ZITTO KABWE ANG’ATUKA UBUNGE
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe Zitto Zuberi Kabwe (pichani) ametangaza rasmi Bungeni Dodoma kuachia kiti hicho alichokipata kupitia CHADEMA.Barua yake ya kung’atuka ubunge kupitia chama cha...
View ArticleBENKI YA CBA YATOA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 3 KWA SHULE YA SINGISI...
Meneja Masoko wa bank ya CBA Bw. Sollomon Kawiche akisoma hutuba wakati walipokuja kutoa msaada hundi ya fedha Shiling Million Tatu na laki Nane katika Shule ya msingi na Ufundi Singisi kwa ajiliya...
View ArticleWANAFUNZI ELIMU YA JUU KUTOKA VYUO MBALIMBALI KANDA YA KASKAZINI WAMUOMBA...
UMOJA wa Vyama vya wanafunzi Elimu ya juu kutoka vyuo mbalimbali kanda ya kaskazini Kilimanjarona ,Arusha ,wajitokeza kumshawishi Prof. Sos peter Muhongo Kugombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa...
View ArticleNAPE AHOJIWA LIVE NA KITUO CHA REDIO 5 JIJINI ARUSHA
Katibu wa Itikadi na Uenezi (CCM) Nape Nnauye akiwa katika studio za Redio 5 zilizopo njiro jijini Arusha akihojiwa live na kituo hicho juu ya utekelezaji wa ilani ya CCM pamoja na ziara ya katibu Mkuu...
View ArticleKAMPUNI YA TANZANIA DISTILLERIES LTD (TDL),YACHANGIA KIASI CHA SH.MILIONI 10...
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries LTD , David Mgwassa (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza kuchangia kiasi cha shilingi milioni 10...
View ArticleKINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI ARUSHA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kazi ya kugonga kokoto pamoja na akina mama wajasiriamali katika kata ya Elerai mjini Arusha wakati alipowatembelea na kukagua shughuli zao,...
View ArticlePICHA NA VIDEO MBALIMBALI ZA MASWALI NA MAJIBU KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe. Juma Nkamia akijibu swali la Mhe.Haroub Shamis Mbunge wa jimbo la Chonga kuhusu jinsi gani serikali inawasaidia waadishi kuandika...
View ArticleZIARA YA WAZIRI WA ARDHI MH. WILLIAM LUKUVI BABATI MKOANI MANYARA
Mkuu wa mkoa wa Manyara ,Mhe.Joel Nkaya Bendera akizungumza katika kikao cha viongozi wa wilaya zote za mkoa huo kilichofanyika ofisi ya Mkuu wa Mkoa mjini Babati,kushoto ni Waziri wa Ardhi,Nyumba na...
View ArticleWAJASIRIAMALI WA SOKO LILILOUNGUA ARUSHA WAMSHUKURU NYALANDU!!
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akiongea na waandishi wa habari na Wajasiriamali wa soko la vinyago lililoungua moto Mkoani Arusha, mara baada ya kutoa kiasi cha shilingi milioni 100...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI YA KUCHANGIA UJENZI WA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akishiriki na kuongoza matembezi ya Hisani kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa Kanisa la Kigango cha Mt. Dominic Savio,...
View ArticlePINDA AKIWA BUSEGA NA BUNDA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw. Sanya William ambaye ni mlemavu na wanawe Mussa, Nasma na Dickson baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara mjini Bunda alikonda kuweka jiwe la msingi la...
View ArticleKINANA KUHITIMISHA ZIARA YAKE JIJINI ARUSHA LEO
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa barabara ya Mwanama- Olorien ambayo itajengwa kwa kiwango cha lami, Ndugu Kinana pia aliitembelea na kuikagua barabara hiyo. Ujenzi wa...
View ArticlePRESIDENT KIKWETE ARRIVES IN NAMIBIA FOR PRESIDENTIAL INAUGURATION
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete and his wife Mama Salma Kikwete receive bouquet of flowers shortl after they arrived at Hosea Kutako International airport in Windhoek Namibia to attend the 25th...
View ArticleZitto Kabwe ahamia rasmi ACT
Mh. Zitto Kabwe akilipa kwa ajili ya usajili wa kadi ya uanachama wa ACT...- Kumwaga ‘mboga’ mbele ya wandishi wa Habari Jumapili hii Machi 22.Hayawi hayawi… Sasa yamekuwa! Licha ya kusemwa sana kwa...
View ArticleWAZIRI LUKUVI AFUNGUA NYUMBA ZA NHC MRARA BABATI
Sehemu ya nyumba 40 za gharama nafuu zilizojengwa na NHC eneo la Mrara Babati mkoani Manyara ambazo zilifumguliwa rasmi na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe...
View ArticleMAGARI YA KITALII YA TANZANIA RUKSA KUINGIA UWANJA WA JOMO KENYATTA, NA...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu makubaliano ya pamoja yaliyofikiwa kati ya Serikali za...
View ArticleKATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA MKOA WA KILIMANJARO
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikatisha kwenye migomba alipokuwa akikagua mifereji ya inayotiririsha maji kuelekea kwenye mashamba ya ndizi akiongozana na Mh. Agrey Mwanri.Katibu Mkuu wa...
View ArticleZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KATIKA MIKOA YA SINGIDA, TABORA NA SHINYANGA
Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu ukitembelea jengo la NHC lililoungua mwaka jana mjini Singida ambapo Shirika linajenga upya jengo jingine katika kiwanja hicho kilichoko...
View ArticleNHIF YATOA ELIMU KWA UMOJA WA MADEREVA TAXI WILAYA YA ILALA (UMATAWI)
Kaimu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF) ,Eugen Mikongoti, akizungumza na umoja wa madereva taxi wilaya ya Ilala (Umatawi), wapatao 380 jijini Dar es Salaam wakati wakitoa elimu kwa...
View ArticleDKT. BILAL AFUNGA MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI KITAIFA MJINI MUSOMA.
Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal akishuka kwenye ndege baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Musoma Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamhuri...
View Article