UN KUBORESHA VYOO VYA SHULE 10 KILIMANJARO
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akisalimiana na walimu mara baada ya kuwasili katika shule ya msingi Kiboriloni kwa...
View ArticleMAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALLY IDD ATEMBELEA JENGO LA...
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu wakati kiongozi huyo wa kitaifa alipotembelea jengo la...
View ArticleJiji la Dar es Salaam linavyoonekana kutokea angani
Dar es Salaam ileeeee ya Upanga na Dar es Salaam ya huku Hananasif ni Dar es Salaam mbili tofauti kabisaaa hebu fanya comparison, hilo bonde la katikati ni lile linalolindwa kwa baraka za Baraza la...
View ArticleASKOFU MALASUSA AZINDUA HARAMBEE KANISA LA KKKT MBEZI BEACH
Wazee wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach wakifuatilia ibada hiyo iliyofanyika katika kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu. Katibu wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach, Nehemia Kyando Mchechu akinadi moja wapo ya...
View ArticleMAKAMU WA RAIS MHE. DKT. MOHAMMED GHARIB BILAL AKUTANA NA MABALOZI WATEULE LEO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi mteule wa Tanzania Nchini Zimbabwe Lt. Gen. Charles Lawrence Makakala na Balozi Mteule wa...
View ArticleMAWAKALA WA AIRTEL MONEY MKOA WA DAR ES SALAAM WAPATA MAFUNZO
Meneja Mafunzo ya Biashara wa Airtel Tanzania, Ayubu Kalufya akitoaelimu kuhusu huduma mpya ya ‘Timiza Mikopo kwa Wakala’, wakati wa mafunzo kwa mawakala wa Airtel Money wa mkoa wa Dar es Salaam jana....
View ArticlePRESIDENT MUSEVENI ADDRESSES EALA IN KAMPALA
President Yoweri Museveni shakes hands with the Deputy Clerk of EALA, Alex Obatre as Executives of the EAC and Parliament of Uganda look on H.E. Yoweri Kaguta Museveni signs the visitors book at the...
View ArticleTANAPA YATANGAZA KAMPENI YA MIEZI SITA KUHAMASISHA UTALII WA NDANI.
Kaimu Meneja Masoko wa Shirika la Hifadhi za Taifa,TANAPA,Victor Ketansi akizungumza na wanahabari(hawako pichani) juu ya Kampeni ya uhamasishaji wa utalii wa ndani kwa wazawa itakayodumu kwa muda wa...
View ArticleMKUU WA MKOA MH. JOEL BENDERA AZINDUA MFUKO WA AFYA YA JAMII ULIYOBORESHWA...
Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa CHF ILIYOBORESHWA mkoani Manyara,Mkuu wa Mkoa Mh.Joel Bendera akiwasili katika viwanja vya Halmshauri ya Mji wa Mbulu akiongozana toka kulia ni Mganga Mkuu wa Mkoa...
View ArticleZaidi ya vijana 1000 wapata mafunzo bora ya Kilimo
Maneja wa Mradi wa Kilimo Klabu wa Vodacom Tanzania, Frank Madebwe(katikati)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa Semina ya Vijana iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar...
View ArticleTANGA CEMENT YATOA SOMO LA UPANDAJI MITI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI YA ROSMINI
Meneja Mawasiliano na Mahusiano ya Nje wa Tanga Cement,Bi. Mtanga Noor (kulia) akiwa na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Rosmini ya mjini Tanga wakishiriki zoezi la kupanda miti katika...
View ArticleDK.SHEIN ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakisalimiana na Viongozi walipofika...
View ArticleMAMA SAMIA HASSAN AANZA KAMPENI MKOANI KILIMANJARO, AUNGURUMA SAME MCHANA HUU
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan akilakiwa na wananchi baada ya kuwasili Ofsi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro leo. Mbombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCMSamia Suluhu...
View ArticleKAMPENI ZA MAGUFULI ZAITIKISA MPANDA
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mpanda wakati akiwasili kwenye viwanja vya Azimio tayari kwa mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM ambapo alihutubia...
View ArticleAFRIKA KUSINI YAVUTIWA KUWEKEZA KWENYE NISHATI NCHINI
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) akizungumza na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku mapema leo, Agosti 24, 2015 ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Waziri wa...
View ArticleKONGAMANO LA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI KUFANYIKA AGOSTI 28-30,...
Meneja Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Nuebrand EC, Cathreen Bukuku (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu kongamano la wiki ya huduma za kifedha...
View ArticleWASHINDI AIRTEL RISING STARS DAR WATUNUKIA
Mtendaji mkuu bodi ya ligi Boniface Wambura akimkabidhi Kombe nahodhawa timu ya Harmburg Queens Jamila Kassim baada ya kuwa mabingwa katika michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel...
View ArticleMAMA SAMIA AITEKA ROMBO NA VUNJO
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan, akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni aliofanya leo, Agosti 25, 2015, katika mji mdogo wa Tarakea, jimbo la Rombo,...
View Article