Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6856 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WATAKIWA KUONA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC) NI MALI YA UMMA

Mkuu wa wilaya ya Arumeru mkoani Arusha Nyerembe Munasa akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kutembelea banda la Shirika la Bima la Taifa (NIC) katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YATOA VITABU KWA SHULE YA SEKONDARI SHIBULA MWANZA

Meneja Airtel Kanda ya Ziwa Raphael Daudi (Kushoto) na Afisa  Elimu Sekondari Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza Juma Kasandiko  wakiwa wameshikilia kitabu baada ya  makabidhiano ya vitabu vya shule  ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA MWAKA LA WAKAGUZI WA HESABU ZA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua Kongamano la mwaka la siku tatu la Wakaguzi wa Hesabu za Ndani, linaloendelea kwenye ukumbi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WATINGA VIWANJA VYA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUSIKILIZA RASIMU...

Msanii wa filamu nchini Tanzania maarufu kama Mzee Chilo akiwa katika picha ya pamoja na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Angellah Kairuki jana 24 Septemba, 2014 katika viwanja vya Bunge hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHUANO YA DR NDONDO CUPMWAKA SPORTS EXTRA KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA

Viongozi na wawakilishi wa timu shiriki za Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup wakizionesha jezi watakazozitumia katika michano hiy, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi kesho Ijumaa kwenye Uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE MAALUM LA KATIBA LAPENDEKEZA IBARA 274 BADALA YA 271 ZA TUME

BUNGE MAALUM LA KATIBA LAPENDEKEZA IBARA 274 BADALA YA 271 ZA TUME .IBARA 186 ZA TUME ZABORESHWAIBARA 41 MPYAIBARA 47 ZA TUME ZABAKI KAMA ZILIVYOIBARA 28 ZA TUME ZAFUTWANa Mwandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE MAALUM LA KATIBA LAPENDEKEZA MAKAMU WATATU WA RAIS

Bunge Maalum la Katiba limependekeza muundo wa uongozi wa Serikali utakuwa na  Makamu watatu wa Rais wa Jamhuri Muungano  wa Tanzania. Kauli hiyo imetolewa leo mjini Dodoma na Mwenyekiti wa  Kamati ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKOSEFU WA UELEWA NA IMANI POTOFU NI MOJA YA CHANZO CHA UNYANYAPAAJI KWA...

Na Anna Nkinda – Maelezo, New York24/9/2014 Ukosefu wa uelewa na imani potofu miongoni mwa wanajamii ni moja ya chanzo cha unyanyapaa kwa watoto wenye tatizo la usonji (Autism) .Hayo yamesemwa jana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ETIHAD AIRWAYS IN DAR ES SALAAM

TANZANIA AIRPORTS AUTHORITY (TAA)                                                                    Press Release         Etihad Airways in Dar by December*Reveals Network Growth StrategyThe Abu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA SALMA KIKWETE AHUTUBIA MKUTANO WA AFYA KUHUSU SARATANI YA SHINGO YA...

Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Wake wa Marais na Wakuu wa nchi za Afrika wakimsikiliza Mama Salma alipokuwa anahutubia mkutano huoMke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA KILINDI

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mkuu wa wilaya ya Kilindi Mh. Selemani Liwowa mara baada ya kupokelea katika kata ya Kwediboma wilayani Kilindi ambapo pia ameshiriki katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWANGA PEPETA WAFANYA SHOO YA NGUVU KWENYE CLUB YA MAISHA JIJINI DAR

 Kiongozi na mwimbaji  wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu (wa pili kutoka kulia), akiwa na Kalala Junior (wa pili kutoka kushoto) pamoja na  Haji Ramadhani (wa kwanza kulia) wakitoa burudani kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII WA MAREKANI T.I KUTUMBUIZA LIVE DAR ES SALAAM KATIKA FAINALI ZA FIESTA.

Mkurugenzi Mkuu wa masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti, Efraim Mafuru (kushoto) akiteta jambo na Mkurugenzi wa Prime Time Promotion Ruge Mutahaba katika hoteli ya Serena wakati wa kumtambulisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA SIKU YA BAHARI YAFANYIKA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein mwenye tai nyekundu akimsikiliza Mkurugenzi mkuu wa wa Mamlaka ya kusimamiaUvuviwa Bahari kuu Tanzania Zahor Kassim Mohammed akielezea maswali mbalimbali kuhusiana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI SEIF ALI IDD AKANUSHA MADAI MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA GAZETI LA...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali Idd akikanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti la Mtanzania la Jumatano 24 Septemba, 2014.Waziri Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO MISS TANZANIA 2014 WATEMBELEAMAKAO MAKUU YA EAC, AICC, AUWSA

 Mkuuwa Wilaya ya Arusha mjini,John Mongela akisalimiana na Warembowanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014, walipomtembelea ofisinikwake jijini Arusha. Warembo hao Septemba 27 wanataraji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI IMEJIPANGA KUTATUA TATIZO LA MAKAZI KWA WATUMISHI WA UMMA KWA...

Serikali imejipanga kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma kwa kujenga nyumba Elfu 10 za gharama nafuu kote nchini.Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) MKOANI KATAVI...

Viongozi  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo   (CHADEMA)  Mkoa wa Katavi   na wafuasi wake 16 wa  wanashikiliwa na jeshi la Polisi kwa tuhuma za kufanya maandamano bila kibali.Kamanda wa Polisi Mkoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHEIKH NA MAPADRE KUSAKATA KABUMBU UWANJA WA TAIFA OCTOBA, 12 2014

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Alhadi Mussa Salum (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu maandalizi ya mchezo wa kirafiki wa mpira wa miguu kati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA ALIMA KWA POWER TILLER MAHENGE...

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivua viatu vyake tayari kwa kushiriki kulima shamba la la mpunga katika mradi wa Umwagiliaji wa kata ya Mahenge ambao taarifa ya mradi huo imesema...

View Article
Browsing all 6856 articles
Browse latest View live