Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 6822

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Amjulia Hali Sheha wa Shehia ya Tomondo Zanzibar Baada ya Kumwagiwa Tindikali na Watu Wasiojulikana

$
0
0
Sheha wa Shehia ya Tomondo Wilaya ya Magharibi Mkoa Mjini Magharibi Bwana Mohd Omar Said { Maarufu Kidevu } akielezea mkasa uliompata wa kumwagiwa Tindi kali { Acid } mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja kumfariji.Picha na Hassan Issa- Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar

Viewing all articles
Browse latest Browse all 6822

Trending Articles