Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6822 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA KITUO CHA WALIOADHIRIKA NA...

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akipewa maelezo ya ujenzi wa kituo cha kuwarekebisha watu walioathirika kwa matumizi ya dawa za kulevya huko Kidimni Wilaya ya Kati....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS AAGANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI, MABALOZI WA TANZANIA UHOLANZI NA...

Rais Jakaya Mrisho kikwete akiwa na Balozi mpya wa Tanzania nchini Uholanzi Mhe. Irene Florence Mwawa Kasyanju na Balozi mpya wa Tanzania nchini Zimbabwe Luteni Jenerali Charles Lawrence Makakala...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA TUMA PESA NA...

Mshindi wa Promosheni ya ‘Tuma Pesa na Simbanking Shinda Passo’, Editha Emmanuel akionyesha furaha yake baada ya kukabidhiwa zawadi yake ya gari leo.(Picha na Francis Dande)Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA BAWACHA UKAWA MILLENIUM TOWER

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amezungumza na kina mama hao akiwataka kutumia haki yao ya kikatiba kumchagua mgombea wa UKAWA , Edward Ngoyai Lowassa awe rais,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AHUTUBIA BARAZA LA WANAWAKE WA CHADEMA JIJINI DAR

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono baadhi ya Wanawake wanachama wa CHADEMA, waliokuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BLOGGERS, EDITORS URGED TO ENSURE PUBLIC MAKES INFORMED CHOICE

Gasirigwa Sengiyumva from MISA Tanzania, giving briefly introduction about the training, asking editors and bloggers there expectation after training and the aim of the Training today.Mr. James Malenga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHC YATILIANA SAINI YA MAKUBALIANO YA MIKOPO YA NYUMBA NA BENKI NNE ZA HAPA...

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akizungumza katika hafla ya utiaji saini iliyofanyika Hyatt Regency, The Kilimanjaro Hotel, Dar-es-Salaam leo asubuhi. Leo NHC...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA TAASISI YA SEKTA BINAFSI NCHINI (TPSF) DK REGINALD MENGI...

Maonesho ya ya bidhaa za viwandani yatakuwa na manufaa zaidi kwa Tanzania iwapo makampuni Makubwa ya kutoka nje ya nchi yatazalisha bidhaa hizo hapa hapa nchini.Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR JOHN POMBE MAGUFULI AOMBA KURA KYELA NA RUNGWE

  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea wa jimbo la Kyela kwa  wananchi wa mji Ipinda wilayani Kyela wakati alipofika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALLIANCE, MARSH MABINGWA AIRTEL RISING STARS MWANZA

 Nahodha wa timu ya Alliance Academy Ally Hamisi (kushoto) akikabidhiwakombe na Mwenyekiti wa Soka Mkoa wa Mwanza (MZFA)Bw. Jackson Songora  baada ya kutwaa ubingwa wa U-17 Airtel Rising Stars mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHUANO YA WAVU YAANZA KURINDIMA ARUSHA

 Picha ikionyesha wachezaji wa timu ya pentagone ya jijini ArushaIliovaa bluu ikiwa inacheza na wachezaji wa timu ya Tanga katikaMICHUANO yamchezo wa wavu klabu Bingwa Taifa inaendelea kutimua vumbi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA SAMIA KATIKA UBORA WAKE KATIKA MAJIMBO YA MONDULI NA LONGIDO MKOANI ARUSHA

 Wananchi wakiwa wamejawa hamasa kwa nyimbo na nderemo wakati Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassam, alipowasili kwenye Uwanja wa mkutano wa kampeni za CCM leo, katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC YAKABIDHI POLISI MAJINA YA WATU 52,078 WALIOJIANDIKISHA ZAIDI YA MARA...

 Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Kailima Ramadhan (kushoto), akimkabidhi Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Benedict Wakulyamba orodha ya majina 52,078 ya watu waliojiandika katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA MISRI AMUAGA RAIS KIKWETE IKULU

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kuagana na Balozi wa Misri anayemaliza muda wake Mhe.Hossam Moharram Ikulu jijini Dar es Salaam leo.Rais wa Jamhuri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HESLB YAWATAKA WAOMBAJI MIKOPO KUREKEBISHA TAARIFA ZAO

Na Mwandishi WetuBODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza orodha ya waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016 ambao fomu za maombi zimegundulika kuwa na upungufu na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EU KUTUMA WAANGALIZI 128 KWAAJILI YA UCHAGUZI MKUU UTAKAOFANYIKA OKTOBA MWAKA...

Katibu Mkuu  wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania, Mhe. Filiberto Sebregondi, wakibadilishana Hati ya Makubaliano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YASHIRIKI KWENYE MKUTANO WA MWAKA WA WADAU WA KOROSHO MKOANI LINDI LEO

SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF limeshiriki kwenye mkutano wa Wadau wa Korosho unaofanyika kwenye Hoteli ya Peace Beach Mkoani Lindi,mkutano huo utakaofanyika kwa Siku mbili mfululizo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR. JOHN POMBE MAGUFULI ATIKISA JIJI LA MBEYA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi wa mkoa wa Mbeya katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AMJULIA HALI BWANA CHARLES KIZIGHA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mwandishi wa habari Mkongwe wa magazeti ya Serikali ya Daily News na Sunday News Bwana Charles Kizigha nyumbani kwake Mbezi Beach jijini Dar es Salaam jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA ALPHA KONARE MJUMBE WA AU SUDAN YA KUSINI

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Mhe.Alpha Oumar Konare ambaye ni msuluhishi wa Umoja wa Afrika(AU) katika mgogoro wa Sudan ya Kusini ikulu jijini Dar es Salaam...

View Article
Browsing all 6822 articles
Browse latest View live