Quantcast
Channel: ARAWAY MEDIA TANZANIA
Browsing all 6856 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUMO MPYA WA UONDOSHJI MIZIGO(TANCIS)KUONGEZA UWAZI NA UWAJIBIKAJI

Kamishna wa Forodha na Ushuru kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Masamaki Kabisi akiwaeleza waandishi wa Habari juu ya faida za Mfumo mpya wa Uondoshaji Mizigo bandarini(TANCIS) ikiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP ERNEST MANGU AKIZUNGUMZA NA MASHEIKH

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akiongozana na viongozi wa dini ya kiislamu (kulia) Mwakilishi wa Mufti wa Tanzania katika Mafunzo hayo Sheikh Abubakar Zuber na kushoto ni Mwenyekiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA UINGEREZA AKUTANA NA WAZIRI WA ARDHI

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi akizungumza na Balozi wa Uingereza hapa nchini Bi. Dianna Melrose wakati balozi huyo alipomtembelea Mheshimiwa Lukuvi ofisini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC YAANZA MAFUNZO YA UCHAMBUZI WA MIFUMO YA COMPUTER

Afisa Mchambuzi wa Mifumo ya Computer wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Amos Madaha akizungumza katika semina ya siku nne ya matumizi ya fomu mbalimbali za uandikishwaji wa wapiga kura (BVR) ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA DCB YAKABIDHI MSAADA WA KOMPYUTA KWA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI...

    Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto,Mhe.Dkt.Pindi Chana akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa Kompyuta katika  Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Arnautoglu  kilichopo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA) YAKAMATA WEZI...

Watumishi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA,wakiwa katika nyumba moja ambayo inadaiwa mmiliki wake alikuwa akiiba maji baada ya kujiunganishia kinyemera licha ya kukatiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO ,LEONIDAS GAMA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA...

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama akizungumza wakati alipokutana na wafanyabiashara katika viwanja vya Kili Homes mjini Moshi kuzungumzia kero mbalimbali zinazowakabili pamoja na kutafuta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA EXIM YATANGAZA ONGEZEKO LA ASILIMIA 35 LA FAIDA YA KABLA YA KODI

 Kaimu Afisa Mkuu wa fedha wa benki ya Exim Tanzania Bw. Issa Hamisi (wa kwanza kutoka kulia) akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa habari  wakati akitoa  taarifa ya mapato ya mwaka 2014 ya benki ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 24 WANAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI MBAYA YA GARI LA ABIRIA (...

"Ajali ya Hiace imeua watu 24 eneo la Uwanja wa ndege Kiwila Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya. Wadau Niko eneo la tukio, mpaka sasa miili 22 imefanikiwa kutolewa. Kwani Hiace hii ilitumbukia mtoni na bado...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASATA YATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MSANII CHIJWELE CHE...

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepokea kwa masikitiko na majonzi makubwa kifo cha Msanii wa muziki wa asili Chijwele Chemundugwao kilichotokea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HARAKATI ZA KUANZISHWA KWA KARIAKOO FAMILY FOUNDATION (KFF)

 Mwenyekiti wa Kariakoo Family Foundation (KFF) Mohamed Bhinda akiongoza kikao cha Kamati ya Utendaji katika kuandaa rasimu ya katiba ya chama hicho kinachotarajiwa kusajiliwa  hivi karibuni kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO...

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (wa pili kulia) akimsikiliaz kwa makini Katibu wa wafanyabiashara wa soko la Mburahati, Fikiri Pazi (kulia) wakati akimwelezea kuhusu maendeleo ya biashara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ASHIRIKI KATIKA BONANZA LA VILABU VYA JOGGING MKOA WA DAR ES SALAAM,...

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akianza mazoezi wakati akishiriki  katika bonanza la Jogging lililoandaliwa na Kundi la Kaza Moyo Jogging Club la Ukonga Sitakishari ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCHI ZA AFRIKA ZA TOA MSIMAMO WAO KWA IMF NA WB

Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile kushoto kwake kwa pamoja wakifuatilia kwa makini mkutano wa 10 wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AKABIDHI PIKIPIKI 10 KWA MAAFISA AFYA WA WILAYA

Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo (kushoto) akimkabidhi Pikipiki Afisa wa Afya wa Wilaya Nd. Khamis Daud Ali katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika Maruhubi.Picha na Makame...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA KUPAMBANA NA UKOSEFU WA LISHE BORA

Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum akisalimiana na mwakilishi kutoka UNICEF katika mkutano wa Lishe mjini Washington DC.Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum akisikiliza kwa makini hoja iliyokuwa ikitolewa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA INAUNGA MKONO TAMKO LA MWENYEKITI WA AU NA SADC MZEE ROBERT MUGABE...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernald Membe akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa JNICC jijini Dar es salaam, Wakati alipotoa tamko la serikali ya Tanzania kuhusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAHUDHURIA MKUTANO WA ACT-WAZALENDO MKOANI MWANZA

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mwanza kwenye viwanja vya Furahisha jijini humo. (Picha na Said Powa) Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa ACT-Wazalendo.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WAFANYA VIZURI MBIO ZA NGORONGORO MARATHONI 2015.

Waziri mkuu Mstaafu ,Fredrick Sumaye akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine mbalimbali wakiwemo waandaji buda mfupi kabla ya kuanza kwa mbio za Km 21 Katika gate la kuingilia hifadhi ya taifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Edward Lowassa ashiriki Matembezi ya kupiga vita mauaji ya watu wenye Ualbino

Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu mstaafu, Mh. Edward Lowassa (katikati mwenye kapelo), "akitroti" kukimbia sambambana mamia ya watu waliojitokeza kwenye matembezi ya kuunga mkono kupiga vita dhidi ya...

View Article
Browsing all 6856 articles
Browse latest View live