WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE YA MAENDELEO YA JAMII, WATEMBELEA CHUO CHA...
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dkt. Pindi Chana (mb.) akiwakaribisha wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Rungemba kilichopo...
View ArticleMWILI WA SHEKH WA MKOA WA MARA WAWASILI UWANJA WA NDEGE MUSOMA
NDEGE ILIYOBEBA MWILI WA MAREHEMU SHEKH ATHUMANI MAGEEMKUU WA MKOA WA MARA JOHN TUPPA AKIELEKEA KWENYE NDEGE KUONGOZA WAOMBOLEZAJI RUBANI WA NDEGE AKIELEKEZA NAMNA YA KUTOA JENEZA LENYE MWILI WA...
View ArticleWAZIRI MKUU WA FINLAND ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe(kushoto), akimtabulisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaaban Mwinjaka(aliyevaa tai nyekundu) kwa Waziri Mkuu wa Finland, Jyki Katainen, wakati Waziri...
View ArticleKAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA WATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO
Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala, Mhe. William Mganga Ngeleja akizungumza na watendaji na menejimenti ya Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakati Kamati yake walipotembelea Ofisi ya Rais,...
View ArticleDK ASHA ROSE MIGIRO AITEMBELEA TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Asha Rose Migiro akipokea Ripoti zilizofanyiwa kazi na Tume kutoka kwa Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Winfrida Korosso (Picha zote na Munir Shemweta Ofisa Habari wa...
View ArticleRAIS AONDOKA KWENDA NCHINI INDIA KWA ZIARA RASMI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na Balozi Mdogo wa India anyefanyia kazi Zanzibar wakati alipokuwa akiondoka katika uwanja wa Ndege wa...
View ArticleMAKAMU MWENYEKITI WA CCM PHILIP MANGULA AWASILI MKOANI MBEYA
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akisalimiana na Mwenyekiti wa Mkoa wa Mbeya na Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mh. Godfrey Zambi mara baada ya kuwasili katika ofisi za CCM...
View ArticleMAKABIDHIANO A ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya makazi Goodluck Ole Medeye(kushoto) akimkabidhi ofisi Naibu Waziri mpya katika Wizara hiyo George Simbachawene (Kulia)leo kufuatia mabadiliko ya...
View ArticleMwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Kikwete Kwenye Shamrashamra za kilele cha...
Shamra shamra za kilele cha maadhimisho ya sherere za miaka 37 ya CCM,iliyofanyika ndani ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine,jijini Mbeya leo.PICHA NA IKULUEmail ThisBlogThis!Share to TwitterMwenyekiti...
View ArticleWAZIRI KIGODA AZINDUA UKUMBI WA MIKUTANO WA KISASA DAR
Mgeni rasmi Mhe. Dk. Abdallah Kigoda (katikati) akiingia ukumbini. Mwenyekiti wa BNN Convention Centre, Paul Koyi (Kushoto) wakijadiliana jambo na Mwakilishi wa Jameson Tanzania, Adam Kawa kabla ya...
View ArticlePAMBANO LA YANGA, MBEYA CITY LAINGIZA MIL 175
Mashabiki wa Mbeya City wakati wa mechi ya timu yao na Yanga SC jana uwanja wa Taifa, Dar.Pambano la Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya wenyeji Yanga na Mbeya City lililofanyika jana (Februari 2 mwaka...
View ArticleRAIS KIKWETE ATEMBELEA MAJENGO YA BUNGE DODOMA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembezwa sehemu mbalimbali za majengo ya Bunge jijini Dodoma alikotembea kukagua majengo yanayokarabatiwa na kufanyiwa marekebisho tayari kwa kupokea wajumbe wa Bunge la...
View ArticleArticle 8
SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFAKUHAMA KWA OFISI ZA MAKAO MAKUU YA SHIRIKA Tunapenda kuwafahamisha wateja wetu na umma kwa ujumla kuwa Ofisi za Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa zimehamia kwenye...
View ArticleRais Jakaya Kikwete awataka wadau wote wa upatikanaji wa haki kushirikiana...
Bendi ya polisi ikiongoza maandamano ya siku ya sheria katika viwanja Mahakama Tanzania vilivyoko Ocean Roads yaliyofanyika jana jijini Dar es Salaam Jaji Mkuu wa Tanzania Mohamed Chande...
View ArticleWaziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Dkt. Fennela Mukangara afungua...
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof. Elisante ole Gabriel akiongea na Maafisa Habari na Mawasiliano wakati wa Mkutano wa Maafisa Habari na Mawasiliano unaoendelea...
View ArticleMwakilishi Mpya wa Jimbo la Kiembesamaki-CCM Mahmoud Thabit Kombo Aapishwa...
Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Yahya Khamis Hamad, akisalimiana na Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo alipowasili katika Ofisi ya Katibu wa Baraza kwa ajili...
View ArticleRais wa Zanzibar Dr Ali Shein na Ujumbe Wake Waendelea na Ziara yao ya kikazi...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,pamoja na ujumbe akiwasilidelhi india Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...
View ArticleCRDB YAMKABIDHI RAIS DR. JAKAYA KIKWETE HUNDI YA MILIONI 100 KWA AJILI YA...
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei, baada ya kukabidhiwa hundi ya shilingi milioni 100 kutoka benki hiyo kusaidia waathirika wa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA OFISI YA IECO UKANDA WA AFRIKA JIJINI DAR...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akikata utepe kufungua rasmi ofisi ya IECO ukanda wa Afrika, yenye makao yake makuu Beijing China iliyofunguliwa jijini Dar es Salaam Tanzania, kwa...
View ArticleRais Kikwete akimsikiliza mhifadhi wa Sokwe wa kimataifa Dkt.Jane Goodall...
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza mhifadhi wa Sokwe wa kimataifa Dkt.Jane Goodall wakati mhifadhi huyo alipomtembelea Rais Ikulu na kumwelezea kazi zake mbalimbali za uhifadhi nchini....
View Article