Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maandalizi ya ufunguzi wa Nyumba za Gharama Nafuu NHC Mtanda, Lindi

 Timu ya Shirika la Nyumba la Taifa ikiwa katika maandalizi ya ufunguzi wa Nyumba za Shirika hilo za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambao unafanyika baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMISHNA CHAGONJA AWAPOKEA WANAMICHEZO WALIOTOKA SWAZILAND NA KUWAHUTUBIA

Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo  wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja akiwa katika picha ya pamoja na wanariadha wa Jeshi la Polisi walioshiriki Michezo ya Majeshi ya Polisi kwa nchi za kusini mwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGI WAJIUNGA NA NSSF MAONYESHO YA NANENANE

 Meneja Kiongozi wa Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume akiwaelezea faidaza kujiunga na mfuko huo wakazi wa Mkoa wa Lindi waliofika kwenye banda la NSSF...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA JANET MBENE ATEMBELEAKIWANDA CHA...

Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akizungumza, mmoja wa viongozi wa kampuni ya Marmo and Garnito Mines wakati alipokuwa kwenye ziara ya viwanda mkoani mbeya hivi karibuni.Naibu Waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AFUNGUA BARABARA YA NDUNDU-SOMANGA YENYE UREFU WA KILOMETA 60...

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria ufunguzi wa barabara ya Ndundu – Somanga yenye urefu wa kilomita 60, hafla hiyo imefanyika jana Agosti 7 2015...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI ITAKAYOWEZESHA KUWAINUA VIJANA KIUCHUMI

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Maafisa Vijana na kuwataka kutumia elimu na ujuzi walioupata katika mafunzo ya ujasiriamali na ubunifu katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTT-PID YASHIRIKI MAONYESHO YA NANE NANE – LINDI

Maafisa Masoko wa UTT-PID, Bi Kilave Atenaka (katikati) na  Bi. Mary Minja (kwanza kulia) wakiongea na mteja aliyefika banda lao lililo chini ya wizara ya Fedha katika Maonyesho ya Nane Nane...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI ATEMBELEA OFISI YA CCM MKOA WA LINDI

 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Ally Mtopa akisalimiana na Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli nje ya ofisi ya CCM mkoa wa Lindi Mgombea wa Urais kwa tiketi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI SAFI MKOANI LINDI,AWAAGA WANANCHI...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi mkubwa wa maji safi katika Halmashauri ya Manispaa ya Lindi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AZINDUZA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA KUZINDUA MRADI WA NYUMBA ZA...

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu akizungumza jambo na Rais  Dkt Jakaya Kikwete mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30za makazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI,PEREIRA AME SILIMA AFUNGA MAFUNZO YA...

Mgeni rasmi katika ufungaji wa Mafunzo ya awali ya skari Polisi,NaibuWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Pereira Ame Silima akizungumza wakati wa sherehe za ufungaji wa mafunzo hayo zilizofanyika Chuo Cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA NANE NANE YAHITIMISHWA KITAIFA MKOANI LINDI

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akiwapungia mkono na kuwaaga wakulima na wafuagaji wakati wa kufunga Sherehe za Nane Nane mwishoni mwa wiki zilizofanyika Kitaifa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AZINDUA TAWI LA BENKI KUU MTWARA

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi tawi la Benki Kuu mjini Mtwara jana jioni. Kushoto ni Gavana wa Benki Kuu Dkt. Benno Ndulu na kulia ni Naibu Waziri wa Fedha Bwana Mwigulu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AHUDHURIA MKUTANO WA BARAZA KUU LA CHAMA CHA WANANCHI CUF JIJINI DAR

 Sehemu ya Wafuasi na Wanachama wa Chama cha Wananchi CUF, wakiwa wamejipanga Barabarani tayari kwa kumlaki, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITUO CHA RADIO 5 CHASHINDA NAFASI YA KWANZA MAONYESHO YA NANENANE ARUSHA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akiwa anamkabidhi kikombe Meneja masoko na mawasiliano Sarah Lazaro Keiya mara baada yakituo cha Radio5 kutangazwa washindi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 12

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wateja wamiminika banda la NHC Nane Nane, Lindi

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akitia saini kwenye kitabu cha wageni kwenye banda la maonesho la NHC lilikuwapo katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi kulikokuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCCR-MAGEUZI WAANZA KUSHAMBULIA JIMBO LA VUNJO,WAWATAMBULISHA WAGOMBEA WA...

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi taifa ,Hemed Msabaha akizungumza wakati wa mikutano wa kutamburisha wagombea wa nafasi ya udiwani inayofanyika katika jimbo la Vunjo mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

OFISI ya Makamu wa Rais inasikitika kuwepo kwa taarifa ambazo zimesambaaa kwenye mitandao ya kijamii zinazodai kuwa Mheshimiwa Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hapa Kuna Picha za 'Mafuriko' ya Lowassa Yakijiandaa Kuelekea Ofisi za Tume...

Mbunge  wa  Mbeya  mjini  mh. Joseph  Mbilinyi  akiwasili  makao  makuu  ya  CUFMwenyekiti  wa  NCCR- Mageuzi, mh. James  Mbatia  akiwasalia  wafuasi  wa  UKAWAMwanasheria  mkuu  wa  CHADEMA, Mh Tundu...

View Article
Browsing all 6821 articles
Browse latest View live