CCM MTWARA WAUNGANA KUMHAKIKISHIA USHINDI MAGUFULI
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimia wanachama wa CCM mkoa wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi kumsalimia kwenye ofisi za CCM Mkoa wa Mtwara. Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk....
View ArticleSHEREHE ZA MAKAMBI 2015 MTAA WA MANZESE YAFANA
Kwaya Maalum ya Jangwani kutoka Shinyanga ikitumbuiza wakati wa Sherehe za Makambi ya Mtaa wa Kanisa la Waadventista Wasabato Manzes. Muhubiri Mkuu wa Sherehe za Makambi mtaa wa Manzese Mch....
View ArticleKIMBISA AMKARIBISHA RAIS KIKWETE DODOMA
Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma Adam Kimbisa muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma ambapo ataongoza vikao vya...
View ArticleTAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUENDELEA KIVINGINE
Meneja Mkuu wa Mawasiliano wa kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habri Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu kuendelea kufanyika kwa Tamasha la...
View ArticleSEMINA YA MPANGO WA KUPUNGUZA VIFO VYA AJALI YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
Ofisa Mradi wa mpango wa kutekeleza mkakati wa kupunguza vifo vinavyotokana na ajali za barabarani kwa kusisitiza usalama Barabarani unaosimamiwa kwa kushirikiana na Bloomberg (BIGRS), Shirika la...
View ArticleZITTO ; FILIKUNJOMBE NI MCHAPAKAZI MZURI, CHIKU AMTAKA MBUNGE MSIGWA AONYESHE...
Ziito Kabwe akiwa na mume wa Chiku Abwao na Chiku Abwao na kada wa ACT wazalendo.Zitto kabwe akiwa na wapambanajiZitto kabwe akiwahutubia wananchi wa jimbo la Iringa mjiniChiku Abwao...
View ArticleKIJANA MFUGAJI AWEZESHWA NA AIRTEL FURSA
Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (kulia), akikata utepe kuashiria kumkabidhi kijana Jonathan Tarimo (wa pili kulia), msaada wa Zizi jipya na Ng’ombe wawili wa maziwa kupitia mpango...
View ArticleMkurugenzi Mkuu wa NHC akagua mradi wa Nyumba za Makazi Rahaleo
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akikagua eneo kunakojengwa Nyumba za Makazi 96 za Rahaleo Mtwara. Nguzo za Nyumba za Makazi 96 za Rahaleo Mtwara. Nguzo za Nyumba...
View ArticleZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC MKOANI LINDI
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiwasili katika ofisi za NHC Lindi. Meneja wa Lindi Mussa Patrick Kamendu akitoa taarifa ya mkoa wa Lindi kwa Mkurugenzi Mkuu....
View ArticleVIJANA NCHINI WATAKIWA KUJITOLEA KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana, James Kajugusi akiongea na Vijana kutoka sehemu mbalimbali (hawapo pichani) waliohudhuria Kongamano la Vijana lililofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini...
View ArticleWASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO...
Baada ya washiriki wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula Shindano linalo endeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow na kudhaminiwa na Gates and Melinda Foundation,TBS, Cooperative Bank Great...
View ArticleMAJIMBO MATANO KURUDIA KUPIGA KURA ZA MAONI CCM
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) imeagiza kurudiwa kwa uchaguzi katika majimbo matano yaliyopo Tanzania Bara kutokana na dosari mbalimbali zilizojitokeza katika mchakato wa...
View ArticleKAMATI KUU YA CCM YAFANYIKA LEO MJINI DODOMA
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati kuu ya CCM kilchofanyika katika ukumbi wa White house, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma leo.(Picha na Freddy...
View ArticleWATANZANIA WAMEASWA KUHIFADHI MAZINGIRA
. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Sazi Salula akifungua Mkutano wa wadau wa mazingira unaohusu Miradi ya majaribio nchini wa Mkakati wa Kupunguza Uharibifu wa Misitu (MKUHUMI) jana jijini Dar es...
View ArticleDk Slaa aikana akaunti ya twitter inayomzushia mazito
Wakati kukiwa na taarifa zinazosambaa mtandaoni zikimuhusisha Dk Willibrod Slaa na akaunti ambayo imekuwa ikitoa msimamo wake wa kujitenga na shughuli za siasa pamoja na Ukawa, katibu huyo mkuu wa...
View ArticleTHE 3RD ANNUAL CYBER DEFENSE EAST AFRICA SUMMIT HELD IN DAR ES SALAAM ON...
The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) Director General Dr. Ally Yahaya Simba (left), addresses the 3rd Annual Cyber Defense East Africa Summit held in Dar Es Salaam on 11-08-2015. The...
View ArticleVodacom Tanzania yapata Mkurugenzi Mtendaji mpya
Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania Limited leo imemtangaza Mkurugenzi wake mpya Bw. Ian Ferrao anayechukua nafasi ya Mkurugenzi anayeondoka Rene Meza ambaye hivi karibinu aliteuliwa kuwa...
View ArticleBENKI YA BARCLAYS YAZINDUA KADI YA ATM DOLA
Meneja bidhaa wa Benki ya Barclays,Valence Lutegavya akizungumza wakati wa uzinduzi wa kadi ya ATM ya dola za kimarekani katika mkutano wa uzinduzi uliofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni...
View ArticleSIKU YA KIMATAIFA YA VIJANA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM LEO.
Bendi ya jeshi la polisi ikiongoza Maandamano ya siku ya vijana Duniani ,yaliyofanyika Agost 12 kila mwaka yaliyoanzia katika Shule ya Sekondari Jangwani na kuishia katika viwanja vya Mnazi Mmoja...
View Article