RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU MJINI DODOMA
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Makamu Mwenyekiti Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein,Makamu Mwenyekiti Bara Ndugu Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakipiga...
View ArticleVIJANA WALIOTIMIZA MIAKA 18 WAASWA KUPIGA KURA ILI KUCHAGUA VIONGOZI WANAO...
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Maria Salungi akichangia maada kuhusiana na kijana anajitambuaje katika kuhamasika kupiga kura Oktoba 25 mwaka huu ili waweze kumchagua kiongozi wanae mtaka, kwa kuwa...
View ArticleZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KATIKA MIKOA YA MTWARA, RUVUMA, NJOMBE NA...
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu na ujumbe wake akikagua mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na Shirika hilo eneo la Napupa Mjini Masasi. Afisa Ardhi wa...
View ArticleNHIF YAWAPA SOMO MABLOGGER KUHUSU KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF) Bw, Rehani Athumani akifungua semina ya kati ya mfuko huo na Mablogger wanachama wa Chama habari za mitandao ya kijamii Tanzania...
View ArticleSHIWATA YAKABIDHI NYUMBA 16 MKURANGA
Wasanii wakipata maelekezo kutoka kwa Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib (hayupo pichani) utaratibu wa kutunza nyumba walizogaiwa kwenye kijiji cha Wasanii Mwanzega, Mkuranga juzi .Mwenyekiti wa...
View ArticleNHC YAWAKILISHA KWENYE KONGAMANO LA DIASPORA DAR
Wadhamini wa kongamano la Diaspora la Ubia SMEs 2015 Serena Hotel lililoanza leo katika hotel ya Serena iliyopo jijini Dar Es Salaam. Timu ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ikiwa katika banda la...
View ArticleMSAFARA WA LOWASSA WAZUIWA NA POLISI MWANGA, PIA ALIKUWEMO MBATIA N A MREMA,...
Msafara wa Mhe.Lowassa wazuiliwa na wananchi mosh wakililia kumuona maeneo ya Boma akitokea KIA kuelekea msibani Mwanga..NA K-VIS MEDIA, MWANGAMSAFARA wa mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano kupitia...
View ArticleWANACHAMA WA CCM WALIOTEULIWA KUGOMBEA UBUNGE NA UWAKILISHI WA MAJIMBO NA...
1. Arusha Arusha Mjini Arusha Ndugu Philemon MollelKaratu Karatu Dkt. Wilbard Slaa LorriArumeru Arumeru Magharibi Ndugu Loy Thomas ole SabayaArumeru Mashariki Ndugu John Danielson Sakaya (JD)Longido...
View ArticleMAALIM SEIF AKUTANA NA VIONGOZI WA CUF – ZANZIBAR
Katibu Mkuu waChama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na viongoziwa CUF pamoja na wagombea uwakilishi na ubunge wa Chama hicho Wilaya za Ungujakatika ukumbi wa majid Kiembe...
View ArticleKAMPUNI YAAFRICAN LIFE ASSURENCE YABADILISHA JINA RASMI KUWA SANLAM LIFE
Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof Mkenda Akiwa na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam life Insurance Ndg.Julius Magabe Tayari kwa Uzinduzi wa Kampuni ya Sanlan. Mgeni rasmi...
View ArticleBREAKING NEWS : PROFESA LIPUMBA AREJEA NCHINI
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Rwanda janaTaarifa zilizofikia mtandao wetu zinaeleza kwamba aliyewahi kuwa...
View ArticleRAIS KIKWETE AMZIKA KISUMO MWANGA
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza la Kada Mkongwe wa CCM Marehemu Mzee Peter Kisumo wakati wa ibada ya mazishi iliyofanyika huko...
View ArticleCNN yaiomba Kenya radhi kwa ripoti potofu
Tony Maddox na Rais Uhuru KenyattaBaada ya malumbano makali kati ya wa-Kenya na shirika la habari la habari la kimataifa la CNN,limeomba radhi Kenya kuhusiana na taarifa iliyopeperushwa hewani,ikidai...
View ArticleJWTZ YAKANUSHA KUWANYANG’ANYA KADI ZA KUPIGIA KURA MAOFISA NA ASKARI WAKE
Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali Ngemela Lubinga (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi wakati akikanusha...
View ArticleNAPE NNAUYE:ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2015-2020 IKO TAYARI
Ndugu Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akielekea kwenye ukumbi wa mkutano kwa ajili ya kuzungumza na waandishi wa habari, huku akiwa ameshikilia kitabu cha Ilani ya Uchaguzi ya CCM...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM MKOA WA SHINYANGA, KHAMISI MGEJA NA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA...
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Khamisi Mgeja. jana Agosti 13, 2015, alitangaza kujivua wadhifa huo na kukihama chama chake na kujiunga na CHADEMANA K-VIS MEDIAMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ,...
View ArticleJWTZ YAKANUSHA KUWANYANG'ANYA KADI ZA KUPIGIA KURA MAOFISA NA ASKARI WAKE
Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali Ngemela Lubinga (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo Agosti 14, 2015, wakati...
View ArticleLOWASSA ALIVYOWASILI MBEYA LEO HII
Mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Ukawa kwa tiketi ya Chadema Mhe.Edward Lowassa akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Ukawa baada ya kutua Jijini Mbeya leo kwa lengo la kujitambulisha...
View ArticleIDADI YA WANAFUNZI WANONUFAIKA NA MIKOPO YAZIDI KUONGEZEKA
Na Jenikisa NdileIdadi ya wanafunzi wanaopata mikopo kutoka Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imekuwa imeongezeka mwaka hadi mwaka na kusaidia kuongeza idadi ya watanzania...
View Article