MATUKIO KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
Naibu Waziri wa Habari, Vijana ,Utamaduni na Michezo ambaye pia ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Juma Seleman Nkamia(katikati) na Mjumbe Mwenzie SaidAmour Arfi(kulia) wakibadilishana mawazo jana...
View ArticleMKUU WA MKOA ARUSHA AZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI, KITAIFA...
Washiriki wa maonesho, wananchi mbalimbali wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani iliyozinduliwa katika Kiwanja cha Mpira wa Amri Abeid jijini Arusha jana. Mgeni...
View ArticleNATIONAL HOUSING CORPORATION(NHC) YATOA ONYO KWA WAPANGAJI WAKE ARUSHA
Shirika la nyumba la taifa(NHC) limetoa onyo kwa wapangaji wake wenye tabia ya kupanga na wakishapanga kwenye shirika hilo kuwapangisha wapangaji wengine waache mara moja tabia hiyo kwani kinyume na...
View ArticleWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA MADAKTARI WA KUJITOLEA TOKA UJERUMANI
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akiwa amepiga magoti wakati alipowasalimia wakwe baada ya kuwasili nyumbani kwa Waziri Mkuu, Kibaoni mkoani Katavi Septemba 20, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri...
View ArticleMFUKO WA PENSIONI(PSPF)UMEDHAMINI SIKU YA WASANII TANZANIA ITAKAYO ADHIMISHWA...
Na Beatrice Lyimo- MAELEZOMfuko wa Pensheni (PSPF) umedhamini siku ya Msanii Tanazania itayoadhimishwa Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City kwa dhumuni la kuwapa mafunzo wasanii ili waweze...
View ArticleABAS MTEMVU AFANYA ZIARA KATIKA MATAWI TEMEKE, AGAWA VIFAA VYA MICHEZO
Mbunge wa jimbo la Temeke na Mwenyekiti wa Wabunge Mkoa wa Dar es Salaam Abbas Mtemvu akiwa anaingia Ofisi ya katibu kata,ya chama cha Mapinduzi CCM Buza Dar es Salaam (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)...
View ArticlePRESIDENT KIKWETE SPEAKS ON CLIMATE CHANGE
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete delivers his opening remarks during a meeting of the Committee of African Heads of State and Government on Climate change(CAHOSCC) held today at the office of the...
View ArticleTUNDA MAN ASINDIKIZA SHOW YA VIPAJI WAREMBO MISS TANZANIA BABATI MKOANI MANYARA
Warembo 15 kati ya 30 wanaoshiriki shindano la Redds Miss Tanzania 2014 wakisindikizwa na mkali wa Bongo Fleva kutoka Jijini Dar es Salaam, Tunda Man, wametoa burudani kali wakati wa shindano dogo la...
View ArticleBig Brother Africa Housemates Revealed
Housemates – Here are listed the housemates of Big Brother Africa. Three Big Brother housemates will be introduced on a daily basis starting from the 18th of September. This will be followed by...
View ArticleTANZANIA YASISITIZA VIPAUMBELE VYA KITAIFA VIPEWE UMUHIMU
Mhe. Waziri Fatma Fereji akiwa na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi na Naibu wake, Balozi Ramadhan Mwinyi wakati wa ufunguzi wa Kikao Maalum wa ICPD ambapo...
View ArticleTAARIFA KWA UMMA KUKANUSHA UVUMI WA KUAJIRI VIJANA 500
Kuna taarifa zimeendelea kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikiwa na maelezo kuwa: " Serikali kupitia Shirika la Elimu Tanzania, TPDC kwa ushirikiano na kampuni za oil and gas, wanatarajia kuajiri...
View ArticlePRESIDENT KIKWETE IN DIFFERENT ACTIVITIES IN NEW YORK
President Jakaya Mrisho Kikwete greets Senator Chris Coons of Delaware who paid a courtesy call on him in New York in the sidelines of the UN General Assembly. President Jakaya Mrisho Kikwete...
View ArticleSERIKALI IMEWATAKA WANANCHI KUJIHADHARI NA VISHOKA KATIKA UPIMAJI ARDHI
Mkurugenzi Upimaji na Ramani wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Mikazi Bw. Justo Lyamuya akizungumza na waandishi wa habari kuhusu taratibu za upimaji wa viwanja nchini na kutoa tahadhari kwa...
View ArticleSHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD AIRWAYS LITAONGEZA SAFARI ZAKE BARANI AFRIKA KWA...
Shirika la ndege la Etihad Airways litaongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku ya mji wa Dar es Salaam ABU DHABI, United Arab Emirates,September 23, 2014/ — Shirika la...
View ArticleTANZANIA;FLYDUBAI ANNOUNCES THREE ROUTES IN TANZANIA;DAR ES SALAAM, ZANZIBAR...
flydubai announces three routes in Tanzania Dar es Salaam, Zanzibar and Kilimanjaro join flydubai’s East African network DAR ES SALAAM, Tanzania,September 23, 2014/ — Dubai-based flydubai...
View ArticleSHAREHE ZA ELIMU BILA MALIPO AMAAN ZANZIBAR LEO
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Walimu na Wanafunzi katika Sherehe za Miaka 50 ya Elimu bila malipo zilizofanyika kitaifa katika Uwanja wa...
View ArticleMAMA SALMA KIKWETE AHUTUBIA MKUTANO WA ELIMU NA AFYA KWA VIJANA DUNIANI...
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mama Sarah Brown, Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza na Mwenyekiti Mtendaji wa Global...
View ArticleKATIBU MKUU WA CCM,KINANA ZIARANI HANDENI,AZUNGUMZA NA WANANCHI NA KUKAGUA...
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kata ya Kwaluguru wakati wa kukagua maendeleo ya ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika shule ya sekondari Kwaluguru wilayani...
View ArticleKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHATOA TAARIFA KUHUSU AWAMU YA PILI YA...
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Dk.Helen Kijo-Bisimba.Mratibu wa Dawati la Katiba LHRC, Anna Henga Mwanasheria wa LHRC, Harold Sungusia Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha...
View ArticleSERIKALI YAWATAKA WASIMAMIZI NA WADADISI WA UTAFITI WA TATHMINI YA HUDUMA ZA...
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Seif Rashid akifungua mafunzo ya siku 27 kwa wakufunzi na wadadisi kutoka Tanzania Bara na Zanzibar watakaoendesha Utafiti wa Tathmini ya utoaji wa Huduma za...
View Article