Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6888 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAAHIDI KUTAFUTA UFUMBUZI SUALA UHABA WA MAGHALA

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na waandishi wa habari kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere  leo mara baada ya kuwasili  akitokea katika ziara yake ya Ulaya  na Mashariki ya Kati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIM COOK WA KAMPUNI YA APPLE ASEMA ANA FAHARI KUWA SHOGA

Mtendaji Mkuu wa Apple, Tim Cook.MTENDAJI Mkuu wa kampuni ya Apple ya Marekani, Tim Cook, amefichua kwamba yeye ni shoga na anaona fahari kuwa hivyo.Cook ameyasema hayo leo katika tahariri ya mtandao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE LA BURKINA FASO LACHOMWA MOTO

Waandamanaji wakilitazama bunge la Burkina Faso likiteketea kwa moto.Waandamanaji hao wakishangilia baada ya kuchoma bunge.…Waandamanaji wakilitazama bunge la Burkina Faso likiteketea kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TABATA FC YAINGIA ROBO FAINALI YA LIGI YA DK. MWAKA SPORTS EXTRA NDONDO CUP...

 Wachezaji wa timu za Boom FC na Vijana ya Ilala wakisalimiana kabla ya mchezo wao wa hatua ya 16 Bora ya michuano ya Dk. Mwaka Sports Extra Ndondo Cup 2014 uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA YAMALIZA ZIARAYAKE KATIKA...

Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira jana imekamilisha ziara yake kwa kukagua mgodi wa Buzwagi na kuridhishwa na utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Baraza la Taifa la Hifadhi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKYLIGHT BAND INAKUKARIBISHA USIKU WA LEO THAI VILLAGE KWA BURUDANI YA...

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na waimbaji wenzake kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAPOKEA KWA FURAHA FRELIMO KUIBUKA ,MSHINDI KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MSUMBIJI

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti,makao makuu ya Chama Ofisi Ndogo Lumumba jijini Dar es Salaam. ………………………………………………………NA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NYUZZZ......... :BASI LA SIMBA MTOTO LAGONGANA USO KWA USO LA LORI...

Basi la Simba mtoto linalofanya safari zake kati ya Dar na Tanga likiwa limegongana uso kwa uso na Lori la mizigo katikati ya Daraja la Mto Wami mkoani Pwani,dereva wa lori hilo amefariki papo hapo na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHC watathmini utekelezaji wa ujenzi wa miradi

Meneja wa NHC Mkoa wa Tabora, Erasto Chilambo akiwasilisha ripoti ya utekelezaji wa mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Isikizya zilizopo wilayani Uyui mkoani Tabora kwenye semina ya mameneja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi afungua rasmi...

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu, akimsindikiza Mgeni Rasmi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Alphayo Japan Kidata kuelekea kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOTUBA YA WAZIRI WA UCHUKUZI MHE. DKT. HARRSION MWAKYEMBE KATIKA MKUTANO WA...

Awali ya yote napenda nichukue fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kujumuika pamoja leo hii katika tukio hili muhimu linalohusu mkutano mkuu wa sita wa mameneja wa Mamlaka ya Viwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESIDENT KIKWETE MEETS CYRIL RAMAPHOSA AT STATE HOUSE

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete in conversation with South Africa’s Deputy President Cyril Ramaphosa at State House Dar es Salaam when the later paid him a courtesy call yesterday evening(photos by...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CAROLINE BERNARD ANYAKUA TAJI LA MISS UNIVERSE 2014

Mrembo Caroline Bernard akipungia mkono muda mfupi baada ya kutangazwa rasmi kuwa ndio Miss Univerce 2014, katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip,Jijini Dar es Salaam.Mrembo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEMINA YA FURSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER,...

Kushoto ni Dkt. Frank Forka ambaye ni mkurugenzi PGCEDC Africa Trade Office akielezea njia za kufuata kwa mwekezaji kutoka Tanzania anapokuja kutafuta au kufanya mazungumuzo na wawekezaji wa Kimarekani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMUIYA YA WAZAZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA DAR ES SALAAM YAZINDUA...

 Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Seif Shaban Mohamed (kushoto), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Daftari la wanachama wa Jumuia hiyo mkoa wa Dar es Salaam,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MIZENGIO PINDA KATIKA HAFLA YA KUCHANGIA MADAWATI

Waziri Mkuu Mizengo Pinda wa tatu kutoka kulia akibonyeza namba ya simu kwa ajili ya kuchangia madawati 6000 ya wanafunzi wenye ukosefu  wa madawati nchini katika hafla ya chakula cha jioni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESIDENT KIKWETE GIVES NEW SUNDERLAND FC ACADEMY IN TANZANIA HIS SEAL OF...

President Jakaya Mrisho Kikwete  Yesterday  November 1, 2014 joined senior officials from English Premier League football club, Sunderland AFC (SAFC) and Symbion Power, a US energy provider,  in a...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI AIDAN...

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu chaMaombolezo wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Meja Jenerali AidanIsidore Mfuse katika hospitali kuu ya JWTZ ya Lugalo jijini Dar esslaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK SHEIN ASHUHUDIA SHEREHE ZA KMKM USHINDI MISIMU MIWILI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisaliniana na Mkuu wa KMKM KomodoreHaasan Mussa alipowasili katika sherehe za KMKM kwa ushindi wa timu zake kushinda misimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEREHE ZA MIAKA 50 YA BENDI YA MSONDO NGOMA ZAFANA SANA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante Ole Gabriel akipokea Cheti cha heshima kutoka kwa Muwakilishi wa Mfuko wa PSPF,Abdul Njaidi ambao ni sehemu ya Wadhamini...

View Article
Browsing all 6888 articles
Browse latest View live