Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 6864

NCCR-MAGEUZI WAANZA KUSHAMBULIA JIMBO LA VUNJO,WAWATAMBULISHA WAGOMBEA WA NAFASI YA UDIWANI

Image may be NSFW.
Clik here to view.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi taifa ,Hemed Msabaha akizungumza wakati wa mikutano wa kutamburisha wagombea wa nafasi ya udiwani inayofanyika katika jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Baadhi ya viongozi wa NCCR-Mageuzi jimbo la Vunjo wa kiwa katika moja ya mikutano hiyo kata ya Makuyuni.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Msaidizi wa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi taifa na Mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia ,Bw Hamis Athuman akitoa salamu za mwenyekiti huyo wakati wa mkutano wa utamburisho wa wagombea wa nafasi za udiwani kupitia chama hicho.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Baadhi ya wakazi wa kata ya Makuyuni wakiwasikiliza viongozi wa chama hicho.(hawako pichani).
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Aliyekuwa kada wa Chama cha TLP,Stanley Temba akiwa ameibukia katika jukwaa la NCCR-Mageuzi akizungumza katika moja ya mikutano ya Utamburisho wa wagombea wa nafasi ya Udiwani katika kata zilizoko ndani ya jimbo la unjo.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Aliyekuwa Diwani kupitia chama cha TLP,Yolanda Lyimo akizungumza katika jukwaa la chama cha NCCR-Mageuzi.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Yolanda Lyimo akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya njia Panda.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Baadhi ya wananchi katika jimbo la Vunjo wakiitikia salamu za vyama vinavyounda UKAWA.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 6864

Trending Articles