SOMA KWA MAKINI TAARIFA YA MABADILIKO YA UELEKEO WA BARABARA MAENEO YA...
Key: 1. RANGI YA NJANO - Njia ya Uelekeo Mmoja {One Way}. 2. RANGI YA BLUE MPAUKO - Njia ya Mielekeo Miwili {Two Way} 3. RANGI YA KIJANI - Mitaa ya Kutembea kwa Miguu Magari marufuku {Walking...
View ArticleSerikali imeagiza Gazeti la Mawio Kueleza Sababu za Kupotosha na Kukejeli nia...
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali Assah Mwambene akitolea ufafanuzi juu ya Taarifa iliyotolewa na Gazeti la Mawio mapema jana jijini Dar es Salaam,kushoto ni Afisa...
View ArticleMOYES ATIMULIWA NA MAN UNITED, GIGGS ACHUKUA MIKOBA YAKE
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Man United, David Moyes.Kocha wa klabu ya Manchester United David Moyes ametumiliwa. Taarifa zaidi zinakujia hivi punde!Kocha wa Man Utd, Ryan Giggs kwa sasa.Mchezaji wa siku...
View ArticleTASWIRA KUTOKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) akibadlishana mawazo Mjumbe wa Bunge hilo Rashid Mtuta (kushoto) leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi.Naibu Katibu wa Bunge...
View ArticleCCM MEATU YAZOA VIONGOZI WA CHADEMA
Aliyekuwa Katibu Mwenezi wa Chadema wilaya ya Meatu Kimwaga Jackson Ndibo akirudisha vitu vya Chadema zikiwemo kadi, bendera na katiba kwa viongozi wa CCM baada ya kurudi rasmi. Mwenyekiti wa Vijana...
View ArticleWAZIRI MKUU AONGOZA WAKAZI DAR KUAGA MWILI WA MAREHEMU CHANG’A
aziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa pile kwa waombolezaji kabla ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Moshi Chang’a, nyumbani kwa Marehemu Mbagala Kibonde Maji...
View ArticleChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemshukuru Rais wa Jamhuri ya...
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuashiria kufungua rasmi ofisi ya Mamlaka ya mapato Wilaya ya Karatu leo mjini Karatu. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Mbumge wa...
View ArticleWATAFITI WAWASILISHA RIPOTI ZA TAFITI ZAO MKUTANO WA NIMR
Mtafiti wa Magonjwa ya Binadamu kutoka Taasisi ya Utafiti ya Magonjwa ya Binadamu Tanzania (NIMR), Dk. Kijakazi Mashoto akiasilisha utafiti wake juu ya Ugonjwa wa Kipindupindu alioufanya Mkoa wa Pwani...
View ArticleRais wa Zanzibar Dk Ali Shein Akutana na Uongozi wa Wizara ya...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,utalii,Utamaduni na Michezo, katika kikao cha utekelezaji Mpango kazi...
View ArticleMKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KITUO CHA WALEMAVU CHA RASIBURA NA...
Jengo linalotumika kwa makazi ya walemavu huko Rasibura, katika Mji wa Lindi likiwa katika hali mbaya ya uchakavu. Jengo hilo awali lilikuwa likitumiwa kama gereza na Jeshi la Magereza la Lindi na...
View ArticleWaziri Prof. Makame Mbarawa Afungua mkutano wa siku mbili wa wadau Teknolojia...
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Digital Network Oy nchini Finland, Cipa Ojala akisisitiza umuhimu wa mkutano wa wadau wa TEHAMA katika nchi za Bonde la Ufa na msatakabali wa vyombo vya habari...
View ArticleTACAIDS yadhamiria kuanzisha Mfuko wa Ukimwi utakaolenga kuondoa upungufu wa...
Mkurugenzi wa Sera, Mpango na Utafiti wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) Dkt. Raphael Kalinga akiwaeleza jambo waandishi wa Habari( Hawapo pichani) Wakati wa Mkutano ulifanyika...
View ArticleRAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA HOSPITALI KUBWA NA YA KISASA YA CHUO KIKUU CHA...
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akifurahi na msanii Mrisho Mpoto baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Hospitali kubwa na ya kisasa ya Chuo Kikuuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili...
View ArticleMjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Ziana Mohamed Haji Aanguka Ghafla Bungeni...
Wauguzi na Waganga wa Zahanati ya Bunge mjini Dodoma wakitoa msaada wa huduma ya kwanza na kufanya maandalizi ya kumpeleka Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Ziana Mohamed Haji katika Hospitali ya Mkoa...
View ArticleRAIS JAKAYA KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA TERMINAL 3 UWANJA WA NDEGE...
Rais Jakaya Kikwete akikata utepe huku Balozi wa Uholanzi hapa nchini Mhe Jaap Frederiks na Waziri wa Uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe wakiwa wameshikilia utepe huo wakati wa uzinduzi wa mradi mkubwa...
View ArticleVIKOSI VYA ULINZI NA USALAMA VYAENDELEA NA MAZOEZI KWA AJILI YA MAADHIMISHO...
Vikosi vua ulinzi na usalama vikiwa katika mazoezi makali kwenye uwanja wa Uhuru leo kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania ulioasisiwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius K. Nyerere na...
View ArticleWaziri Mkuu Mstaafu Mzee Cleopa David Msuya Atangaza Rasmi Kung’atuka Nafasi...
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Waziri mkuu Mstaafu mzee Cleopa David Msuya aliyetangaza rasmi kung’atuka nafasi zote za uongozi baada ya kuitumikia serikali na Chama Cha...
View ArticleBUSOKELO, NHC KUJENGA NYUMBA 14 ZA WATUMISHI
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Busokelo, Meckson Mwakipunda, alisema mpango huo wa ujenzi wa makazi ya watendaji ni sehemu ya miradi ya kipaumbele katika halmashauri hiyo.Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika...
View ArticleWAZIRI MKUU WA MSUMBIJI AZURU CCM, ALAKIWA NA KATIBU MKUU WA CCM KINANA
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akimlaki Waziri Mkuu wa Msumbiji, Alberto Vaquina aliyewasili leo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam., ambapo walipata wasaa wa kufanya...
View Article