Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6881 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHULE YA MSINGI MBAGALA MAJIMATITU YACHIMBIWA VISIMA VYA MAJI

Msimamizi wa mradi wa uchimbaji wa visima vya maji katika Shule ya Msingi Mbagala majimatitu kutoka DAWASA Muhandisi Abel Chibelela akiangalia maendeleo ya kisima kimoja kati ya viwili vinavyochimbwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI MBALI MBALI ZA AFRIKA...

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, akizungumza na Mabalozi mbalimbali wa Afrika wanaoziwakilisha nchi zao nchini, walipofika nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo kumpa mkono wa pole...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA TOTAL YAMHAKIKISHIA RAIS MAGUFULI UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA HARAKA...

Makamu wa Rais wa Kampuni ya Total Afrika Mashariki Bw. Javier Rielo  amemuhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, kuwa kampuni hiyo itaanza ujenzi wa mradi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AKABIDHIWA TUNZO YA MSANII BORA AFRIKA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumzana Wasanii wa Film wa hapa Nchini baada ya kukabidhiwa  Tunzo ya mshindi Bora wa Film ya Kiswahili EastAfrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI AWAAPISHA WAKUU WA MIKOA LEO IKULU JIJINI DAR

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu kuwa mkuu wa mkoa wa Kagera,Hafla hiyo fupi ya kuwaapisha Wakuu hao wa Mikoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMISHNA WA JESHI LA POLISI ZANZIBAR AZUNGUMZIA JUU YA MIRIPUKO INAYOTOKEA...

Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar Hamdan Omar Makame akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu matokeo ya uripuaji wa mabomu na kuchoma moto nyumba na maskani za CCM Unguja na Pemba. Picha na Makame...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YATEMBELEA TAKUKURU...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akitoa ufafanuzi kuhusu masuala yaliyoulizwa wakati wa kikao.Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KINYEREZI II

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Balozi wa Japan nchini Masaharu Yoshida , Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo, Mkurugenzi mkuu wa Tanesco...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ LAKANUSHA KUPELEKWA WANAJESHI VISIWANI ZANZIBAR

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIAKURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANOTaarifa kwa Vyombo vya HabariJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya uvumi ulioenea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA MGENI RASMIN SIKU YA TEPE MEUPE LEO

Matembezi yaliyoshirikisha wadau mbalimbali ya sekta ya Afya kwa ajili ya  maadhimisho ya siku ya Utepe Mweupe nauzinduzi wa kampeni ya vifo vya Mama vitokanavyo na uzazi yaliyofanyika leoMarch 16,2016...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MHE. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA NA KUWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA UJENZI...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Balozi wa Japan nchini Masaharu Yoshida, Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo, Mwenyekiti wa Chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA CHATO MKOA WA GEITA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Bibi Jafari baada ya kuwahutubia wananchiwa kata ya Kasulo wilayani Ngara Machi 16, 2016. Alikuwa katika siku ya mwisho ya zira ya mkoa wa Kagera. Wananchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KITWANGA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto) akisalimiana na Brigedi Kamanda wa 101 KV Zanzibar, Brigadia Jenerali, Cylir Mhaiki, kabla ya kufanya mazungumzo na Wakuu wa Vyombo vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MKOA WA DAR ES SALAAM, PAUL MAKONDA APOKELEWA OFISI KWAKE NA KUZUNGUMZA NA...

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akishukua kutoka kwenye gari lake la Ukuu wa Mkoa wakati alipokuwa akifika kwa mara ya kwanza ofisini kwake Dar es Salaam jana mchana. Katibu Tawala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE YAKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Balozi Adad Rajab akimkaribisha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA UTEPE MWEUPE WA UZAZI SALAMA YAADHIMISHWA JIJINI DAR ES SALAAM .

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Hassan Suluhu akizungumza wakati wa siku ya Utepe Mweupe ambapo na uzinduzi wa kampeni ya kuzuia vifo vya mama na mtoto katika mkutano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA BUNGE YA ARDHI MALIASILI NA UTALII YATEMBELEA NHC

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akijadiliana jambo na  Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Sixtus Mapunda (kushoto kwake), wakati Kamati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHC YATAMBULISHA BIDHAA YAKE YA NYUMBA KWA MABENKI

Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Pius Tibazarwa akizungumza na maafisa mbalimbali wanaohusika na mikopo ya nyumba kutoka benki mbalimbali 16 nchini ambazo zimesaini mkataba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIGO YAFUNGUA DUKA JIPYA MKOANI SINGIDA

Mkuu wa Wilaya ya Singida mjini, Saidi Amanzi(katikati) akikata utepe kuzindua duka jipya la Tigo mkoani Singida jana, Wanaoshuhudia kushoto ni Mkurugenzi wa Tigo kanda ya kaskazini, George Lugata na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHINA WA KAGASHEKI WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA

 Raia wa Kichina kutoka kulia ni na Xu Fujie na  Huang Jing  ambao wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela au kulipa faini ya shilingi bilioni 54 jana katika mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar...

View Article
Browsing all 6881 articles
Browse latest View live