PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO READING UINGEREZA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakiongozana na Madona Pemba (kushoto) , mtanzania aishie Uingereza kuelekea kwenye ukmbi wa mikutano ili kuzungumza na watanzania waishio Reading...
View ArticleMSHIRIKI WA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) AZIMIA JUKWAANI MARA BAADA YA...
Baadhi ya Washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambao wapo kwenye Maumivu ya kuchomwa na Jua la Utosi Wakimpa huduma ya Kwanza Mmoja wa Washiriki mwenzao ambae alipoteza fahamu jukwaani...
View ArticleSERIKALI KUJENGA UPYA RELI YA KATI – WAZIRI MKUU
*Ujenzi kugharimu USD bilioni sabaWAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali ina mpango wa kujenga reli mpya ya kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kupitia mikoa na ya kati na kuelekea Isaka hadi Burundi...
View ArticleJopo la Wahariri latembelea miradi ya nyumba za gharama nafuu wa NHC Mtanda,...
Juzi, Alhamisi (Julai 10, 2014) na jana Ijumaa (Julai 11, 2014) jopo la Jukwaa la wahariri takriban 85 walitembelea kwenye miradi yetu miwili, mmoja wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu Mtanda mkoani...
View ArticleMKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU...
Arafa Mohammed Mke wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete(kushoto) akimkabidhi zawadi ya Vyombo vya ndani na Tende mzee Said Khamis Mnyika wa kijiji cha Changarikwa kata ya Mbwewe kama...
View ArticlePINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA – LONDON
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akitia saini kitabu cha wageni baada ya kuwasili kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo mjini London kabla ya kuzungumza na watanzania Julai 11, 2014. Kushoto...
View ArticleMTEMVU ATOA MSAADA WA TANI TANO ZA VYAKULA KWA VIKUNDI VYA WASIO NA UWEZO...
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu, akimkabidhi msaada wa vyakula, Beatrice Mgomele wa Makao ya Taifa, Kurasini, Dar es Salaam, wakati wa hafla ya Mtemvu kukabidhi msaada wa tani tano ya vyakula kwa vituo...
View ArticleOna Jinsi Rais Jakaya Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete Walivyokatiza...
RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakinunua samaki katika kibanda, katika Kijiji cha Bweni, Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa maabara Shuke ya...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ATEMBELEA SHIRKA LA NDEGE TANZANIA (ATCL)
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba (kulia), akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Mr. Salim Msoma wakati alipotembelea shirika hilo mwishoni mwa...
View ArticleVIONGOZI WA CHADEMA KATA YA RUAHA WASEMA WAMECHOSHWA NA UBABAISHAJI WA MBUNGE...
Baadhi ya nyaraka za Chadema na kadiKatibu wa CCM mkoa akiangalia nyaraka ya siri ya kuhujumu uchaguzi mkuu iliyotolewa na Chadema taifa ambayo imekabidhiwa kwake na aliyekuwa katibu kata wa...
View ArticleWaziri Dk. Mwakyembe azungumzia Taarifa ya Mkutano Baina ya Mawaziri wa...
Waziri wa Uchukuzi Dkt. Harrison Mwakyembe akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema hii leo Jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akizungumzia mikakati ya Wizara yake katika...
View ArticleRAIS KIKWETE AFUTARISHA WANANCHI WA MBEYA
Mbunge wa Mbeya Mhe Joseph Mbilinyi “Sugu” akipata futari na wananchi wenzie wa Mbeya katika futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya mrisho Kikwete katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Mbeya Day jijini...
View ArticleWAZIRI LAZARO NYALANDU AKUTANA NA TAASISI ZA MBALIMBALI ZINAZOJIHUSISHA NA...
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Waandamizi wa Taasisi ya Vulcan ya nchini Marekani Bw. Dave Stewart (kushoto) na Bi. Lauren Ryder,...
View ArticleKINANA ASHIRIKI FUTARI ILIYOANDALIWA NA MTEMVU DAR
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa na Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu alipowasili, kwenye futari iliyoandaliwa na mbunge huyo Julai 15, 2014, kwenye hoteli ya City Garden, Railyway...
View ArticleRAIS KIKWETE AKABIDHI BENDERA TIMU YA TAIFA YA RIADHA ITAYOSHIRIKI MICHUANO...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi bendera nahodha wa timu ya Taifa ya riadha inayoondoka Julai 16, 2014 kwenda Glasgow, Scotland, kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola kwenye hafla fupi...
View ArticleMbunge wa Musoma Mjini (CHADEMA), Vincent Nyerere Akabidhi Computer Kwa Shule...
Computer zikikabidhiwa kwa ajili ya Shule za Sekondari za Jimbo la Musoma MjiniMbunge wa Musoma Mjini (CHADEMA), Vincent Nyerere akihutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Makoko...
View ArticleMADUKA MATATU IKIWEMO NYUMBA VYATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA
Moto ukiwa umeanza kama utani, watu wakiwa wanaendelea na kazi kama kawaida. Moto mkubwa uliosababishwa na hitirafu ya umeme umewaka eneo la Mwananyamala Jirani na Hospitali ya Mwananyamala na...
View ArticleMTOTO WA RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AJUMUIKA NA WADAU WA BENKI YA FNB...
Pichani kulia ni Mgeni rasmi,Mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya pili,Mh,Ali Hassan Mwinyi,Abdallah Ali Hassan Mwinyi kwenye hafla ya Iftari ilioandaliwa na benki ya FNB,na kufanyika kwenye bustani ya...
View ArticleWAFUASI WA CCM NA CHADEMA NUSURA WATWANGANE, WAFANYA VURUGU KUBWA MKUTANO WA...
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan wa CCM (KULIA), akiamulia ugomvi wa Diwani wa Kimara, Pascal Manota wa Chadema (kushoto) na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge waliotaka...
View ArticleMBUNGE KABATI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO
Mganga Mfawishi wa Hospitali ya wilaya ya Frelimo Dk. Hassan Mtani akitoa taarifa kuhusu hospitali hiyo mbele ya mbunge wa Viti maalum CCm Lita Kabati Baadhi ya wahudumu wa hospitali ya FrelimoMbunge...
View Article