Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6822 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE CHAIOMBA SERIKALI KUPELEKA VIONGOZI...

  Mkuuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Profesa, Shadrack Mwakalila (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam , kuhusu mipango na masuala mbalimbali ya chuo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR MAHMOUD THABIT KOMBO AFUNGA MAFUNZO YA SIKU 10...

Mratibu wa mafunzo ya mfumo wa ukusanyaji taarifa za Afya (D.H.I.S) Suleiman Salum  Ali  akieleza mafanikio  ya mafunzo hayo  yaliyofanyika Hoteli ya Double Tree Nungwi, wa kwanza (kulia) ni Profesa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHITINU 130 WA CHUO KIKUU CHA ARDHI (ARU), WATUNUKIWA TUZO KWA KUFANYA...

 Onesmo Charles ambaye ni mmoja wa wanafunzi 130 waliofanya vizuri katika masomo katika Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), akijaribu kifaa cha kisasa cha kupimia ardhi, viwanja na ramani za nyumba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAUDIA YAIPATIA SERIKALI YA TANZANIA ZAIDI YA SH. BILIONI 45 KUBORESHA HUDUMA...

 Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kushoto) akisaini mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu kwa serikali ya Tanzania kwa niaba ya Serikali ya Tanzania jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI KITAALUMA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA (MOCU)...

Baadhi ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaaluma wakimsilikiliza Kaimu wa Makamu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (hayupo pichani)Pro,Faustine Bee wakati akizungumza katika sherehe hiyo.Baadhi ya wakuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA MUDA YA BLOGGERS TANZANIA YAANZA KUPITIA RASIMU YA KATIBA YAO

  Mwenyekiti wa Muda wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii Tanzania (Bloggers), Joachim Mushi (wa pili kushoto), akizungumza wakati akifungua majadiliano kwa wajumbe wa kamati ya muda ya wamiliki wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK APIGA TIZI MARA TATU KWA SIKU KUIMARISHA AFYA YAKE

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazoezi janakatika viwanja vya Ikulu kufuatia ushauri wa madaktari waliomtaka afanye hivyo mara tatu kwa siku ili kuendelea kuimarisha afya yake baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND AWASILI WASHINGTON, DC TAYARI KWA MAKAMUZI

 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Idris kashinda BBA 2014 na kujinyakulia kitita cha dola 300,000 za Marekani

Mshiriki kutoka Tanzania anayewakilisha ndani ya mjengo wa Big Brother ‘hotshots’ , Idris Sultan.Mshiriki kutoka Tanzania aliyekuwa akituakilisha  ndani ya mjengo wa Big Brother ‘hotshots’ , Idris...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATEUA MKUU MPYA MMOJA WA MKOA NA KUWAHAMISHA VITUO VYA KAZI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mkuu Mpya mmoja wa Mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi wengine sita kuanzia jana, Jumamosi, Desemba 6, 2014.Taarifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAHIMIZA VIJANA KUJITOLEA

Kaimu Mkurugenzi, Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, James Kajugusi (mwenye suti nyeusi) aliyewamwakilisha Waziri mwenye dhamana wa wizara hiyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TICTS FAMILY DAY YANOGA JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Ushushaji Mizigo Bandarini - Tanzania International Container Terminal (Ticts), Paul Wallace (kulia) akimkabidhi zawadi kwa timu kapteni wa timu ya Operations...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND USIPIME ANOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV

Prezida wa Wasafi Diamond Platnumz akiwa pamoja na wacheza showa wake Roma Tonsa na Moses Iyobo wakitoa burudani katika kunogesha sherehe ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika Sheraton...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI CHIKAWE ACHANGISHA ZAIDI YA MILIONI 22 KKKT JIMBO LA...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe akifungua zoezi la uchangiaji wa harambee ya kupatikana kwa shilingi milioni 100 kwa ajili ya ununuzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AFANYA KISOMO KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KUPONA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mjukuu wake Ayman Ridhiwani Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam muda mfupi baada ya kumalizika kisomo cha shukran kwa Mwenyezi Mungu kiklichofanyika Ikulu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)WAIBUKA KIDEDEA TUZO ZA NBAA

Naibu Waziri   wa  Fedha   Adam  Malima  akimkabidhi Tuzo kamishna mkuu wa TRA Rished Bade katika kufunga mkutano  wa  mwaka  wa  wakaguzi  na  wahasibu  (NBAA) unaofanyika jijini  Arusha  ambapo TRA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DR. SHEIN ASHIRIKI MAZIKO YA MUASISI WA CCM

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa tatu kulia) akijumuika na  waislamu na Viongozi kumuombea dua  Muasisi wa CCM  Marehemu Mzee Juma Ameir Juma baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TTB na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC) zatangaza utalii wa...

Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Peter Kalaghe na Garry Hutchinson Mkurugenzi wa Biashara wa timu ya ligi kuu ya Uongereza ya Sunderland wakionyesha jezi ya iliyoandikwa Tanzania yenye rangi za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHOYA SHEREHE ZA UHURU MIAKA 53 LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mikono wananchi waliofurika  katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. JAKAYA KIKWETE ATUNUKU NISHANI IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimtunuku nishani ya miaka 50 ya Muungano daraja la pili Augustino Stephene Ramadhan katika hafla kutunuku nishani katika viwanja vya...

View Article
Browsing all 6822 articles
Browse latest View live