SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAZINDUA RASMI MAUZO YA NYUMBA ZA MAKAZI SHANGANI,...
Kaimu Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa Shirika la Nyumba la Taifa, Tuntufye Mwambusi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa mauzo ya nyumba za makazi za Shangani...
View ArticleAMOS MAKALLA AAGA RASMI WIZARA YA MAJI
Mhe. Amos Makalla akisalimiana na watumishi wa Wizara ya Maji waliompokea mara baada ya kuwasili Wizarani, pamoja na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu, Gideon Manambo.Mhe. Amos Makalla...
View ArticleRAIS KIKWETE AKAGUA MAENDELEO YA KITUO CHA MICHEZO KWA VIJANA CHA KIDONGO...
Kituo cha Michezo kwa vija na cha Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam kinavyoonekana kutoka angani.Rais Jakaya Mrisho kikwete akitembezwa na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya umeme ya Symbion Bw. Paul...
View ArticleRAIS KIKWETE FUNGUA TERMINAL YA MBOLEA YA KAMPUNI YA YARA KURASINI JIJINI DAR...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi terminal ya mbole ya kampuni ya Norwaya ya YARA Kurasini jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015. Kulia ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa...
View ArticleTAARIFA YA TATHIMINI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI KWA WAGOMBEA KWA TIKETI YA CCM
MWENENDO WA KAMPENI ZA CCMHadi jana, tarehe 16 September 2015, Mgombea Urais wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli, alikuwa amekwishafanya kampeni katika mikoa 12 na Majimbo 94. Amekwishafanya mikutano...
View ArticleRAIS KIKWETE AZINDUA MAJENGO PACHA YA GHOROFA 35 YA PSPF TOWERS MTAA WA...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu alipowasili kuzindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es...
View ArticleTATIZO LA UHABA WA MAJI WILAYANI MKURANGA KUWA HISTORIA.
Mwakilishi wa Kampuni ya Uchimbaji wa Visima ya ZENTAS kutoka Uturuki nchini Tanzania Dkt, Mohammed Akbar Akitoa taarifa za kukamilika kwa kazi ya uchimbaji wa kisima chenye urefu wa mita 541 eneo la...
View ArticleMAMA WA MAMA TUNU PINDA AZIKWA RASMI LEO DAR ES SALAAM
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mke wa Waziri Mkuu, mama Tunu Pinda (kuhosto) ambaye alifiwa na Mama yake , Hajjat Pili Mlolwa Rehani, nyumbani wa marehemu, Tanata Magengeni jijini Dar es...
View ArticleZIARA YA WAANDISHI WA HABARI KIWANDA CHA TBL, WAFANYABIASHARA NCHINI WAPEWA WITO
Meneja wa Kiwanda cha bia cha TBL Mbeya, Waziri Jemedari, akitoa maelezo kwa waandishi wa habari waliofanya ziara ya mashindano ya kuonja bia hivi karibuni(hawapo pichani) Meneja mawasiliano wa TBL...
View ArticleLOWASSA AENDELEA NA ZIARA ZAKE ZA KAMPENI, BARIADI MKOANI SIMIYU
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono wananchi wa Mji wa Bariadi (hawapo pichani) wakati alipowasili kwenye...
View ArticleTAARIFA KWA UMMA – ZIARA ZA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE NJE YA NCHI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFATAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISafari za Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete Nje ya Nchi…….Wizara imesikitishwa na taarifa za...
View ArticleTANGAZO LA KIFO CHA MARGARETH MWAISAGA
Mpigapicha Mkuu wa Kampuni ya Tanzania Standard Newsapapers (TSN) Limited, wachapishaji wa magazeti ya Dailynews, Sundaynews, Habarileo, Habarileo Jumapili na Spotileo, Mohamed Mambo anasikitika...
View ArticleWENGI WAJITOKEZA UZINDUZI WA AWAMU YA PILI KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI...
Ofisa Mtendaji Kata ya Temeke, Elias Wawa akizungumza katika uzinduzi wa awamu ya pili kupinga ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake masokoni uliofanyika soko la Temeke Sterio Dar es Salaam jana....
View ArticleDK.JOHN POMBE MAGUFULI AAHIDI KUDUMISHA UHUSIANO WA KIDIPLOMASIA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa mjini Kibondo kwenye uwanja wa Taifa katika mkutano wa kampeni...
View ArticleKIAMA CHA MAJANGILI CHAJA, BATHAWK YAZINDUA NDEGE MAALUM KUPAMBANA NAO
Ndege aina ya Super Bat DA-50…………………………..Na Daniel Mbega, MkomaziNI majira ya saa tatu asubuhi Jumatano, Septemba 16, 2015 wakati tunawasili kwenye uwanjamdogo wa ndege (air strip) katika eneo la...
View ArticleDK.ALI MOHAMED SHEIN KATIKA JIMBO LA MKANYAGENI LEO
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika uwanja wa...
View ArticleMKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA MWENZA WA UKAWA BUSANDA GEITA
Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Busanda mkoani Geita.Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwasili katika...
View ArticleNYUMBA ZA NHC MWONGOZO BEACH HOUSING ESTATES ZINAVYOONEKANA KWA SASA
Baadhi ya nyumba za mradi wa Shirika la Nyumba la Taifa Mwongozo Beach Housing Estates ambao ni mradi wenye nyumba 216, zinavyoonekana kwa sasa.Hizi ni nyumba za ghorofa za Mwongozo Beach Housing...
View ArticleNCHI ZA AFRIKA ZIMEASWA KUIMARISHA MAWASILIANO KATIKA UTOAJI WA TAARIFA...
Muwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchi Kenya Dkt. Custodia Mandlhate akuitoa hotuba ya ufungua wa semina ya inayohusu namna ya kuimarisha mawasiliano na utoaji wa taarifa sahihi...
View ArticleMO DEWJI ANYAKUA TUZO YA MWAKA YA MFANYABIASHARA ANAYESAIDIA ZAIDI JAMII
Mkurugenzi Mtendaji wa CNBC Africa, Roberta Naicker akimkabidhi tuzo ya ‘2015 Philanthropist of the year-East Africa’ Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji katika sherehe...
View Article