Polisi wamkamata aliyemuua Msuya
Polisi wamefanikiwa kumtia mbaroni mfanyabiashara tajiri wa madini ya Tanzanite huko Mirerani anayetajwa kuwa ndiye aliyepanga na kukodi watu waliomuua bilionea Erasto Msuya.Habari za uhakika kutoka...
View ArticleMWINGINE ANASWA NA DAWA ZA KULEVYA UWANJA WA NDEGE DAR
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akionesha picha ya kijana Leonard Jeremiah Monyo (Edwin Jeremiah Monyo) ambaye amekamatwa na kete 86 za madawa ya kulevya kwa wanahabari.…Waziri wa Uchukuzi,...
View ArticleBREAKING NEWS: MRISHO NGASSA AIDHINISHWA KUICHEZEA YANGA - KWA SHARTI LA...
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imepitia usajili wa wachezaji wa klabu za Ligi Kuu ya Vodacom na kumuidhinisha Mrisho Ngasa kuchezea timu ya...
View ArticleMOTO KUWAKA REDD'S MISS ILALA LEO
Mratibu wa Shindano la Redds Miss Tanzania Kanda ya Ilala 2013, Juma Mabakila (katikati waliokaa), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitangaza zawadi...
View ArticleRais Jakaya Kikwete Ampongeza Dk Stergomena Tax Kwa Kuchaguliwa Kuwa Katibu...
Katibu Mtendaji mpya wa SADC Dr.Stergomena Tax akila kiapo mbele ya jaji mkuu wa Malawi Anastazia Msoza wakati wa mkutano wa 33 wa wakuu wa nchi za SADC uliofanyika jijini Lilongwe Malawi jana Rais...
View ArticleTANAPA YAFUNGA RASMI MAFUNZO YA AWAMU YA PILI YA KUKABILIANA NA MATUKIO YA...
Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi akikagua gwaride la Kikundi cha Kukabiliana na Uhalifu kwa Haraka (Rapid Response Team) kilichohitimu mafunzo yao katika Hifadhi ya Taifa ya Ruahamwishoni mwa...
View ArticleAIRTEL YAKABIDHI FUNGUO YA NYUMBA YA KWANZA IRINGA
Meneja wa Airtel mikoa ya kusini Beda Kinunda (kulia) akimkabidhi funguo ya nyumba mshindi wa nyumba ya kwanza ya Airtel Yatosha mkazi wa Frelimo mjini Iringa, Sylivanus Wanga wanaoshuhudia...
View ArticleSAKATA LA KUKAMATWA KWA WATU WANAODAIWA MAJAMBAZI TAZARA
Majambazi wakamatwa hii leo mchana Tazara wakikimbia baada ya kupora fedha Milioni kadhaa katika kituo cha mafuta cha Lake Oil ambazo zilikuwa katika moja ya magari yaliyoingia kujaza mafuta kituoni...
View ArticleNHC yakabidhi kwa wakandarasi miradi mitatu mikubwa ya ujenzi
Naibu Waziri wa Adhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole Medeye akibadilishana mawazo na viongozi wa NHC.Naibu Waziri wa Adhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole Medeye akibadilishana...
View ArticleWALIOPANDA MBEGU DECI SASA KURUDISHIWA
Viongozi wa DECI Arbogast Kipilimba, Jackson Mtares, Samwel Mtares, Dominick Kigedi na Timotheo Saiguran ole Loiting’ye, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka...
View ArticleALHAJ MWINYI NA MZEE MKAPA WAWASILI ZIMBABWE KUHUDHURIA SHEREHE ZA KUAPISHWA...
Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Benjamin William Mkapa pamoja na wake zao, Mama Sitti Mwinyi na Mama Anna Mkapa, wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare, Zimbabwe,...
View ArticleRais Jakaya Kikwete Afanya Mabadiliko ya Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu...
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Sefue Ombeni akitangaza uteuzi wa makatibu wakuu na manaibu katika wizara mbalimbali jijini Dar es Salaam jana. Picha na Venance Nestory ----Imeandikwa na Na Magreth...
View ArticleKamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira yatembelea Shirika la Nyumba...
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akisalimiana na wafanyakazi kwa salamu maarufu 'solidarity' leo hii, muda mfupi baada ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na...
View ArticleGURUMO ASEMA KUIMBA SASA BASI
Na Jennifer Chamila, Maelezo.MWANAMUZIKI mkongwe wa bendi ya Msondo Ngoma Mzee Muhidin Gurumo amestaafu rasimi kazi ya muziki alioifanya kwa muda wa miaka 53.Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
View ArticleDADA WA MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA AJIUNGA NA CCM MKOANI ARUDISHA
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro, Hassan Mtenga kushoto akimkabidhi yadi ya CCM, Grace Mbowe, baada ya kutoka CHADEMA kwa kile alichodai hakuna jamboDADA wa Mwenyekiti...
View ArticleMAJINA YA MAKATIBU WA CCM WA WILAYA WALIOTEULIWA NA KAMATI KUU YA HALMASHAURI...
Katibu wa Itikadi na Uenezi -CCM Nape Nnauye--- UTEUZIKikao cha Halmashauri Kuu pia kimeridhia, uteuzi wa Makatibu wateule wapya wa Jumuiya za CCM, za Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Jumuia ya Wazazi...
View ArticleKAMPUNI YA CHLORIDE EXIDE YASAIDIA KITENGO CHA EMERGENCY CHA HOSPITALI YA...
Mkuu wa Madereva wa Kitengo cha Emergency Medicine Bw. Kafuru Rashidi akikagua betri hizo baada ya kukabidhiwaMeneja wa Kanda ya Afrika Mashariki wa kampuni ya Chloride Exide Bw,Gabriel Ondoyo kulia...
View ArticleMwakilishi wa Jimbo la Kiembe Samaki-CCM, Mkoa wa Mjini Magharibi, Mansour...
Aliyekua Mwakilishi wa Jimbo la Kiembe Samaki, Mkoa wa Mjini Magharibi, Mansour Yussuf Himid --- Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (Nec), jana iliridhia kumvua uanachama, Mwakilishi wa Jimbo la...
View ArticleRadio Imaan na Kwa Neema FM Radio zaruhusiwa kurusha matangazo kuanzia leo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAMAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKUREJESHWA KWA URUSHAJI MATANGAZO RADIO IMAAN FM NA KWA NEEMA FM RADIO1.0 Utangulizi:Mnamo tarehe 26/02/2013...
View ArticleMapokezi ya Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu Wapya Wizara ya Habari, Vijana,...
Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiwasili mbele ya jengo la PPF huku akipokelewa kwa shangwe na wafanyakazi wa Wizara hiyo jana jijini Dar es...
View Article