Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge wa CUF kutoka Zanzibar Walipotaka kumtandik’ Mbunge wa Nkasi...

Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy. akikataa kupigwa picha wakati wakati huku wabunge wa cuf wakifuata nyuma na kumuoinyesha vidole kwa kutaka asimame ili wapambanekutokana na baada ya mbunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YA MWISHO YA MPENDWA MWANDISHI WA HABARI MAXIMILLIAN NGUBE HAPA DUNIANI

            Baadhi ya ndugu na jamaa wakifarijiwa na wakazi wa jiji waliofika katika msiba huo wa Mpigapicha wa Kituo cha Televisheni cha Mlimani marehemu Maxmillian John Ngube.Wakazi wa jiji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana Aung'uruma Mbulu,Maelfu Wajitokeza

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Mbulu na kuwataka kutumia muda mwingi kwenye shughuli za kimaendeleo kwa kushirikiana na serikali. Katibu Mkuu alisisitiza serikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILA AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA BARAZA LA MAWAZIRI WA...

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Ame Silima, akizungumza wakati wa mkutano huo kabla ya kumkaribisha Makamu wa Rais kufungua mkutano huo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MAMA YAKE MBUNGE WA KIGOMA ZITTO KABWE WASAFIRISHWA KWENDA KIGOMA

Zitto Kabwe akiwa na Prof  Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu aliyefariki jana kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi Ndege Ikiandaliwa Ili kuweza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHARIRI NA WANAHABARI WATEMBELEA HIFADHI YA KISIWA CHA SAANANE JIJINI MWANZA

Baadhi ya Wahariri wa habari na Waandishi waandamizi toka vyombo mbalimbali vya habari wakitoka katika lango la ofisi za Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Saanane tayari kuelekea kisiwaniBaadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Marehemu Amina-Zahara Shabani Mtengeti azikwa Kisutu, Dar es salaam

 Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Ghalib Bilali, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na viongozi wengine na waombolezaji wakiwa katika mazishi ya marehemu Amina-Zahara Shabani Mtengeti katika makaburi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIGULU NCHEMBA AMPANIA MBUNGE MSIGWA JIMBONI ASEMA ATAONGOZA MAPAMBANO YA...

Naibu katibu mkuu wa CCM bara Mwigulu Nchemba akiwahutubia  wananchi wa  jimbo la Iringa mjini. Vijana wa CCM wakifurahia  hutuba ya Nchemba Wananchi  wa  jimbo la Iringa mjini wakimsikiliza Nchemba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyakazi wa Airtel watoa msaada hospitali ya Ocean Road

Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania ‘Airtel Diva’, Amitin Mbamba (kulia), akikabidhi msaada wa machela za kisasa mbili, ‘wheel chair’ mbili na bidhaa mbalimbali vyenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha Mbalimbali Za Mazishi ya Mama Mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini...

  Mbunge wa Kigoma Kaskazini  Zitto Kabwe akiwa Mbele ya Kaburi la Mama yake mzazi Bi Shida Salum muda mfupi baada ya kuzikwa jana kwenye makaburi ya Rubengela mjini Kigoma   Umati wa wananchi wa mkoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA MBALIMBALI ZA HARUSI YA MBUNGE WA ARUMERU-MASHARIKI- CHADEMA JOSHUA...

 Msafara ukaanza safari ya kuelekea barabara kuu ya Moshi/Arusha ukitokea kanisani Kilinga.Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki-Chadema , Joshua Nassari na ,Anande Nnkowakiwa ndani ya gari muda mfupi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye Alivyopambana na Upinzani Chuo...

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wanachama wa Tawi la CCM SAUT Kambarage na wananchi wa Nyamalango , wilaya ya Nyamagana Mwanza ambapo aliwaambia kuwa CCM itaendelea kuongoza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) LILIPOTIA SAINI UJENZI WA NYUMBA 14 KWA...

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpya Busokelo, Meckson Moses Mwakipunga (katikati) akibadilishana mkataba na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Saidi Mderu (kushoto) baada ya kuusaini katika hafla...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAOMBAJI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI UHAMIAJI ZAIDI YA 10,000 WAFANYA...

 Sehemu ya waombaji zaidi ya 10,000 wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi, Idara ya Uhamiaji wakifanya usaili wa awali wa kuandika ulioandaliwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa ajili ya kujaza nafasi 70...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shirika la Nyumba la Taifa lakabidhi nyumba 40 lilizozijenga na kuwauzia BoT

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Felix Maagi akizungumza wakati wa makabidhiano ya nyumba 40 ambazo zimenunuliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Itikabu wa NEC,itikadi na Uenezi-CCM, Nape Nnauye Alivyotinga Jimboni...

  Nape akizindua Shina la wakereketwa wacheza bao, tawi la Jumuia ya Wazazi la 770, Kimara, wakati wa ziara hiyo.Vijana wa Chipukizi wa CCM, wakimvisha skafu Nape alipowasili katika kata hiyo kuanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Mali asili na Utalii, Lazaro Nyalandu Apokea Rasmi Helikopta...

 Mwonekano wa helkopta iliyotolewa msaada na Taasisi ya Howard Buffet kwaajili ya kusaidia mambambano dhidi ya ujangili katika hifadhi za taifa nchini. Waziri wa Mali asili na Utalii, Lazaro Nyalandu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT.GHARIB BILAL AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA RAIS WA BOLIVIA, EVO...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokewa na wenyeji wake wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Bolivia juzi Juni 13, 2014 kwa ajili ya kuhudhuria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA ARDHI NA WAKURUGENZI WA BODI YA NHC SINGAPORE

-Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi Mh. George Simbachawene akiwa na wajumbe wa Bodi ya NHC na Watendaji wa NHC walipotembelea mji wa Bunggol wenye nyumba za wananchi (social housing...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAUTI SOL WATIKISA TAMASHA LA ZIFF 2014

MOJA ya vitu ambavyo wazanzibari watakumbuka ni jinsi kundi la Kenya ambalo hivi karibuni liliibuka kundi bora katika MTV Base lilivyovamia jukwaa na kuendesha shoo ya saa moja na nusu iliyokuwa na...

View Article
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live