RAIS DK.SHEIN AWAALIKA CHAKULA MATAKTARI BINGWA KUTOKA UINGREZA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamaed Shein (kushoto) akiwa na madakatari Bingwawa maradhi yanayohusiana na mfumo wa utoaji wa haja ndogo kutoka Uingereza...
View ArticleWAZIRI SAADA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KARIAKOO NA MTAA WA NAMANGA
. Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (wa pili kulia) akiongoza na viongozi wa mkoa wa kodi wa Ilala kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na maafisa wa Serikali alipofanya ziara ya kushtukiza...
View ArticleUTIAJI SAINI MKATABA WA MAKUBALIANO YA KUKIUNGANISHA CHAMA CHA SPLM CHA SUDAN...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Salva Kiir Mayardiy waSudan ya Kusini (kushoto), Makamu wa Rais wa zamani wa Sudan Dkt RiekMachar Teny (wa pili kulia) na Bw. Deng Alor Kuol wakitia...
View ArticleBALOZI SEIF ASHIRIKI HARAMBEE CHUO CHA CBE, AKUSANYA MILIONI 540.8.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ally Idd akikabidhi mchango wake wa shilingi milioni 3 kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uongozi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Prof. Mathew Luhanga...
View ArticleMPANGO WA BRN SEKTA YA ELIMU UNAMAPUNGUFU – HAKIELIMU
Kaimu Mkurugenzi wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. Wengine kushoto na kulia ni maofisa wa taasisi ya HakiElimu wakiwa katika mkutano...
View ArticleKATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AENDELEA NA ZIARA UNGUJA KASKAZINI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndugu Vuai Ali Vuai mara baada ya kuwasili katika kijiji cha Kikobweni jimbo la Chaani mkoa wa Unguja...
View ArticleWatendaji wa Shirika la Nyumba Wafanya ziara ya maeneo ya Matevez na USA...
Baadhi ya watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa, waliokuwa katika kongamano la wiki nzima la Mameneja wa Mikoa na Watendaji wengine lililokuwa likifanyika katika hoteli ya Naura Springs, Arusha...
View ArticleSEKTA YA UMMA YAOMBWA KUIMARISHA UBUNIFU KWENYE SAYANSI HAI
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech), Dk. Hassan Mshinda (katikati), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kwenye semina ya siku mbili iliyohusu...
View ArticleSKYLIGHT BAND YAIBUA KIFAA KIPYA MITHILI YA KASUKU SI MWINGINE NI ASHURA...
Mratibu wa Skylight Band, Lubea akimkaribisha mdau wa bendi hiyo Miryam Kamaliza shot ya Tequila wakati wa show iliyobamba wakazi wa Dar Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki.Mratibu...
View ArticleKINANA APOKELEWA KWA MCHAKAMCHAKA WA NGUVU JIMBO LA DONGE
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wa nne kutoka kushoto akipokelewa kwa mchakamchaka na Mbunge wa jimbo la Donge na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Sadifa Juma Khamis wa tatu kutoka kushoto...
View ArticleKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI...
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam , wakati akitoa taarifa kuhusu...
View ArticleOBI KUWEKEZA KWENYE SOKO LA SMARTPHONE ZENYE GHARAMA NAFUU TANZANIA
Mkurugenzi Mtendaji wa Obi Mobiles, Afrika Mashariki na Kati na Afrika, Amit Rupchandani (katikati) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari )hawapo pichani) jijini Dar leo wakati wa...
View ArticleMTWARA YAPIGA HATUA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI NA SALAMA
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendegu akiwakaribisha wajumbe wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji iliyowasili mkoani humo kukagua miradi ya maji. (Picha zote na Hussein Makame,...
View ArticleHATIMAYE WAZIRI WA NISHATI NA MADINI, PROFESA SOSETER MUHONGO AJIUZULU
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akiongea na wanahabari ofisini kwake leo.Hatimaye Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospiter Muhongo amejiuzulu leo jijini Dar es Salaam.Waziri...
View ArticleKAMATI YA BUNGE NA HUDUMA ZA JAMII YATEMBELEA TAASISI YA TIBA YA MIFUPA ,...
Picha ya pamoja Waziri wa Afya Seif Rashid (wa sita kulia) na wakiongozwa na Kaimu Mwenyekiti wa kamati ya Huduma ya Bunge ,Kuduma ya Jamii Gregory Teu (wa nne kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi...
View ArticleALHAJ ALI HASSAN MWINYI NA MHE. EDWARD LOWASSA KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 20 YA...
Mbunge wa Monduli na waziri mkuu wa zamani Mh Edward Lowassa na mkewe Mama Regina Lowassa wakimkaribisha Rais mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi na mkewe Mama Sitti Mwinyi katika...
View ArticleKatibu wa Mwalimu Julius Nyerere wawataka NHC kuweka uzalendo mbele
Katibu Myeka wa Muasisi wa Taifa hili na Rais wa Kwanza wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Mzee Samwel Kasori akizungumza na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa walioshiriki...
View ArticleZiara ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa Mikoani
Mkurugenzi wa Mikoa na Utawala wa NHC Bw. Raymond Mndolwa (aliyenyosha mkono juu) akiekeza jambo wakati alipokuwa kwenye ziara ya Mkurugenzi Mkuu wa NHC kwenye mradi wa nyumba za Makazi Wilayani...
View ArticleDKT. SHEINI AZINDUZI SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA CCM
Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzinzibar pia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na wananchi na WanaCCM wa Mikoa ya Pemba katika uzinduzi wa kuadhimisha...
View ArticleMBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA, SHERIA NGOWI AMVALISHA RAIS MPYA WA ZAMBIA
Rais mpya waZambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum (Presidential suit)iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini TanzaniaSheria Ngowiakikagua gwaride rasmi kabla ya kuapishwa...
View Article