Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHECHU ATOA MADA KONGAMANO LA DIASPORA NA WAJASIRIAMALI LIKIENDELEA KWA SIKU...

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Kyando Mchechu  akitoa mada kwenye moja ya mdahalo katika kongamano la Diaspora, Washiriki wa kongamano la Diaspora, lililopo katika siku ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL FURSA YAANDAA SEMINA YA DARAJA LA MAFANIKIO KWA VIJANA MJINI MTWARA

 Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Fatma Salum Ally akifungua mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’, yaliyofanyika kwenye Ukumbi VETA mjini Mtwara jana. Meneja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

K.K.K.T WAPATA ASKOFU MKUU MPYA WA KUONGOZA KANISA HILO NCHINI NI DK FREDRICK...

MAASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wamemchagua Askofu Dk. FREDRICK SHOO kua mkuu mpya wa Kanisa hilo.Uchaguzi huo uliofanyika jana kufuatia kumalizika kwa muda wa uongozi wa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE KATIKA HAFLA YA KONGAMANO LA PILI LA DIASPORA HOTELI YA SERENA...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mama wa Mitindo Asia Idarous-Khamsin wakati alipowasili hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo kuhudhuria hafla ya Kongamano la pili la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPOKEZI YA MGOMBEA URAIS WA UKAWA JIJINI MBEYA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chamacha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa akiwapumbia maelfu yawakazi wa Jiji la Mbeya, waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AZINDUA HATI ZA AHADI YA UADILIFU KWA VIONGOZI, WATUMISHI WA...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini Hati za Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi, Watumishi wa Umma na Sekta binafsi akishuhudiwa na viongozi wa taasisi na sekta hizo jana Agosti 14, 2015 Ikulu jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAPF YAMWAGA VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU YA MANISPAA YA KINONDONI

 Meneja Masoko Kanda ya Pwani, Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa timu ya Manispaa ya Kinondoni. Vifaa vilivyotolewa na mfuko huo ni jezi...

View Article

KAMA ULIPITWA NA KIPINDI CHA MADA MOTO KATI YA POLE POLE NA MTATIRO,HIKI HAPA.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA UJENZI YAMUAGA RAIS KIKWETE

 Rais Jakaya Kikwete akihutubia wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi wakati wa hafla maalum ya kumuaga iliyoandaliwa na Wizara hiyo kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja. Waziri wa Ujenzi Dk. John Pombe Magufuli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kalapina wa kikosi cha mizinga achukua fomu kugombea udiwani kata ya...

Msanii wa muziki  wa Rap toka Kikosi cha Mizinga, Karama Masoud aka Kalapina (kushoto) akipokea fomu za kugombea udiwani kata ya Kinondoni kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo toka kwa msimamizi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE KATIKA BARAZA LA VIJANA WA CCM

 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mjumbe wa NEC Jerry Slaa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA UJENZI YAMUAGA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE

Waziri wa Ujenzi Dk.John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Mfutakamba wakati akiwasili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kwenye hafla ya kumuaga Rais wa Jamhuri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CBA BANK FAMILY DAY YAFANA VILIVYO

 Wafanyakazi wakishiriki katika michezo ya viungo mapema wakati wa kuanza tamasha hilo la michezo na burudani kwa wanafamilia ya Benki ya CBA mjini Bagamoyo.Mkurugenzi Mtendaji wa CBA Tanzania Julius...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ALIVYOTIKISA MKUTANO WA CHADEMA JIJINI MWANZA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DJ WA NIGERIA KUFANYA ONYESHO NA KUTOA MSAADA KWAJAMII JIJINI DAR ES SALAAM

 Mtengenezaji wa muziki, mtunzi wa nyimbo na DJ raia wa Nigeria anayefanya kazi zake nchini Marekani Bi.Florence Ifeoluwa maarufu kama DJ Cuppy akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA MSIBA

UONGOZI WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LINASIKITIKA KUWATAARIFU KIFO CHA NDUGU AMANDUS A. MDEMU ALIYEKUWA INTERN KITENGO CHA MANUNUZI  MAKAO MAKUU KILICHOTOKEA JANA TAREHE 16/08/2015 DAR ES SALAAM.MWILI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za Harusi ya Flaviana Matata

Baada ya Mrembo Flaviana Matata mapema leo Amefunga ndoa na Aliyekuwa Mpenzi wake anayejulikana kwa jina la Mr Massawe hizi ni Picha zake za Harusi yake iliyofanyika katika kanisa la St Joseph endelea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KWENYE OFISI ZA LUMUMBA LEO

 Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu maalum kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama ,Ofisi Ndogo Lumumba,kulia ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA ‘DEMOCRACY IN DAR’ LAFUNIKA JIJI, WAKAZI WAHAMASIKA KUJITOKEZA...

Wananchi waliojitokeza katika tamasha la ‘Democracy in Dar’ lililofanyika jana Agosti 16, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala likiwa na lengo la kuwahamasisha mashabiki wa muziki wa kizazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAALAM WA TEHAMA NCHINI TANZANIA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA...

Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu akifungua mkutano wa kwanza wa mwaka wa Serikali Mtandao leo jijini Arusha.Zaidi ya wataalam wa TEHAMA 500 kutoka Wizara,...

View Article
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live