MAMA SALMA KIKWETE AMNADI MGOMBEA UBUNGE NDUGU HASSAN KAUNJE NA MADIWANI...
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Lindi Mjini na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwasili kwenye eneo la mkutano wa kampeni kwenye Kata ya Msinjahili katika Manispaa ya...
View ArticleLOWASSA MKOANI KIGOMA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akitembelea kuelekea kwenye Helkopta anayoitumia kwa...
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI YA MGOMBEA MWENZA WA UKAWA KATIKA PICHA
Mgombea Mwenza wa Ukawa Juma Duni Haji akipokea kadi ya CCM kutoka kwa mwanachama wa chama hicho, Kasim Msham aliyekihama na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinji Mkoa wa Lindi.(Picha na...
View ArticleHAPA KAZI TU YA MAGUFULI YAMFIKISHA MAMA SAMIA MAJIMBO YA UBUNGO, KINONDONI...
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wake wa kampeni aliofanya leo katika eneo la Msasani jimbo la Kawe jijini Dar es...
View ArticleWAZIRI WA KAZI NA AJIRA, GAUDENTIA KABAKA, AZINDUA BODI YA WADHAMINI MFUKO...
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, (kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, wakati wakichukua nafasi zao kwenye uzinduzi wa Bodi ya...
View ArticleDR. JOHN POMBE MAGUFULI: WALIOHODHI MAENEO YA ARDHI BILA KUYATUMIA WAJIANDAE...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akiongozana na mgombea ubunge wa jimbo la Ifakara Ndugu Abubakary Asenga wakiwasili kwenye...
View ArticleLOWASSA ALIVYOUTIKISA MJI WA TABORA
Aliekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mngeja akiuhutubia Umati wa wakazi wa Mji wa Tabora, waliofutirika kwa wingi kwenye Uwanja wa Town School, kulikofantika Mkutano wa Kampeni za...
View ArticleMAMA SAMIA AMALIZA ZIARA YA KAMPENI MKOA WADAR ES SALAAM
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo eneo la Majohe kwa Warioba, jimbo la Ukonga, Dar esSalaam,...
View ArticleMGOMBEA MWENZA WA UKAWA JUMA DUNI HAJI ANGURUMA JIJINI TANGA
Makamu Mwenyekitiwa Chadema, Zanzibar, Saud Issa Mohamed akimlaki Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa jijini Tanga, mgombea huyo yupo katika...
View ArticleMWIGULU NA MWAKALEBELA IRINGA MJINI
Mwigulu Nchemba na Mwakalebela wakiwa kwenye Gari ya wazi wakielekea Uwanja wa Mwembetogwa hapa Iringa Mjini tayari kwa uzinduzi wa kampeni za Ubunge.Mwigulu Nchemba akiingia na Gari la wazi kwenye...
View ArticleHIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOUTIKISA MJI WA MOROGORO JIONI YA JANA,JK ASEMA...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Kikwete na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakiwapungia mikono wananchi huku wakiwa wameshika kofia zao....
View ArticleRAIS KIKWETE AWAPA POLE MAJERUHI YA MSONGAMANO WA WANANCHI BAADA YA MKUTANO...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro Dkt. Ritha Lyamuya alipokwenda kuwapa pole majeruhi walioumia katika msongamano mkubwa uliotokea...
View ArticleFLAVIANA MATATA ATEULIWA KUWA BALOZI WA HIYARI WA UTALII TANZANIA
Dr Adelhelm James Meru akimkabidhi Flaviana Matata barua ya kuchaguliwa kwake huku kaimu Mkurugenzi Devota Mdachi akishuhudia, katika ofisi za wizara hiyoMwanamitindo wa Kimataifa anaefanyia kazi zake...
View ArticleMAGUFULI AZUNGUMZA MUHEZA MCHANA HUU, WANANCHI WENGI WAJITOKEZA KUMLAKI
Mgombe Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wananchi wa Muheza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani Tanga Mgombe Urais wa CCM Dkt...
View ArticleLOWASSA AFANYA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI DAR ES SALAAM
Mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwa amejichora rangi za bendera ya Chama hicho, wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia...
View ArticleMABWAWA YA MAJI TAKA ENEO LA VINGUNGUTI KUANZA KUZALISHA GESI.
Mratibu wa Mradi wa kuzalisha gesi ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka wa 4 katika fani ya Uhandisi wa Mazingira, Chuo Kikuu cha Ardhi John Rutahirwa Akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu moja...
View ArticleWAWANAWAKE WANAOSUMBULIWA NA KANSA YA KIZAZI WAPATA FARAJA
Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza(kulia)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kutangaza mfumo ulioshirikisha taasisi za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon Red Ribbon na...
View ArticleSHEREHE ZA MKONDO WA BAA ZANOGESHA PROMOSHENI YA TUSKER FANYA KWELI KIWANJANI
Mkazi wa Mikocheni na mpenzi wa kinywaji cha Tusker Bw. Gaspar Makongoro (38) (katikati) akizungumza na mshereheshaji wa promosheni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kushoto) wakati wa promosheni...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU WA MIKOA,...
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Stephen Kebwe, akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi Makamu wa Rais kufungua Mkutano huo. Picha zote na OMRMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....
View Article