OMARY MJENGA AMKARIBISHA WAZIRI NYALANDU OFISINI KWAKE DUBAI
Mr Omary Mjenga akipata picha ya kumbukumbu na Mh. Lazaro Nyalandu ambaye ni Waziri mpya wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania wakati waziri huyo alipomtembelea bwana Mjenga ofisini kwake Dubai.Mh....
View ArticleFreeman Mbowe Aongoza Maandamano Himo, Mbunge wa Moshi Mjini Ndesamburo...
Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe akiongoza maaandamano Kuelekea Himo kwenye Uzinduzi wa Operesheni Pamoja Daima JanaMaelefu ya Wanachama wa Chadema Wakimshangilia kwa nguvu...
View ArticleUzinduzi wa Operesheni M4C Pamoja Daima Mbeya,Kigoma Kaskazini...
Mbunge wa singida magharibi tundu lissu akizindua Operesheni M4C Pamoja Daima singida Umati wa watu ikishangilia ukishuhudia wakati helcopter ikitua bukoba na mwenyekiti wa chadema na mbunge wa hai...
View ArticleRAIS KIKWETE AONGOZA WANANCHI WA MIONO KATIKA MAZIKO YA ALIYEKUWA MBUNGE WA...
Rais Jakaya Kikwete, akisaini katika kitabu cha maombolezo ya aliyekuwa Mbunge wa Chalinze, kwa tiketi ya CCM, Ramadhan Bwanamdogo, aliyefariki dunia juzi. Maziko ya marehemu Bwanamdogo, yamefanyika...
View ArticleRais wa Zanzibar Dr Ali Shein Amnadi Rasmi Mgombea wa CCM Wa Jimbo la...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahman Kinana,wakati alipowasili katika...
View ArticleWaziri Mkuu Mizengo Pinda afanya ziara Mtwara atembelea maeneo mbalimbali
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akitembelea maeneo mbalimbali kinapojengwa kiwanda cha kuchakata gesi asili eneo la Madimba mkoani Mtwara wakati wa ziara yake mkoani...
View ArticleDKT. BILAL AONGOZA HARAMBEE YA UJENZI WA UKUMBI WA MIKUTANO WA KANISA LA ST...
Zaidi ya shilingi milioni 65 zimekusanywa katika harambee iliyoongozwa na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa ukumbi wa mikutano wa Kanisa la Mtakatifu Peter...
View ArticleMCD KUZIKWA KIISLAM KESHO SAA 7 MCHANA
ALIYEKUWA mpiga tumba wa Twanga Pepeta Soud Mohamed 'MCD' aliyefariki jana usiku, atazikwa kesho saa 7 mchana Moshi mjini.Kwa mujibu wa kiongozi wa Twanga, Luizer Mbutu mazishi ya MCD ilikuwa...
View ArticleMZEE DUDE AFARIKI DUNIA
Mzee Dude enzi za uhai wake. MSANII wa kundi maarufu la vichekesho na uigizaji la Futuhi, Mzee Dude amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando iliyopo jijini Mwanza leo jioni! Mungu ailaze...
View ArticleSerikali inakusudia kutoa maelfu kwa maelfu ya tabuleti za kufundishia masomo...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea jezi ya timu ya baseball ya Chicago Cubs toka kwa mmiliki wa timu hiyo na Mwenyekiti wa taasisi ya kusaidia elimu ya Opportunity Education Foundation wa Marekani...
View ArticleMAANDALIZI YA SHEREHE ZA MIAKA 37 YAPAMBA MOTO
Katibu wa CCM Mkoa wa Mbeya Luteni Mstaafu Maganga Sengelema akifafanua jambo mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye uwanja wa Sokoine mjini Mbeya ikiwa sehemu ya maandalizi ya sherehe...
View ArticleMAKUNGA, KIBANDA, MWIGAMBA WASHINDA KESI YA UCHOCHEZI
Theophil Makunga.Absalom Kibanda.Samson Mwigamba.MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi ya makala iliyodaiwa kuwa ya uchochezi iliyokuwa inawakabili Meneja...
View ArticleKAMPUNI YA REX ENERGY YATAMBULISHA TEKNOLOJIA MPYA YA KUHIFADHI NA KUSAMBAZA...
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya kusambaza vifaa vya umeme wa jua (solar) ya Rex Energy Bw Francis Kibhisa akizungumza na Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali (hawapo pichani),kuhusiana na uzinduzi na...
View ArticleMKUTANO WA UZINDUZI WA KAMPENI ZA UDIWANI KWA CCM KATA YA NDULI
Kada wa CCM Frederick Mwakalebela na Simon Belege kushoto wakiwa katika mkutano huoNa Francis Godwin BloguCHAMA cha mapinduzi ( CCM) wilaya ya Iringa mjini kimezindua kampeni za uchaguzi mdogo...
View ArticleDROO KUBWA YA MILIONI 50/- YA MIMI NI BINGWA YAKARIBIA
Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde akisisitiza jambo wakati akichezesha droo ya kumi ya promosheni ya Mimi ni Bingwa liyofanyika jana katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es...
View ArticleJK AFURAHISHWA NA HUDUMA ZA NMB KATIKA MPANGO WA KILIMO WA STAKABADHI GHALANI
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkuu wa kitengo cha Masuala ya Kilimo katika Benki ya NMB Bw. Robert Pascal alipotembelea banda lao leo baada ya kufungua kongamano la kilimo Afrika Mashariki katika...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA MAJI AZURU DAWASA NA DAWASCO
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala, akisaini Kitabu cha Wageni katika Ofisi za DAWASA. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya DAWASA, Said El Maamry na Kulia ni Mkurugenzi wa DAWASA, Archad...
View ArticleRAIS JAKAYA KIKWETE AWAAPISHA WAZIRI NA MANAIBU WAZIRI IKULU DAR
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri na Manaibu Waziri waliokuwa wakiapisha Ikulu Dar es Salaam wakati alipokuwa akiwasili katika hafla...
View ArticleUBALOZI WA CHINA NCHINI WASAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO WA MOROGORO
Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Lu Youqin. akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi misaada hiyo.Mkurugenzi wa Idara ya Maafa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Luteni Jenerali...
View ArticleUNIC YAENDELEA KUTOA MAFUNZO YA MATESO YA KAMBI ZA WAYAHUDI
Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akizungumza na wanafunzi wa shule ya msingi ya Diamond juu ya umuhimu wa kujifunza mauaji ya kimbari ya wayahudi ya...
View Article