UTT-PID YASHIRIKI MAONYESHO YA SABASABA NDANI YA BANDA LA WIZARA YA FEDHA
Afisa Masoko Bi. Kilave Atenaka (Kulia) wa Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundo Mbinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT –PID) akiwasikiliza wateja waliotembelea katika banda kwenye maonyesho ya 39...
View ArticleDTB YAFUTARISHA WATEJA WAO WA ZANZIBAR
Mgeni rasmin na viongozi wengini na wananchi wakipata futari maalumu ilioandaliwa na DTB Tawi la Zanzibar kwa wateja wao kujumuika pamoja iliofanyika katika viwanja vya hoteli ya serena shangani...
View ArticleWAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MHE. MATHIAS CHIKAWE AZINDUA RASMI HUDUMA ZA...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe(kulia) akifurahia kwenye jiwe la Msingi mara tu baada ya kuzindua rasmi duka hilo lenye bidhaa zisizo na tozo la Kodi(wa pili kushoto) ni Kamishna...
View ArticleMRI YANG’ARA KWENYE MAONESHO YA SABASABA 2015
Wageni kutoka Chuo Kikuu cha North-western cha Marekani Dk. Sally Harris na mume wake Paul Harris wakifurahia madini aina ya nikeli kwenye banda la Chuo cha Madini Dodoma (MRI) katika maonesho ya...
View ArticleKIKAO CHA KAMATI MAALUM ZANZIBAR CHAPITISHA JINA LA MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR...
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Mkutano Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandua kwa ajili ya kupitisha Jina la Mgombea Nafasi ya Urais wa Zanzibar Dk. Shein,MAKAMU Mwenyekiti wa...
View ArticleRAIS KIKWETE AHUDHURIA MAADHIMISHO YA MIAKA125 YA KANISA LA KKKT TANGA
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Askofu Mkuu Wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT) Dkt.Stephen Munga wakati wa maadhimisho ya Jubilee ya miaka...
View ArticleMKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA AWAFUTURISHA WAFANYAKAZI
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akifuturu pamoja na wageni waalikwa kwenye ukumbi wa Makao Makuu ya NHC (NHC PLACE) jijini Dar es slaan Julai 3, 2015 ambapo mgeni...
View ArticleWAJITOKEZA KWA WINGI KUTEMBELEA BANDA LA MAONYESHO NHC SABASABA
Afisa Mwandamizi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Salvatory Hinju akitoa maelezo namna Shirika la Nyumba linavyofanya kazi zake kwa Wateja waliofika kwenye banda la...
View ArticleBENKI YA CRDB YARAHISISHA MAISHA VIWANJA VYA SABASABA
MkurugenziMtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza na waandishi wahabari mara baada ya kutembelea Maonyesho ya 39 ya Biashara ya KimataifaSabasaba jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB...
View ArticleWAZIRI CHIKAWE ATANGAZA MAFANIKIO YA WIZARA YAKE KATIKA KIPINDI CHA MIAKA...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya wizara yake katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Nne. Chikawe alisema kupitia taasisi zake...
View ArticleMEYA JERRY SILAA WA ILALA ATANGAZA RASMI KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA
Meya wa Ilala, Jerry Slaaakifuatilia kwa karibu burudani zilizokuwa zinatolewa na vikundi mbalimbalikatika mkutano huo. Pamoja nae ni Mbunge wa Afrika Mashariki na Mjumbe wa NEC wa CCM,Diwani wa kata...
View ArticleMBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU ATOWA MISAADA KWA WATU WENYE MAHITAJI...
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation , Sitti Mtemvu akizungumza na walezi wa watu wenye mahitaji maalum,wakati Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu alipokabidhi misaada ya vitu...
View ArticleBALOZI AMINA SALUM ALI AZUNGUMZIA MATARAJIO YAKE ENDAPO ATAPITISHWA NA CCM...
Balozi Amina Salum Ali akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na matarajio yake endapo atapata ridhaa ya kupeperusha Bedera ya CCM katika Urais wa Tanzania Mkutano uliofanyika Bwawani mjini...
View ArticleIGP AHUDHURIA IBADA YA KUSIMIKWA ASKOFU WA KATOLIKI SINGIDA
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu akisalimiana na Mtawa wa kanisa katoliki pamoja na wananchi waliohudhuria ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Mhashamu Edward Mapunda kuwa Askofu...
View ArticleMRAMBA NA DANIEL YONA WAHUKUMIWA MIAKA 3 KILA MMOJA, GREY MGONJA AACHIWA
Basili Mramba, Daniel Yona, Agrey Mgonja mwingine hakufahamika jina lake wakijadili jambo kabla ya kusomewa hukumu yao hivi karibuni katika mahakama ya Hakimu mkazi...
View ArticleBANDA LA ASAS DAIRIES LTD LAVUTIA WENGI MAONYESHO YA SABA SABA DAR ES SALAAM
Rais Dr Jakaya Kikwete akipata maelezo ya bidhaa za Asas Daireis Ltd kutoka kwa afisa masoko wa kampuni hiyo Bw Jimy alipotembelea mabanda mbali mbali katika maonyesho ya sikukuu ya...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIDIPLOMASIA LA UTEKELEZAJI WA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Arusha...
View ArticleRAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA DHARURA CHA WAKUU WA NCHI ZA EAC
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda wakati wa mkutano wa dharura wa wakuu wan chi za...
View ArticleAIRTEL FURSA "TUAKUWEZESHA"
Mariam awezeshwa kufikia ndoto zake kupitia Airtel Fursa "Tunakuwezesha"Airtel Fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana, kuwapa nafasi ya kujiendeleza kibiashara na ujuzi utakao...
View ArticleUKAWA WAJITOA RASMI BUNGENI, WAONDOKA MJINI DODOMA
UMOJA wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni za bunge.Akitangaza msimamo huo mjini Dodoma...
View Article