Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO KAZI CHA WATENDAJI WA SHIRIKA LA MAGEREZA NA GEPF CHAENDELEA LEO MKOANI...

Mkuu wa Magereza Mkoani Morogoro, Naibu Kamishna wa Magereza, James Selestine(wa kwanza kushoto) akiteta jambo na Watendaji Waandamizi wa Shirika la Magereza na GEPF kabla ya kutembelea katika eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATEMBELEA WILAYA YA CHAMWINO KATIKA ZIARA YAKE YA MKOA WA DODOMA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Fatma S. Ally alipowasili wilayani humo kukagua miradi ya maendeleo na kuzungumza na wananchi Rais Kikwete akisalimiana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA UTUMISHI WA UMMA YAENDELEA KUIMARISHA UZINGATIAJI WA SHERIA, KANUNI...

Naibu Katibu wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma Bi. Neema Tawale akieleza kwa waandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu tathmini ya Tume juu ya uzingatiaji wa sheria,kanuni na taratibu za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete afungua rasmi nyumba za makazi za Medeli leo hii

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea mradi wa nyumba za makazi za Medeli zilizopo Mjini Dodoma wenye nyumba 150, kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ELIHURUMA NGOWI JOINS SERENGETI BREWERIES LTD

Mr. Elihuruma Ngowi has joined Serengeti Breweries Ltd. as Brand Manager with a profound experience in Customer Care, Marketing and Sales after having spent over eight (8) years at Vodacom Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AFUNGUA BARABARA YA DODOMA-FUFU

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akiweka jiwe la msingi kuashiraia ufunguzi rasmi wa barabara ya Dodoma- Iringa sehemu ya kutoka Dodoma - Fufu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAR WA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) 2014, MWANAAFA MWINZAGO AWA KIVUTIO...

=Mshindi wa Tanzania Movie Talents (TMT) 2014 Mwanaafa Mwinzago (Katikati) akisindikizwa na Matron pamoja na Mfanyakazi wa TMT huku akilindwa na Mabaunsa wakati alipopelekwa Katika Mitaa ya Kariakoo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK.SHEIN AKUTANA NA MARAIS NA PICHA NYENGINE MBALI MBALI

Wajumbe wa  Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Nchi za Visiwa na Maafisa wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakifuatilia kwa makini michango inayotolewa katika mkutano huo unaoendelea huko Nchini Samoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMERICAN SENATORS VISIT SERENGETI NATIONAL PARK

Director General of TANAPA Mr. Allan Kijazi (right) welcomes the Chairperson of the US Senate Committee on Agriculture, Nutrition and Forestry and Michigan Senator Ms. Debbie Stabenow during the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA NCHINI.

Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Raphael Mwamoto akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu mpango wa kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA NYUMBA TANZANIA (NHC) LAKARABATI SHULE YA HASSANGA JIJINI MBEYA

 Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas  Kandoro akikata utepe kuzindua ukarabati wa Madarasa manne na Jengo moja la Utawala katika Shule ya Msingi Hasanga uliofanyika leo Uyole Mbeya.Mgeni Rasmi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI PROFESA ANNA TIBAIJUKA AKUTANA NA DAKTARI BINGWA WA UGONJWA WA...

 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka (wa pili kushoto), akiwa na Daktari bingwa wa ugonjwa ya Saratani ya matiti kutoka Bangarole India, Profesa Anthony Pais (kushoto),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGODI WA NORTH MARA WACHANGIA BILIONI 7.5 KATIKA SHUGHULI ZA JAMII

Mwenyekiti wa Jopo la Majaji kwa ajili ya kumtafuta mshindi wa Tuzo ya Rais ya Huduma za Jamii na Uwezeshaji Prof. Samwel Wangwe (kushoto) akisalimiana na Afisa Mahusiano wa Mgodi wa North Mara Bw....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUMBE KUNDI LA 210 WATOA TAMKO DHIDI YA WANAOLICHAFUA BUNGE MAALUM LA...

Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.Mwenyekiti wa kundi la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya BOA kuwawezesha wasambazaji wa bidhaa za Vodacom

 Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza (kulia) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akizindua ushirikiano wa kampuni yake na Benki ya Afrika (BOA) Tanzania unaowawezesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YOUNG AFRICANS NA BENKI YA CRDB WAINGIA MAKUBALIANO YA UTENGENEZAJI WA KADI...

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei (kulia) akisaini mkataba na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Klabu ya Yanga, Fatma Karume kwa ajili ya kutengeneza kadi za kisasa za uanachama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shirika la Nyumba la Taifa lakabidhi mashine za kufyatulia matofali ya...

 Mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyirembe Munasa, Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa Bi.Rachel Kassanda  wakiwa tayari kutoa hundi kwa mmoja wa kiongozi wa vikundi vya vijana baada ya kupokea hundi. Kiongozi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI NHC ATEMBELEA ENEO LA MRADI WA NYUMBA ZA WATUMISHI HALMASHAURI YA...

Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw.Nehemia Kyando Mchechu wa kwanza kulia mbele akitembelea eneo la ujenzi wa nyumba za gharama nafuu zitakazojengwa  katika Halmashauri ya Busekelo Mkoani Mbeya alipotembelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAANZA KUTEKELEZA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA 10,000 KWA AJILI YA...

Baadhi ya nyumba zilizojengwa eneo la Gongo la Mboto Jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ujenzi Nyumba 10,000 kwa ajili ya makazi ya Wanajeshi.Picha na Hassan Silayo.Msemaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vingozi wa Dini Wamtembelea Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel...

Sheikh Hemed Jalala (kushoto) akikabidhi kitabu kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta (kulia),  kinachoitwa ‘Kilele cha Fasaha’ kinachohusu maadili na uongozi.Sheikh Hemed Jalala...

View Article
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live