SERIKALI KUFUNGA MFUMO WA KIELEKTRONIKI KUJAZA MAFUTA MAGARI NA MITAMBO YA...
Mkurugenzi wa Ununuzi na Ushauri toka wakala wa huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) Bw. Yoswam Nyongera akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uwezo wa mfumo wa kielektroniki...
View ArticlePRESIDENT JAKAYA KIKWETE MEETS WITH BHARTI AIRTEL CEO IN ABUJA
President Dr Jakaya Mrisho Kikwete meets and holds bilateral talks with the CEO of Bharti Airtel Mr Sunil Mittal in the sidelines of the World Economic Forum on Africa today May 7, 2014.State House Photos
View ArticleEUROPEAN UNION NAVAL FOR FLAG SHIP F215 BRANDERNBURG VISIT TANZANIA
European Union Naval Force Commander Task Force 465 Jurgen Zur muhlen at the centre Addressing the estimated guest during the Visit to Tanzania, and give thanks to Tanzania Government for good...
View ArticleKINANA KUANZA ZIARA YA SIKU 26 TABORA,SINGIDA NA MANYARA
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akiwa na baadhi ya waandishi wa habari Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Dar es Salaam leo, watakaokuwa katika ziara ya siku 26 ya Katibu Mkuu wa CCM,...
View ArticleRAIS KIKWETE KATIKA MKUTANO WA DUNIA WA UCHUMI JIJINI ABUJA, NIGERIA
President Dr, Jakaya Mrisho Kikwete attends a High Level Meeting on the African Strategic Infrastructure Initiative in Abuja, Nigeria, on May 8, 2014. To his right are host President Goodluck Jonathan...
View ArticleMAJINA YA WANAFUNZIWA KIDATO CHA SITA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JKT
<<<<>>> BULOMBORA - KIGOMARWAMKOMA - MUSOMAMSANGE - TABORAKANEMBWA - KIGOMARUVU - PWANIOLIJORO - ARUSHAMGAMBO KABUKU - TANGAMARAMBA - TANGAMAFINGA -...
View ArticleDaktari Bingwa wa Magonjwa ya Akili nchini, Gilbert Buberwa amefariki dunia...
Waombolezaji wakimfariji Leticia Filbert, mke wa daktari bingwa wa Hospitali ya Temeke, marehemu Dk Gilbert Buberwa nyumbani kwake Kinyerezi, Dar es Salam jana. Picha na Salim Shao -- Daktari Bingwa...
View ArticleSoma Taarifa Ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Tanzania)...
1. Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Tanzania) kimesononeshwa sana na hoja za ukaguzi zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali katika taarifa yake ya mwaka...
View ArticleRais Jakaya Kikwete Atembelea Kiwanda Kikubwa Zaidi cha Saruji Duniani...
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mfanyabiashara na mwekezaji maarufu wa Nigeria Alhaj Aliko Dangote katika uwanja wa ndege wa kiwanda chake cha saruji cha Dangote Cement Obajan Plant...
View ArticleSerikali yapokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Balozi wa Malawi...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa John M. Haule akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Juu ya Kifo cha aliyekuwa Balozi wa Mwalawi nchini Tanzania Hayati...
View ArticleBENKI YA EXIM YAISAIDIA WODI YA WAZAZI YA HOSPITALI YA RUFAA YA MWANANYAMALA
Meneja Msaidizi Masoko wa Benki ya Exim Tanzania, Bi Anita Goshashy (Watatu Kushoto) akikabidhi magodoro kwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, Dkt. Sophinias Ngonyani (Kushoto)....
View ArticleMUAKILISHI WA JIMBO LA KWAMTIPURA AHUTUBIA WANACCM JIMBONI KWAKE
Muakilishi wa Jimbo la Kwamtipura Hamza Hassan Juma akiwahutubia wanachama wa CCM pamoja na wananchi mbalimbali katika Mkutano wa hadhara kuhusiana na Mchakato wa Bunge la katiba huko katika jimbo la...
View ArticleBENKI YA CRDB YAFANYA MKUTANO MKUU WA 19 WA WANAHISA WAKE-ARUSHA
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akitoa mada wakati wa Mkutano Mkuu wa 19 wa Wanahisa wa Benki ya CRDB uliofanyika jijini Arusha, mwishoni mwa wiki. Katikati ni Mwenyekiti wa...
View ArticleRais Jakaya Kikwete akiwasalimia watoto mapacha waliokuwa wanasubiri kupata...
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia watoto mapacha waliokuwa wanasubiri kupata matibabu katika Hospitali ya Ngaliema iliyopo jijini Kinshasa jana.Rais Kikwete alikwenda hospitalini hapo...
View ArticleWANANCHI WA JIMBO LA IGALULA WAMNING’NIZA MFUTAKAMBA MBELE YA KINANA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa kata ya Kizengi wilaya ya Uyui mkoani Tabora wakati wa ziara yake iliyoendelea, Ambapo amekagua miradi ya maendeleo na kusikiliza...
View ArticleRAIS KIKWETE ATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA BALOZI WA MALAWI DAR ES SALAAM
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa heshima za mwisho kwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania Marehemu Flossy Gomile-Chidyaonga katika ukumbi wa...
View ArticleKatibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana Akagua Miradi ya Ujenzi Wilayani UYUI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua nyumba za watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui , Halmashauri ya wilaya ya Uyui imejenga nyumba nane kwa ajili ya watumishi wake. Katibu Mkuu...
View ArticleJK AHUDHURIA HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI ILIYOANDALIWA NA NSSF JIJINI ARUSHA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Ndg. Aboubakar Rajab...
View ArticleWATUHUMIWA 2 WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA MMOJA AKAMATWWANA VIPANDE 8...
Sehemu ya mali zilizokamatwaKamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akionesha sehemu ya vipande 8 vya meno ya tembo vilivyodakwa huko Tabata Kisiwani jijini Dar es...
View ArticleBwana SalvaRweyemamu wa Kinondoni Dar es Salaam, anasikitika kutangaza kifo...
Private Brian Salvarory Rweyemamu Enzi za Uhai Wake--- Bwana Salvatory Rweyemamu wa Kinondoni Dar es Salaam, anasikitika kutangaza kifo cha mtoto wake mpendwa Private Brian Salvatory Rweyemamu...
View Article