MJADALA WA SAKATA AKAUNTI YA ESCROW BUNGENI LEO
Nchambi: Anailaumu serikali kwa kuchelewesha kuleta jambo husika bungeni, watanzania wana hamu ya kujua fedha ni nani? Wakili wa TANESCO (Mkono) alishauri kufunguliwa akaunti (ananukuu maandiko ya...
View ArticleBALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MDOGO WA SAUDI...
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga amekutana na Balozi Mdogo wa Saudi Arabia, Dubai, ambaye pia ndio Mkuu wa Mabalozi wadogo nchini humo (Dean of Diplomatic Corps) Mhe. Emad A. Madani...
View ArticleShule za msingi za Rightway zaadhimishwa miaka 10 ya kuanzishwa kwake
Mgeni rasmi na Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza wakati wa mahafali ya shule ya Msingi ya Rightway, Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam, Kulia kwa Mkurugenzi ni...
View ArticleMAHAFALI YA 5 YA CHUO KIKUU CHA DODOMA YAFANYIKA MJINI DODOMA
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma,Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin W. Mkapa akiongoza mahafali ya tano ya Chuo Kikuu hicho yaliyofanyika katika eneo la Chimwaga,ndani ya Chuo Kikuu cha Dodoma...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI,...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Mkuu wa mkoa wa Njombe, Dkt. Rehema Nchimbi, kwa pamoja wakisimama kupokea maandamano wakati wa sherehe za Maadhimisho ya...
View ArticleBUNGE LA VIJANA LAANZA VIKAO VYAKE KATIKA UKUMBI WA MSEKWA BUNGENI DODOMA
Washiriki wa Bunge la Vijana wakifuatilia Mijadala ya Bunge hilo kwa Makini. Washiriki wa Bunge la Vijana wakifuatilia Mijadala ya Bunge hilo kwa Makini. Washiriki wa Bunge la Vijana wakifuatilia...
View ArticleRais Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na...
Profesa Mussa Juma Assad--- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...
View ArticleWAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WAFURAHIA GULIO LA VODACOM EXPO
Afisa wa mauzo wa Duka la Simu la Bei nzuri la jijini Arusha,Martha Meena akitoa maelezo kwa wateja waliofika katika banda la duka hilo wakati wa gulio la punguzo kubwa la bei za simu za mkononi...
View ArticleITV YAZINDULIWA DSTV
MultiChoice Africa, kampuni inayoongoza katika kutoa burudani ya kulipiwa ya dijitali pamoja na IPP Media wamesaini makubaliano yatakayoleta chaneli maarufu zaidi Tanzania, ITV, kuwa sehemu ya jukwaa...
View ArticleCLOUDS FM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 15 TANGU KUANZISHWA KWAKE
Mmoja wa Watangazaji machachari wa Clouds FM, Adam Mchomvu akitoa muongozo mfupi kwa baadhi ya Wafanyakazi wenzake waliomzunguka, kuhusiana na ukataji na ulaji wa Ndafu kama ionekavyo pichani, wakati...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA FEDHA AFUNGUA MKUTANO WA WATAALAMU WA UGAVI JIJINI ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha,Adam Malima akiongoza na maafisa wa Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) katika mkutano wa Siku mbili unaofanyika kwenye kituo cha mikutano cha AICC, jijini Arusha.Naibu...
View ArticleMBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AVUNA WANACHAMA 167 KUTOKA UKAWA
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Kulia akimsikiliza Aliyekuwa Mwenyekiti Baraza la Vijana la Chama cha wananchi CUF Wilaya ya Morogoro Ndugu Mariam Iswili aliyeamua Kurudisha Kadi ya Cuf...
View ArticleBENKI YA CRDB YASAINI MKATABA WA HALI BORA ZA WAFANYAKAZI WAKE
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza wakati wa uwekaji saini wa Mkataba wa Hali Bora za Wafanyakazi na Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Fedha, Viwanda, Biashara,...
View ArticleRAIS JAKAYA KIKWETE AMUAPISHA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI IKULU
Rais Jakaya Mrisho kikwete akiwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) Profesa Musa Juma Assad baada ya kumuapisha Ikulu jijini Dar es salaam jana Desemba 2, 2014 Rais Jakaya Mrisho kikwete...
View ArticleKINANA AANDIKA HISTORIA MIKOA YA LINDI NA MTWARA
Wakazi wa Mtwara mjini wakishangilia wakati wa mkutano wa hadhara wa CCM ukiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa...
View ArticleSIRI YA MTUNGI SEHEMU YA PILI YAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM
Muongozaji wa Tamthilia ya Siri ya Mtungi, Jordan Riber akizungumza katika uzinduzi wa tamthilia hiyo Sehemu ya pili kwenye ukumbi wa Cinemax Century jijini Dar es salaam.MC wa shughuli ya uzinduzi wa...
View ArticleUWEZO WA VYUO VIKUU KUCHUKUA WANAFUNZI WA SAYANSI BADO CHANGAMOTO KWA...
Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Ufundi nchini Tanzania Mh. Dkt. Shukuru Kawambwa akifungua mkutano wa kimataifa wa kutathmini mafanikio na changamoto za utekelezaji wa malengo ya Mpango wa Kimataifa wa...
View ArticleKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AFUNGUA MAONESHO YA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaaban Mwinjaka akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu maadhimisho ya miaka 70 ya Usafiri wa anga duniani yanayoendelea nchini...
View ArticleMAZISHI YA MRAKIBU WA POLISI CAPT. KIDAI SENZALA ALIYEFARIKI KATIKA AJALI YA...
Maafisa wa Polisi wakiwa wamebeba sanduku lililohifadhi mwili wa Marehemu Capt. Kidai Senzala Kalise aliyefariki Novemba 29 mwaka huu katika ajali ya Helkopta iliyotokea Kipunguni B-Moshi Bar Dar es...
View ArticleMKUTANO WA DR SHEIN NA VIONGOZI WA MASHINA WILAYA YA CHAKE
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akisalimiana na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi alipofika katika Viwanja vya Chuo cha...
View Article