RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU NA NAIBU KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha Katibu na naibu katibu wa Bunge Maalum la katiba katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya ikulu ndogo mjini Dodoma leo. Waliokula kiapo mbele ya...
View ArticleCCM YAONGOZA KATA 11 KATIKA JUMLA YA KATA 13, UCHAGUZI MDOGO KALENGA
Mashabiki wa CCM wakimbeba aliyekuwa mgombea wa CCM jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini Godfrey Mgimwa, baada ya kupata matokeo ya awali ya CCM kuongoza kata 11 kati ya 13 katika matokeo ya uchaguzi...
View ArticleBREAKING NEWSSS!!! SOMA HAPA AJIRA MPYA ZA WAALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE...
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (OWM – TAMISEMI)AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14.A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI INATANGAZA...
View ArticleKALENGA WAPIGA KURA ULIVYOKUWA
Wakazi wa Kalenga A wakiwa kwenye wamejipanga mstari wakati wa kupiga kura ambapo vyama vitatu vimesimamisha waogombea katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga vyama hivyo ni CCM,CHAUSTA na...
View ArticleMbunge wa Viti Maalum Chadema, Rose Kamili Akamatwa na Jeshi la Polisi Mkoani...
Pichani shoto ni Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Manyara kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Rose Kamili akielekezwa sehemu ya kupita wakati wakiondoka ofisi za makao makuu ya CCM...
View ArticleWAANDISHI WAHIMIZWA KUZINGATIA MAADILI KWENYE KURIPOTI BUNGE LA KATIBA
Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe Samia Sululu Hassan akifungua warsha ya siku moja kwa wahariri na waandishi wa habari juu ya nafasi ya watetezi wa Haki za Binadamu katika Katiba...
View ArticleFURAHA YA AWALI YA USHINDI WA CCM KALENGA
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakisherehekea ushindi jioni hii katika ofisi kuu ya CCM mkoa wa Iringa ambapo inaonyesha CCM wanaongoza kwa mbali katika matokeo ya awali kwenye uchaguzi wa mbunge wa...
View ArticleGrace Tendega Mvandana Kampeni Meneja Wake ambaye ni Mbunge wa Arusha...
Mbunge wa Viti Maalum-Chadema, Rose Kamili akiwa Hospitali ya Mkoa wa Iringa, ambapo mbunge huyo alimwelezea Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Mh Freeman Mbowe(hayupo Pichani)namna alivyotekwa,...
View ArticleCCM YASHINDA KWA KISHINDO KIKUU JIMBO LA KALENGA
MATOKEO:Matokeo Rasmi ya Kalenga:Mgimwa Godfrey (CCM): 22,962 - 79.32%Tendega Grace (CHADEMA): 5,853 - 20.22%Minja Richard (CHAUSTA): 150 - 0.52%Mbunge mteule wa jimbo la Kalenga kupitia CCM Bw....
View ArticleTASWIRA ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA BAADA YA HALI YA HEWA KUCHAFUKA SIKU YA JANA
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba jana jioni alisimama kwa dakika tatu mbele ya kipaza sauti lakini akashindwa kuwasilisha Rasimu ya Katiba kutokana na vurugu...
View ArticleMSIKILIZE JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA AKIWASILISHA RASIMU YA KATIBA MJINI...
JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA AKIWAKILISHA RASIMU YA KATIBA MJINI DODOMA HIVI SASA LIVE! BOFYA HAPA
View ArticleOLE SENDEKA, LEKULE LAIZA WAMFAGILIA RIDHIWANI KIKWETE CHALINZE,WAWATAKA...
Mbunge wa Jimbo la Simanjiro,Mh. Christopher Ole Sendeka akiwaomba Wananchi wa Lugoba,Jimbo la Chalinze kutofanya makosa kwenye Uchaguzi Mdogo ndani ya Jimbo lao na Wampigie Kura Mgombea Ubunge kwa...
View ArticleRIDHIWANI KIKWETE MCHAKAMCHAKA JIMBO LA CHALINZE
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete (kulia) akiambatana na Mwenyekiti wa Kampeni wa Chalinze (CCM),Saleh Mpwimbwi (kushoto) pamoja na...
View ArticleVODACOM YASOGEZA HUDUMA ZAKE KWA WAKAZI WA TEGETA
Mmiliki wa duka jipya la Vodacom lililofunguliwa Tegeta katika jengo la Kibo Complex, Bw. Francis Nanai (katikati) pamoja na Meneja Mauzo ya Rejareja wa Vodacom Tanzania, Bi. Upendo Richard (kulia) kwa...
View ArticleMwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba...
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba akiwasilisha Rasimu ya Katiba mpya mbele ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, bungeni mjini Dodoma Machi 18, 2014.Waziri Mkuu,...
View ArticleKAMPENI ZA CCM CHALINZE ZAZIDI KUSHIKA KASI
Msafara wa Mgombea Ubunge katika Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Kikwete ukielekea kwenye Mkutano wa Kampeni katika Kijiji cha Mindukene,Kata ya Talawanda ndani ya...
View ArticleUFUNGUZI WA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI IDARA YA POLISI WAFUNGULIWA
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akisalimiana na Mwenyekiti wa Tughe Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Alcado Nchinga jana mjini Morogoro alipokua akiwasili kwenye ufunguzi wa Mkutano...
View ArticleRais Jakaya Kikwete anatarajiwa kulihutubia Bunge Maalum la Katiba Siku ya...
Rais Jakaya Kikwete Katibu wa Bunge Maalum la Katiba-Yahya Khamis Hamad--Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kulihutubia Bunge Maalum la Katiba Machi 21, mwaka huu mjini Dodoma.Kauli hiyo imetolewa leo na...
View ArticleMKUTANO WA DIASPORA NCHINI UINGEREZA 2014
KAMATI YA MAANDALIZI YAMKUTANO WA DIASPORA NCHINI UINGEREZA 2014Kufuatia hatua ya Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza kuunda kamati ya muda (Tanzania UK Diaspora Task Force) itakayosimamia maandalizi...
View Article