Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6822 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAVANA WA BENKI YA PTA KUKUTANA TANZANIA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wasira (katikati) alipokuwa akiongea na waandishi wa habari jana mjini Dodoma juu ya mkutano wa 30 utakaofanyika nchini mwishoni wiki hii....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AUNDA KAMATI NDOGO

Na Magreth Kinabo, Dodoma  Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta ameunda kamati ndogo yenye ujumbe wa watu 10 kwa ajili ya kushughulikia masuala ambayo  hayakufikia muafaka wakati wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA JAJI MAKAME

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimian na Mawaziri Wakuu, Wastaafu, Frederick Sumaye na Jaji Joseph Warioba (wapili kulia)  kabla ya kuzungumza kwa niaba ya serikali na  kutoa heshima za mwisho kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AWASILI MWANZA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarest Ndikilo (kulia) na Katibu wa CCM wa Mkoa wa Mwanza, Joyce Masunga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS TEMEKE 2014 APATIKANA,TCC CLUB CHANG’OMBE JIJINI DAR

Mshindi wa taji la Miss Temeke 2014,Sitti Mtemvu akipungia mkono mara tu baada ya kutangazwa rasmi kuwa ndie aliestahili kupata taji hilo katika shindano lililomalizika usiku huu kwenye Ukumbi wa TCC...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DANSI LA SERENGETI FIESTA LILIVYOCHENGUA JIJI LA TANGA

Kikundi cha Platinum Dancers kikionyesha umahiri wao wakati wa shindano la kumsaka mshindi wa dansi la Serengeti fiesta, lililofanyika katika Ukumbi wa Klabu Lavida , mjini Tanga leo ikiwa ni sehemu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIFAA VYA KUBAINI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA EBOLA KUPITIA JOTO LA MWILI...

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Kebwe Steven Kebwe (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Afya na Usafi wa Mazingira wa Wizara ya Afya na Ustawi Dkt. Elias Chinamo moja ya kifaa (kamera)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL MONEY YAZINDUA RASMI HUDUMA YA KUTUMA NA KUPOKEA PESA MOJA KWA MOJA...

Mkurugenzi mtendaji wa Airtel Bwana Sunil Colasa akiongea na waandishi wa habari leo hii (hawapo pichani) akiwatangazia kuanza kutumika rasmi kwa huduma mpya ya kutuma na kupokea pesa kutoka kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WA CCM WAUNGURUMA HUKO MTERA MKOANI DODOMA

Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akiwahutubia wananchi katika kijiji Iringa Mvumi Jimbo la Mtera mkoani Dodoma ambapo  Chama cha mapinduzi kimeendelea kuuelimisha umma juu ya masuala...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJIRA ZA MADIMBA NI ZA WATANZANIA- MASWI

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi akikaguamaendeleo  kinapojengwa Kituo kikubwa cha Kuchakata gesi  eneo laMadimba mkoani Mtwara. Kushoto kwa Katibu Mkuu ni Meneja Mradi waUjenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZOEZI LA UHAKIKI WAKIMBIZI KAMBI YA NYARUGUSU LAFIKIA UKIKONGONI

Mama Mkimbizi kutoka nchini Kongo akiwa na mwanae, pamoja na wakimbizi wengine wakisubiria kwenda kufanyiwa uhakiki wa taarifa zao jana ili waweze kutambulika rasmi kuwa ni wakimbizi katika Kambi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGWIJI WA REAL MADRID WAZINDUA DUKA JIPYA LA VIFAA VYA UMEME LA TROPICAL...

Muonekano wa Jengo la Makao Makuu ya Kampuni ya Tropical.Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kulia), akisalimiana na mwanasoka bora  mstaafu wa timu ya Real Madrid, Fernando Sons (kushoto),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AONGOZA HARAMBEE YA MKAPA FELLOWS

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika harambee ya kuchangia Mradi wa Mkapa Fellows kwenye hoteli ya JB Belmont jijini Mwanza August 23, 2014. Zaidi ya sh. Bilioni 1.3 zilichangwa. (Picha na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI MJINI MOROGORO, AWATAKA VIONGOZI...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania(MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakati akiwasili eneo la Mambogo katika manispaa ya wilaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKONGWE WA REAL MADRID WAKWEA MLIMA KILIMANJARO

 Wakongwe wa Klabu ya Real Madrid ya nchini Hispania wakipiga picha za kikundi cha ngoma kilichokuwa kikiwatumbuiza mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro kabla ya kuelekea Mlima...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA JIJI LA TANGA NA VITONGOJI VYAKE WAKUBALI MAKAMUZI YA TAMASHA LA...

Vanessa Mdee a.k.a Vmoney akiimba jukwaani huku akiwa na staili yake ya kipekee kabisaBarnaba Boy akiimba juu ya jukwaa la Fiesta ndani ya uwanja wa Mkwakwani mkoni Tanga mwishoni mwa wikiWadau nao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA MZUMBE, MOROGORO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa serikali ya wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Mzumbe mjini Morogoro baada ya kuwahutubia chuoni hapo Agosti 25, 2014.PICHA NA IKULURais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA KATAVI DKT RAJABU RUTENGWE AZITAKA IDARA ZA MAJI KULINDA...

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt Rajabu Rutengwe  mwenye shati la Kitenge wa pili kushoto  akitoa maagizo kwa msisitizo huku akionesha ishara ya mikono  kwa Mamlaka ya Maji Mjini kuhakikisha wanalinda na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DR. SHEIN AWAAPISHA MAWAZIRI WAPYA IKULU

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dk.Sira Ubwa  Mamboya kuwa Waziri wa Kilimo na Maliasili katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar kabla Dk.Sira...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI KUFANYA KIKAO CHAKE CHA BUNGE KARIMJEE DAR ES...

Spikawa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret NantongoZziwa  akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi zaBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam...

View Article
Browsing all 6822 articles
Browse latest View live