Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6834 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JHIKOMAN, ZAWOSE, MAEMBE KUPAMBA ‘KARIBU FESTIVAL’

Msemaji wa tamasha la Karibu Music Festival, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’ (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho huo...Wapo pia Prof. Jay, Barnaba, ShiloleNa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AWASILI OMAN KWA ZIARA YA KIKAZI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua gwaride baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Muscut wa Royal  Airport kwa ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Oman Oktoba 27, 2014. Kushoto ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI YATEMBELEA SUDAN

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe na Kiongozi wa Kamati ya Bunge ya Kilimo Sudan, Dk. Habib Makhtom wakisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Kurugenzi ya Maandalizi ya Miradi Sudan, Inj. Mohamed...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KUHUSU WAZIRI NYALANDU

  TAARIFA RASMIKatika gazeti la Jamhuri la Jumanne Agosti 19 – 25, 2014 ISSN No. 1821-8156 Toleo No. 150, zilichapishwa taarifa potofu zenye  kichwa cha habari;KASHFA IKULU;·    Nyalandu atumia Leseni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAKATAA RASMI NDOA ZA JINSIA MOJA KWENYE AGENDA ZA MAENDELEO YA MILENIA

Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Wanawake, Anna Collins akitoa hotuba yake wakati akifungua warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki mbalimbali na kwa kiasi ngani Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA YAKE RASMI YA SIKU MBILI VIETNAM

President Dr Jakaya Mrisho Kikwete lies a wreath at the Mausoleum of the First President Ho Chi Minh in Hanoi on  his last leg of his two-day official visit to Vietnam today October 28, 2014President...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii yafanya ziara katika Miradi mitatu ya NSSF...

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abubakar Rajabu (aliesimama) akizungumza wakati wa kuwakaribisha Wabunge wa Kamati ya Huduma za Jamii,waliofanya ziara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA MWEZI WA WANAWAKE WAJASILIAMALI...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake ya ufunguzi rasmi wa Maonesho ya mwezi ya Wanawakae wajasaliamali (MOWE) yaliyofanyika kwenye Viwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONDOKA VIETNAM BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA RASMI YA SIKU MBILI...

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhandisi Christopher Chiza (wa pili kushoto), Mbunge wa Ilala na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHIDI BENZ APANDISHWA KIZIMBANI, AKOSA DHAMANA NA APELEKWA SEGEREA

 Msanii wa Hip Hop, Rashid Makwiro 'Chid Benz' akiwa chini ya ulinzi akipelekwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu .  Msanii wa Hip Hop, Rashid Makwiro 'Chid Benz' akiwa chini ya ulinzi akipelekwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake waaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari.

 Mkurugenzi wa Usalama wa Mazingira Majini Bw. Tumpe Mwaijande kutoka Wizara ya Uchukuzi kwaniaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Shaaban Mwinjaka akiongea na wajumbe wa Umoja wanawake walio katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi waaswa kuwa makini na kauli za wanasiasa-IPTL

 Katibu na Mshauri Mkuu wa Makapuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Bw. Joseph Makandege, (mwenye suti nyeusi kushoto)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA TANO LA KIMATAIFA KUJADILI...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Tano la Kimataifa la kujadili matumizi ya Nishati itokanayo na joto ardhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE CHID BENZ APATA DHAMANA KATIKA KESI YA MADAWA YA KULEVYA

Chid Benzi akitoka lango la mahakama ya Kisutu.Akifungua mlango wa gari lililokuwa likimsubiri.MSANII wa muziki wa kizazi kipya Rashid Makwiro ’Chid Benz’amepata dhamana mapema JANA katika  Mahakama ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AENDELEA NA ZIARA YAKE NCHINI OMAN

 Moja ya barabara za jiji la Muscat, Oman Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkurugenzi Mtenda wa Shirika la Maendeleo ya Petroli la Oman (PDO), Bw. Raoul Resticci baada ya kuwasili kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has...

 H.E. Dilma Rousseff, President of Brazil--UNITED REPUBLIC OF TANZANIA  MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL COOPERATION H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA KIFO CHA MEJA JENERALI AI MFUSE

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange anasikitika kutangaza kifo cha Meja Jenerali Aidan Isidore Mfuse (mstaafu) kilichotokea tarehe 29 Oktoba 2014 katika Hospitali ya Appolo nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Delloite Touche wawapiga msasa Mameneja na Wakurugenzi wa NHC juu ya mapitio...

Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Bw Felix Maagi ambaye pia alikuwa akimwakilisha Mkurugenzi Mkuu akizungumza wakati wa ufunguzi wa Semina kwa Mameneja na Wakurugenzi wa Shirika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AFUNGUA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA TUME YA UTUMISHI WA UMMA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya miaka 10 ya Tume ya tutmishi wa Umma lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA MSONDO WAMTEMBELEA RAIS KIKWETE IKULU

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na viongozi wa Bendi ya Msondo ngoma ikulu jijini Dar es Salaam leo mchana.Viongozi hao walimtembelea Rais Kikwete ikulu leo na kufanya naye mazungumzo(picha...

View Article
Browsing all 6834 articles
Browse latest View live