WANANCHI KUSHIRIKI ZOEZI LA KUCHANGIA MAONI MPANGO WA MAENDELEO
Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Peniel Lymo (Kushoto) akiongea na mwakilishi wa Kamati ilyioandaa maonesho ya mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa awamu ya kwanza yaliyozinduliwa jana jijini Dar es Salaam....
View ArticleMFUKO WA PENSHENI WA PSPF WASHIRIKI KATIKA MAONYESHO YA NANE YA VYUO VIKUU...
Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Ndugu Ntimi Mwakajila akiwaelezea wanafunzi wa vyuo vikuu juu ya fursa mbalimbali zitolewazo na Mfuko ikiwemo mpango wa kuchangia kwa hiari....
View ArticleMakamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Amjulia Hali Sheha wa...
Sheha wa Shehia ya Tomondo Wilaya ya Magharibi Mkoa Mjini Magharibi Bwana Mohd Omar Said { Maarufu Kidevu } akielezea mkasa uliompata wa kumwagiwa Tindi kali { Acid } mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa...
View ArticleRAIS KIKWETE KATIKA MKUTANO WA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA AU JIJINI ADDIS ABABA LEO
Muono wa jicho la samaki katika Mkutano wa Sherehe za miaka 50 ya AU katika makao makuu ya umoja huo jijini Addis Ababa leo Mei 25, 2013Rais Jakaya Mrisho Kikwete Mkutano wa Sherehe za miaka 50 ya AU...
View ArticleJK AFUNGUA MAONESHO YA MFUMO WA MATOKEO MAKUBWAAWAMU YA KWANZA
Rais Jakaya Kikwete, Makamu wake Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wakiwa kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa wakati wa Ufunguzi rasmi wa Maonesho ya Mfumo wa Matokeo Makubwa...
View ArticleSHIRIKA LA NYUMBA LAINGIA MIKATABA NA BENKI TANO LEO KWA AJILI YA MIKOPO YA...
CEO wa DCB Edmund Mkwawa (kushoto) akisani makubaliano na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Felix Maagi baada ya kuingia makubaliano ya mkopo wa nyumba kwenye hafla...
View ArticleNHC bungeni Dodoma
Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Raymond Mndolwa wa Tawala na Uendeshaji wa Mikoa na Hamad Abdallah wa Usimamizi wa Miliki wakitafakari jambo nje ya ukumbi wa Bunge kabla ya kuingia ndani...
View ArticleKikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC
Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC wakifuatilia kwa karibu mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiendelea jijini Tanga kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort. Mkutano huo...
View ArticleSOMA MATOKEO MAPYA YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2012 HAPA
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (MB) leo ametangaza rasmi matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne, maarifa-QT.-- Matokeo ya kidato cha nne (CSEE) 2012 - KIUNGANISHI CHA...
View ArticleBAJETI 2013/14 YA JUMUIYA YA AFRIKA YA MASHARIKI (EAC) YASOMWA LEO UGANDA
Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Africa Mashariki kutoka Nchi wanachama wa Jumuiya (EAC) ambaye pia ni Waziri wa Africa Mashariki kutoka Uganda, Shem Bageine (mwenye mkoba wa bajeti) akiwa na...
View ArticleTANGAZO LA KIFO CHA MZEE MAKWAIA
Marehemu Felician M. MakwaiaNdugu, CHRISTOPHER MAKWAIA (MK) Anasikitia kutangaza kifo cha Baba yake mzazi Mzee Felician M. Makwaia, kilichotokea jana May 30, 2013 huko Bombay nchini India alikokuwa...
View ArticleKINANA, NAPE WAENDELEA KUMWAGA CHECHE MKOANI NJOMBE
Mkuu wa Wilaya ya Makete,Mh Josephine Matiro akimuongoza Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na ujumbe wake,mapema leo mchana alipokuwa akikagua uhai wa mashina ya chama hicho katika kijiji cha...
View ArticleMATOKEO YA KIDATO CHA SITA { ACSEEE } 2013
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA { ACSEEE } 2013 BONYEZA LINK HAPO CHINI KUANGALIA MATOKEOMatokeo ya kidato cha sita (ACSEE) 2013 - Link 1Matokeo ya kidato cha sita (ACSEE) 2013 - Link 2
View ArticleMREMBO WA REDD'S MISS TABATA 2013 KUPATIKANA LEO
Shindano la kumtafuta Miss Tabata 2013 linafanyika leo katika ukumbi wa Dar West Park Tabata. Warembo 20 watachuana kutaka kumrithi Noela Michael ambaye anashikilia taji hilo kwa sasa. Noela pia ndiye...
View ArticleREDD'S MISS LINDI 2013 KUPATIKA USIKU WA LEO
Washiriki wa Redd’s Miss Lindi 2013 katika picha ya pamoja ndani ya ufukwe wa Lindi Beach ResortRedd’s Miss Lindi 2013 atajulikana Usiku wa leo 31 may,2013 ndani ya ukumbi wa Lindi Beach Resort. Jumla...
View ArticleKimwana Alice Issack Anyakua Taji la Redd's Miss Dar City Center
Redd's Miss Dar City Center, Alice Issack Mshindi wa Redd's Dar City Center, Alice Isack (katikati) akiwa na mshindi wa pili, Clarah Paul (kulia) na mshindi wa tatu, Fatma Hussein (kushoto)....
View ArticleRAIS KIKWETE AKUTANA NA MWENYEKITI WA MAMBO YA NJE WA BUNGE LA JAPAN
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa kamati ya Mambo ya Nje ya bunge la Japan Mh.Katsyuki Kawai wakati mwenyekiti huyo alipomtembelea na kufanya naye mazungumzo...
View Article