO MPYA WA KIELEKTRONIKI KATIKA VIVUKO VYOTE NCHINI

Na JOHN DOTTO  Mwanza WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli ameagiza kufungwa kwa mfumo mpya wa kielektroniki katika vivuko vyote nchini ili kukabiana na wajanja wachache wanahujumu mapato katika vivuko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI KUTOKA CHUO KIKUU CHA BUFALO NA EMPIRE VYA MAREKANI WAWASILI NCHINI...

Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (katikati mwenye kofia)  akiwa na wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Bufalo na Empire vya Marekani baada ya kuwapokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK.SHEIN AFUNGUA KIWANJA CHA ZSSF-UHURU KARIAKOO LEO.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti  wa  Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa ZSSF Abdulwakil Haji Hafidh alipowasili kiwanja cha ZSSF-Uhuru cha kufurahishia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAOMBA KITUO MAALUMU CHA WATOTO WALEMAVU BUHANGIJA KUSAIDIWA ZAHANATI

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Bi. Anne Rose...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AMWAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA

Msajili wa Mahakama ya Rufaa Bibi Katarina Tengia Revocati akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo(Picha na Freddy Maro)Msajili wa Mahakama ya Rufaa Bibi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEY WA MITEGO, ROMA MKATOLIKI, SHILOLE KUPAMBA UZINDUZI WA HUDUMA MPYA YA...

Meneja uhusiano wa Airtel Bw, Jackson Mmbando……………………………………………………………………………….Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imebainisha kuwa mwishoni mwa wiki hii itazindua rasmi huduma mpya maalum kwaajili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha wajumbe sita wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora katika hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam .Walioapishwa leo ni pamoja na mwenyekiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHC yaeleza mikakati ya ujenzi ya majiji ya USA River na Safari City

Wawasilishaji, James Kisarika, Yusufalli Murad, Meneja Mradi Wa USA River Satellite City na Ms. Meena Pandit, Mkurugenzi , PHILS International  ambao ni Washiriki wa NHC katika katika uendelezaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UGENI WA MTEMVU KUTOKA MAREKANI WAFANYA ZIARA YA KIHISTORIA YA MAFUNZO KATIKA...

 Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu na mkewe Mariam Mtemvu na Binti yao Sitti Mtevu -kushoto, wakiwa katika picha ya pamoja na wageni wao kutoka vyuo vikuu viwili vya Marekiani vya State...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA BANDARI ZANZIBAR LAZINDUA TAGI MPYA YA KUSAIDIA MELI KUBWA KUINGIA...

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Haji Omar Kheri akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Tagi mpya ya Shirika la Bandari Zanzibar ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAFLA YA KUWAKARIBISHA NA KUWAPONGEZA VIONGOZI WAPYA WA TUME YA HAKI ZA...

Mwenyekiti mteule wa THBUB Mhe. Bahame Tom Nyanduga (aliyekaakatikati), akiwa katika picha ya pamoja na timu yake. Kushoto kwakeni: Makamu Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Iddi Ramadhani Mapuri na Mhe.Kamishna...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUMBE WA KAMATI YA UFUNDI YA BODI YA DAWASA) WAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MRADI...

Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es salaam (DAWASA) Didas Mwilawi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fedha akisalimiana na Mwenyekiti wa wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya DAWASA...

View Article
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live