Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi taifa ,Hemed Msabaha akizungumza wakati wa mikutano wa kutamburisha wagombea wa nafasi ya udiwani inayofanyika katika jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro. |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Baadhi ya viongozi wa NCCR-Mageuzi jimbo la Vunjo wa kiwa katika moja ya mikutano hiyo kata ya Makuyuni. |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Msaidizi wa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi taifa na Mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia ,Bw Hamis Athuman akitoa salamu za mwenyekiti huyo wakati wa mkutano wa utamburisho wa wagombea wa nafasi za udiwani kupitia chama hicho. |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Baadhi ya wakazi wa kata ya Makuyuni wakiwasikiliza viongozi wa chama hicho.(hawako pichani). |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Aliyekuwa kada wa Chama cha TLP,Stanley Temba akiwa ameibukia katika jukwaa la NCCR-Mageuzi akizungumza katika moja ya mikutano ya Utamburisho wa wagombea wa nafasi ya Udiwani katika kata zilizoko ndani ya jimbo la unjo. |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Aliyekuwa Diwani kupitia chama cha TLP,Yolanda Lyimo akizungumza katika jukwaa la chama cha NCCR-Mageuzi. |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Yolanda Lyimo akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya njia Panda. |
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Baadhi ya wananchi katika jimbo la Vunjo wakiitikia salamu za vyama vinavyounda UKAWA. |