Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6881 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIJI LA MWANZA LAFIKIWA NA HUDUMA ZA INTANETI YA KASI YA TIGO 4G LTE

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Ali Mswanya(katikati) akizungumza na waandishi wa habari jjijini Mwanza jana,kuhusu upatikanaji wa huduma ya Tigo 4G LTE,kushoto ni Meneja wa Tigo 4G LTE Benedict...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO AKUTANA NA MKURUGENZI WA...

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura akimkaribisha Mkurugenzi wa Radio France Internationale(RFI) Bi.Cecile Megie ofisini kwake alipomtembelea kwa ajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AWAHAKIKISHIA FURSA ZA UWEKEZAJI WA VIETNAM

Na Anitha Jonas – MAELEZODar es Salaam.Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amewahakikishia wawekezaji kutoka Vietnam kuwepo kwa fursa za uwekezaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA JAMHURI YA KISOSHALISTI YA VIETNAM TRUONG TAN SANG ATEMBELEA MAKAO...

Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimkaribisha Rais wa Vietnam Truong Tan Sang, kwa ajili ya mazungumzo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUUNDA MAMLAKA KUU YA MAPATO YA TAIFA

Kaimu Kamishna wa TRA Alphayo Kidata akifafanua jambo  waandishi wa habari(Hawapo pichani) kuhusu mpango wa Serikali kuwasaidia wananchi wa kipato cha chini ili waweze kumudu kulipa kodi ,kulia ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA VIETNAM ATEMBELEA KAMPUNI YA SIMU YA HALOTEL JIJINI DAR ES SALAAM

Rais Truong Tang San akizindua Sanamu ya kiongozi wa zamani wa Vietnam iliyopo kwenye Kampuni ya Simu ya Halotel. Rais wa Vietnam, Mhe. Truong Tang San akizungumza na viongozi wa Kampuni ya Simu za...

View Article

ZIARA YA KUSHITUKIZA YA RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI BENKI KUU YA TANZANIA...

Rais Dkt Magufuli akizungumza na Uongozi wa juuu wa Benki Kuu

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MAJI AIAGIZA BODI YA DAWASCO KUWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WAKE KWA...

Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Inj. Gerson Lwenge (katikati) akiongozana na Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Maji taka na Maji safi Dar es Salaam (DAWASCO) , Meja General (mstaafu), Samuel Kitundu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPIKA AKUTANA NA WABUNGE KUTOKA UJERUMANI

Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akimkabidhi zawadi Kiongozi wa Msafara wa Wabunge kutoka Bunge la Ujerumani Mhe. Jens Koeppen. Anayeshuhudia kulia ni Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson.Wabunge hao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEMINA YA KUWANOA WADAU WA SEKTA YA SANAA, YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

Kwa mara ya kwanza, wadau wa Sanaa nchini wamepata fursa ya kukutanana Makampuni, Mashirika na Vyombo mbalimbali katika mafunzoyaliyofanyika hotel ya Hyatt Regency,jijini Dar es Salaam. Semina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFIS YA BUNGE YATOA UFAFANUZI KUHUSU TAARIFA ZA KUKAMATWA KWA MH.ESTER BULAYA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMAPINDUZI YA ZANZIBAR, MZEE IBRAHIM AMAN AZIKWA LEO KATIKA KIJIJI CHA KWALE

 Viongozi wa Kitaifa waliohudhuria mazishi ya  Marehemu Mzee Ibrahim Amaan wakikamilisha hitma ya kumuombea kiongozi huyo Mwanamapinduzi ya Zanzibar huko Kijijini kwake Nymanzi Wilaya ya Magharibi “B”....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI ATEUA WAKUU WAPYA WA MIKOA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakuu wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara, ambapo kati yao 13 ni wapya, 7 wamebakizwa katika vituo vyao vya kazi, 5...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli awathibitisha watendaji wakuu wa taasisi mbili za Serikali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewathibitisha watendaji wakuu wa taasisi mbili za serikali.Waliothibitishwa ni Bw. Alphayo Kidata, aliyekuwa Kaimu Kamishna Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUNUNUA MELI MPYA - WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeanza kukusanya fedha kwa ajili ya kununua meli mpya kwa ajili ya usafirishaji wa abiria na mizigo kwenye Ziwa Victoria.“Rais John Pombe Magufuli kasema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WARSHA YA USIMAMIZI WA VIHATARISHI NA UDHIBITI WA NDANI KWA AJILI YA...

 Makatibu Wakuu kutoka Wizara tofauti wakihudhuria mafunzo ya ‘Warsha ya Usimamizi wa Vihatarishi na Udhibiti wa Ndani’ (Risk Management and Internal Control Systems Workshop) yaliyoandaliwa kwa ajili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH. PAUL MAKONDA AMSHUKURU MUNGU KWA KUTIMIZA MWAKA MMOJA KAZINI

Mhe.Paul Makonda siku ya leo (jana) alikuwa anatimiza mwaka mmoja tangu ateuliwe kuwa mkuu wa Walaya Kinondoni,asubuhi ya leo katika Ibada Kanisani Living Water Center Ministry Kawe alipolelewa kiroho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL FURSA YAINGIA DODOMA YATOA MSAADA WA SHS MILIONI 9

Afisa uhusiano na matukio wa Airtel, Dangio Kaniki (katikati), akijaribisha moja ya mashine mashine walizomkabidhi kijana Fikiri Chinji (kushoto), anayejishughulisha na ufundi seremala, kupitia mpango...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GSM FOUNDATION YAIPIGA JEKI TIMU YA TAIFA YA RIADHA ILIYOKO KAMBINI WEST...

 Kocha wa timu ya taifa ya riadha Fracis John (kulia) akiwa na wanariadha wanaounda timu ya taifa ya riadha wakitizama msaada wa Track Suit ulitolewa na GSM Foundation kwa ajili ya wanariadha hao....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Total Afrika Mashariki,    Javier  Rielo Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya...

View Article
Browsing all 6881 articles
Browse latest View live