Quantcast
Channel: ARAWAY GROUP TANZANIA
Browsing all 6968 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA RAIS KIKWETE NCHINI FINLAND NA SWEDEN

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na kufanya mazungumzomna Spika wa Bunge la nchi ya Finland Mhe Maria Lohela siku alipotembelea bunge la nchi hiyo. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mahojiano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL NA HUAWEI YAANZISHA BAZAAR LA SIMU ZA SMARTPHONE KWA BEI POA

 Meneja Masoko wa Huwawei Bi Lydia Wangari, akionyesha kwawaandishi wa habari (hawapo pichani) simu aina ya Huwawei Met 7 ambayozitauzwa katika Airtel Bazaar linalofanyika mlimani City ijumaa,jumamosi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEREKALI YAOMBWA KUPITIA UPYA SHERIA YA MTOTO YA MWAKA 1971 KWANI INAWAATHIRI...

mwenyekiti wa baraza la watoto wilaya ya Arusha Hassani Omary akizungumza wakati wa kongamano la  watoto ,walimu ,wazazi lililoandaliwa na shirikala intiative for youth (INFOY) kongamano lililofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa afanya ziara kwenye nyumba za...

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akikagua maendeleo ya ujenzi wa Nyumba za gharama nafuu Mvomero mkoani Morogoro aambapo pamoja na mambo mengine ameshuhudia ujenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAFARA WA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WAWASILI WILAYANI KAHAMA USIKU HUU...

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na kamati ya Ulinzi na Usalama usiku huu ndani ya wilaya Kahama mkoani Shinyanga tayari kwa mapumziko,ambapo kesho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR DK.ALI MOHAMED SHEIN AFUNGUA MAONESHO YA MUZIKI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba ya ufunguzi wa Maonesho ya Muziki  katika Mji wa Wurzburg Nchini Ujerumani jana ambayo hufanyika kila mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF YADHAMINI UZINDUZI WA ASASI YA HIFADHI YA JAMII YA WANAFUNZI WA IFM.

 AFISA UHUSIANO MWANDAMIZI WA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF ,ABDUL NJAIDI AKITOA HOTUBA WAKATI WA UZINDUZI WA ASASI YA HIFADHI YA JAMII, ILIYOANZISHWA NA WANAFUNZI WA CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM)....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI CHIKAWE AONGOZA KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA KAMISHNA MKUU MSTAAFU JESHI...

1. Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri nchini (KKKT), Usharika wa Kinyerezi, Manford Kijalo akiwaongoza askari waliobeba mwili wa aliyekuwa Kamishna Mkuu mstaafu wa Jeshi la Magereza, Onel...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AWASILI SALAMA MKOANI KAGERA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Katibu wa CCM mkoa wa Kagera Ndugu Idd Ame wakati wa mapokezi katika mkoa wa Kagera. Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR DK.ALI MOHAMED SHEIN AFUNGUA MAONESHO YA MUZIKI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba ya ufunguzi wa Maonesho ya Muziki  katika Mji wa Wurzburg Nchini Ujerumani jana ambayo hufanyika kila mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELFU WAFURIKA MWANZA KUMUONA LOWASSA, YUKO ZIARANI KUOMBA WADHAMINI

MAELFU ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM, na wakazi wengine wa jiji la Mwanza, leo Ijumaa Juni 5, 2015, walifurika kwa wingi kwenye ofisi za CCM wilaya ya Nayamagana na ile ya Ilemela, wengine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RITA YAZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUWA NA CHETI CHA KUZALIWA

 Ofisa Uhusiano wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA), Jafarri Malema (kushoto), akizungumza na wafanyakazi wa gazeti la Jambo Leo (hawapo pichani), Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu shughuli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM KINANA AANZA ZIARA MKOANI KAGERA LEO, AKUTANA NA MAKUNDI...

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akipokelewa mapema leo katika uwanja wa shule ya msingi Nyakanazi,Wilayani Biharamulo  mkoani Kagera,ambapo pia aliwasalimia wananchi wa kijiji hicho tayari kwa kuanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WAVICHANGAMKIA VIWANJA VYA BAYPORT VIKURUTI

Hawa ni miongoni mwa Watanzania waliohamasika kutembelea katika viwanja vilivyokuwa kwenye mradi wa Vikuruti kutoka Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, wilayani Kibaha, mkoani Pwani,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF YATOA ELIMU YA MFUKO KWA WAHESHMIWA MABALOZI, WAHAMASIKA WAJIUNGA NA...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Memba (kushoto) akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Adam Mayingu, baada ya kikao cha waheshimiwa Mabalozi.Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WAKAMATA BUNDUKI SMG, RISASI 59 PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO...

 Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam(DCP), Simon Sirro Akizungumza na waandishi wa habari juu ya Operesheni inayoendelea ya kuwasaka wahalifu wa makosa mbalimbali katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEMC YASEMA UTUNZAJI MAZINGIRA NI JUKUMU LETU SOTE‏

Mhandisi wa Mazingira wa Mamlaka ya udhibiti na usimamizi wa mazingira(NEMC)Arnold Kasilaga.akiongea na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania na wafanyakazi wa Mlimani City.Wakati wa kuadhimisha siku ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZISHI YA MAREHEMU KAMISHNA MKUU MSTAAFU WA JESHI LA MAGEREZA, ONEL MALISA...

Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza wakiweka jeneza la Marehemu Kamishna Mkuu Mstaafu wa Magereza, Onel Malisa kwenye nyumba yake ya milele. Mazishi hayo yamefanyika jana Juni 05, 2015 katika...

View Article

HOTUBA YA RAIS JAKAYA KIKWETE KWA VIONGOZI NA WAJUMBE WA WATANZANIA WAISHIO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA (TAIFA STARS) KIMEENDELEA NA KATIKA...

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, leo kimeendelea na mazoezi asubuhi na jioni katika uwanja wa Benki ya Biashara ya Ethiopia kujiandaa na mchezo...

View Article
Browsing all 6968 articles
Browse latest View live