ZIARA YA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KATIKA...
Picha zote kwa hisani ya kitengo cha Mawasiliano ya Umma na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa*****************MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amelitaka Shirika la...
View ArticleMKUU WA WILAYA YA TEMEKE AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA...
Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akikabidhi mashine ya kufyatulia matofali mwenyekiti wa kikundi cha Mbagala Youth Group Said Mponda baada ya kuzipokea kutoka kwa Shirika la Nyumba la Taifa...
View ArticleAZANIA BENKI WAZINDUA AKAUNTI MPYA YA DHAMIRA
MKURUGENZI mtendaji wa Azania benki, Charles Singili amewataka wananchi kuwa na mazoea ya kujiwekea akiba kwa manufaa ya baadae.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana wakati wa...
View ArticleSHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LATOA MASHINE 28 KWA VIKUNDI VYA VIJANA KILIMANJARO
MENEJA WA SHIRIKA LA NYUMBA KILIMANJARO SHEHE KOMBO AKIAGANA NA MH. MKUU WA MKOA, LEONIDAS TUTUBET GAMA MENEJA WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA BW. SHEHE KOMBO AKIHUTUBIA KWENYE HAFLA HIYO MKURUGENZI WA...
View ArticleTANZANIA YAJITOSHELEZA KWA CHAKULA KWA ASILIMIA 124
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhandisi Christopher Chiza akizungumza na waandishi wa habari ( hawapo pichani) juu ya mafanikio ya uzalishaji wa chakula nchini kwenye viwanja vya Wakala wa...
View ArticleNAPE ATOA DARASA KWA VIONGOZI WA CCM UINGEREZA
Katibu wa NEC itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na viongozi wa mashina ya CCM Uingereza ambapo aliwaambia matawi ya CCM nje ya nchi yawe mawakala wa kuleta mabadiliko ndani ya chama...
View ArticleSARAFU YA SH.500 KUANZA KUTUMIKA RASMI KUANZIA MWEZI OKTOBA MWAKA HUU
Kipimo AbdallahKATIKA kile kinachodaiwa ni uchakavu wa haraka wa noti ya shilingi mia tano Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imeibadilisha noti hiyo na kuwa ya sarafu ambayo itaanza kutumika rasmi kuanzia...
View ArticleNHC YAPANIA KUENDELEZA MKOA WA RUVUMA
Uongozi wa Shirika la Nyumba la Taifa na wa wilaya ya Namtumbo ukitoka nje ya Ofisi ya Mkuu hiyo, baada ya kufanya mazungumzo ya kina ya mpango ya kujenga nyumba za gharama nafuu. PICHA ZOTE NA...
View ArticleBENKI YA EXIM YASHIRIKI MAONYESHO KATIKA SIKU YA WAHANDISI 2014
Meneja Biashara Kubwa na Uwekezaji wa Benki ya Exim Tanzania, Bw. Justin Wambali (kulia) akimpatia kipeperushi chenye maelezo ya huduma zitolewazo na benki ya Exim mmoja kati ya wahandisi alipotembelea...
View ArticleNHIF YATETA NA WASANII BASATA
Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF tawi la Ilala Bw.Christopher Mapunda akizungumza na washiriki wa semina katika ya shirika hilo na Wasanii mbalimbali iliyofanyika kwenye ukumbi waBaraa za...
View ArticleMBUNGE MGIMWA AANZA KUFANYIA KAZI MAAGIZO YA RAIS DR KIKWETE ,APANIA...
Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa kushoto akisalimiana na viongozi mbali mbali wa kata ya Nzihi mara baada ya kufika shule ya sekondari Kidamali kushiriki harambee ya kuchangia...
View ArticleSKYLIGHT BAND YATIKISA JIJI LA DAR NYAMA CHOMA FESTIVAL
Sam Mapenzi, Joniko Flower na Hashim Donode wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye Nyama Choma Festival iliyofanyika miwshoni mwa juma katika viwanja vya michezo vya chuo kikuu cha Dar es...
View ArticleRAIS KIKWETE AKUTANA NA WAJUMBE WA KITUO CHA DEMOKRASIA TANZANIA MJINI DODOMA...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TDC) wakati alipokutana nao kwenye Ikulu ndogo mjini Dodoma leo Septemba 08,2015.
View ArticleSERIKALI YATOA USAJILI KWA MAKAMPUNI (51) YA WAKALA BINAFSI WA HIDUMA ZA...
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini kati ya 87 yaliyowasilisha maombi yake kwa Kamishna wa kazi.Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Msemaji wa...
View ArticleSERIKALI YA WATAHADHARISHA WANANCHI KUHUSU MATUMIZI MABAYA YA MAWASILIANO.
Naibu Mkurugenzi Masuala ya Wateja kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Bw. Isaac Mruma akieleza kuhusu uhalifu wa mitandao na hatua wanazochukua katika kukabiliana na uhalifu huo ikiwepo...
View ArticleAJALI NYINGINE YATOKEA GAIRO MOROGORO NA KUHUSISHA BASI LA AIRBUS
Habari za hivi punde kutoka Mkoani Morogoro zinapasha kuwa basi la Kampuni ya Airbus lililokuwa likitoka Dar es salaam kwenda Tabora limepata ajali muda si mrefu eneo la Kiegeya Wilayani Gairo Mkoani...
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI YA PICHA KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongoza Bunge hilo leo 8 Septemba, 2014 Bungeni mjini Dodoma.Wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bunge Maalum la Katiba wakiendelea kuwasilisha...
View ArticleBIA YA KIGO GOLD LAGER YA SERENGETI BREWERIES LTD YASHINDA TUZO YA MEDALI YA...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIDar es Salaam, Septemba 8, 2014BIA ya Kibo Gold Lager imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea...
View ArticleJOPO LA MAJAJI KWA AJILI YA KUMTAFUTA MSHINDI WA TUZO YA RAIS YA HUDUMA ZA...
Mgodi wa dhahabu wa Geita Gold Mine uliopo mkoani Geita. Mgodi huu ni moja ya makampuni yanayowania tuzo ya Rais ya Huduma za Jamii na Uwezeshaji.Mshauri wa Mkurugenzi Mtendaji wa Geita Gold Mine...
View ArticleKIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI...
PICHANI JUU: Taswira mbalimbali zikionyesha Kivuko cha MV.Dar es Salaam kikiwa kimeshushwa majini jana tayari kwa kuanza safari ya kuja Tanzania kutokea nchini Denmark.Na waandishi wetuIle ahadi ya...
View Article