Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6844 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba Serikali ya Dubai afanya ziara nchini

Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai Bw. Omar Mjenga (katikati) akimtambulisha Mhe. Lootah (wa kwanza kulia) kwa Mkurugenzi wa IPP Media Bw. Reginald Mengi walipokutana katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TSN KUMWAGA ZAWADI ZA KUTOSHA KATIKA TAMASHA LA KWANZA LA MAGARI LA...

Mmiliki wa Jossekazi Auto garage ambao ndiyo waandaaji wa tamasha akizungumza na waandishi wa habari juu ya tamasha la kwanza la Magari la aina yake, linalojulikana kwa jina la Automobile Clinic,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI ZA TANZANIA NA MALAWI ZASEMA HAZINA TOFAUTI JUU YA MPAKA WA ZIWA NYASA.

Balozi wa Tanzania Nchini Malawi Mh. Patrick Tsere Akizungumza na waandishi wa Habari kutoka Mbeya walipotembelea Ofisi za ubalozi Nchini Malawi Baadhi ya Waandishi wakimsikiliza Balozi  Baadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi wa Fedha Felix Maagi afanya ziara ya miradi ya Monduli, Longido...

 Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akijadiliana jambo na Injinia Peter Mwaisabula na Amani Tongola kwenye eneo la ujenzi wa nyumba la Longido, Arusha. (Picha za Kitengo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWASILI WASHINGTON DC KWA MIKUTANO MBALIMBALI PAMOJA NA HAFLA YA...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa La Guardia jijini Washington DC tayari kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyabiashara Namanga walalamikia kunyanyaswa nchini Kenya

Wafanyabiashara wa Namanga na Wilaya ya Longido wameiomba Serikali iwajengee Soko kubwa Namanga ili waepukane na usumbufu wanaoupata wanapokwenda Kenya kuuza mifugo, mazao na bidhaa nyingine....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO MISS TANZANIA WASHUHUDIA UPIMAJI WAGONJWA WA EBOLA UWANJA WA NDEGE WA...

 Washiriki wa Shindano la Redd's Miss Tanzania 2014, wakimsikiliza Afisa Mfawidhi, Nisalile Mwangoka aliyekuwa akiwapa maelezo juu ya upimaji wa wageni wanaoingia nchini kupitia viwanja vya ndege...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GREEN WASTE PRO LTD WAKAMILISHA KAMPENI YA USAFI KWA UFANISI, TICTS NAO...

Baadhi ya wafanyakazi Kampuni ya Kupakua na Kupakia Kontena Bandarini (TICTS) wakiwasili kwenye ufukwe wa bahari ya hindi maeneo Kata ya Kivukoni kwa ajili ya kushiriki zoezi la kusafisha fukwe hizo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba. Mhe. Samuel Sitta akiongoza bunge hilo leo 22 Septemba, 2014 mjini Dodoma.Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Amon Mpanju akisoma Azimio la kupitisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BBA: MEET HOTSHOTS LAVEDA, KACEY MOORE AND JJ

Laveda - TanzaniaAge: 23Bachelor of Arts & Social Sciences graduate Laveda was born in Dar Es Salaam. She’s single and describes herself as ‘eccentric, loving, caring, simple and fun’. Laveda is...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. SHEIN AKUTANA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA NBC LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara NBC Ms Mzimga Melu alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH. PINDA AHUDHURI IBADA YA KUWEKWA WAKFU ASKOFU MWAIPOPO WA DAYOSISI YA...

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (wapili kulia) wakisalimiana na Askofu Damian Kyaruzi wa Jimbo la Sumbawanga (kulia) katika Ibada ya kumweka wakfu Askofu wa Dayosisi ya Ziwa Tanganyika, Ambele...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MKUU ATEMBELEA ENEO LA KUCHIMBUA MAJI KWA AJILI YA SAFARI CITY

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiwasili katika eneo la shamba la Magereza patakapochimbuliwa maji kwa ajili ya mji mpya wa Safari City jijini Arusha hivi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NCHINI WATAKIWA KUWA WAADILIFU, WAAMINIFU

Na Lydia Churi, MAELEZOAskari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji nchini wametakiwa kuwa waadilifu, waaminifu, watii na watekelezaji wa sheria zote za nchi kwa kuwa hizo ni miongoni mwa sifa za askari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK.SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania  Mark Childress alipofika Ikulu Mjini Zanzibar  jana.[Picha na Ramadhan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZIKO YA MAREHEMU IDDI PANDU HASSAN

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ALhaj Dk. Mohamed Gharib Bilali waliungana na wananchi mbali mbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AITEKA CHALINZE PWANI, LEO KUENDELEA MKOANI TANGA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kata ya Kiwangwa ambapo alikagua jengo jipya la wodi ya Wazazi. Kituo cha afya cha Kiwangwa kina uwezo wa kuhudumia watu zaidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHESHIMIWA MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA MABALOZI WA NORWAY NA RWANDA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Hanne Marie Kaarstad, wakati alipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRADI WA NYUMBA WA DEGE ECO- VILLAGE WAANZA, WANANCHI WACHANGAMKIA FURSA.

Mradi wa nyumba unaosimamiwa na kampuni ya Hifadhi inayoitwa Dege Eco-Village umeshiriki maonyesho ya nyumba yaliyofanyika jijini Dar es Salaam inategemea kuanza hivi karibuni.Akiongea na waandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA ELIMU: KUWAWEZESHA VIJANA KUFANYA...

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akipokewa na Dkt. Peter Feiler, Mkuu wa Idara ya Ushirikiano wa Kiuchumi katika Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi...

View Article
Browsing all 6844 articles
Browse latest View live