MSAFARA WA LOWASSA WASIMAMISHWA ZAIDI YA MARA NNE WAKATI AKIWA SAFARINI...
Msafara wa Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, ukichanja mbuga kutokea jijini Tanga kuelekea jijini Dar es salaam mapema leo...
View ArticleRAIS KIKWETE ATOA HOTUBA YAKE YA MWISHO UMOJA WA MATAIFA NEW YORK
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya mwisho katika kikao cha 70 cha Baraza kuu la Umoja wa mataifa katika ukumbi wa Makao makuu ya Umoja huo jijini New York Marekani leo mchana.(Picha...
View ArticleMO KUANZISHA BENKI YA MIKOPO KWA WAFANYABISHARA WADOGO NCHINI
CEO wa Kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akiwa ofisini kwake.………………………………………..Na Modewjiblog teamMfanyabiashara Bilionea Mohamed Dewji ambaye hivi karibuni amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa...
View ArticleMAENDELEO ENDELEVU 17 YA DUNIA YAZINDULIWA TANZANIA
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez (kulia) na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la UN Women nchini Tanzania, Anna Collins-Falk...
View ArticleIT BRIDGE YAWAFIKIA WANAFUNZI 60,000
Kamishina wa Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Eusella Bhalalusesa akizungumza kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Sifuni Mchome kuzindua...
View ArticleMGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI...
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein. akisalimiana na Viongozi wa CCM alipowasili katika viwanja vya garagara mtoni kwa ajili ya kuendelea na mikutano yake ya kampeni Zanzibar kuomba ridhaa...
View ArticleNEC YAKUTANA NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu,Damian Lubuva akizungumza na wamiliki wa vyombo vya habari (hawapo pichani) jinsi ya tume hiyo inavyofanya kazi kuelekea uchagauzi Mkuu...
View ArticleTASOI YAZINDUA KAMPENI YA SARATANI KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA MAWASILIANO BILA...
Katibu Mkuu wa TASOI, Belinda Mlingo akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa mpango mkakati endelevu wa kuendesha kampeni ya Mshikamano dhidi ya Saratani kwa kutumia...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MWANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Victoria Mwakasege, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es...
View ArticleEALA ROOTS FOR CONCERTED EFFORTS IN COMBATING CORRUPTION
Heads of Anti-Corruption Authorities from Republic of Kenya (left), South Sudan (centre) and the Federal Republic of Ethiopia stand for the Anthem at the start of the meeting in Entebbe earlier today...
View ArticleWANACHAMA WA CHAMA CHA MAWAKALA WA FORODHA TANZANIA WAJIUNGA NA PSPF
KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Florence Turuka, akihutubia wanachama wa chama cha mawakala wa forodha Tanzania (TAFFA), mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa...
View ArticleMAGUFULI AAHIDI KUKOMESHA MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI NCHINI
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa watu kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma leo,...
View ArticleRAIS KIKWETE KUZINDUA KITUO CHA MICHEZO KIDONGO CHEKUNDU DAR ES SALAAM
Rais Kikwete anatarajia kuzindua Kituo Kituo cha Michezo cha Kisasa cha Jakaya M. Kikwete Youth Park (JMK Park), Kidongo Chekundu, Dar es Salaam, kituo cha kwanza cha aina yake nchini chenye kulenga...
View ArticleAIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY
Meneja biashara wa kitengo cha Airtel Money, Bwn Asupya Naligingwa(kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtelkugawa gawio la faida la zaidi ya shilingi billion 5 kwa wateja...
View ArticlePRESIDENT KIKWETE CALL UPON ADVANCED NATIONS TO CURB MARKET FOR ILLEGAL...
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete speaks during the International Conservation Caucus Foundation(ICCF) gala in New York's Harvard Club whereby he called upon advanced nations to curb the sale of...
View ArticleGERMANY COMMITS 37 MILLION EUROS TO SUPPORT REGIONAL INTEGRATION IN EAST AFRICA
Head of the German delegation Mr. Georg Rademacher and the EAC Deputy Secretary General in charge Finance and Administration, Mr. Liberat Mfumukeko signs the bilateral agreement.The EAC team(on the...
View ArticleKILA JUMATATU YA KWANZA YA MWEZI OKTOBA NI SIKU YA MAKAZI DUNIANI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI TAARIFA KWA UMMA Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inapenda kuwataarifu Wananchi wote kwamba kila Jumatatu ya...
View ArticleMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MERCK SADICK ANATARAJIWA KUWA MGENI RASMI...
MKUU wa mkoa wa Dar es salaam Merck Sadick anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa mwaka wa 46 wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania utakaofanyika kuanzia tarehe 2 hadi 4 octoba...
View ArticleNIMESTUKA WAWASTUA WAKAZI WA IGUNGA
Msanii Inspector Haarun akiwa ameongozana na Kasala wakiingia eneo la mkutano mjini Igunga.Msanii Kupa akiwa amembeba msanii wa vichekesho, Tausi huku Msanii Ndede akipunga mkono kuwasilimia wana...
View Article